Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Mafuriko Yazidi kuua Kenya, saba wafariki Rongai

    Mafuriko Yazidi kuua Kenya, saba wafariki Rongai

    May 04, 2018 08:59

    Mafuriko yanaendelea kuua watu nchini Kenya ambapo katika tukio la hivi karibuni, watu saba wamefariki dunia katika Kuanti ya Kajiado inayopakana na Nairobi.

  • Rais Kenyatta awaomba radhi Wakenya (SAUTI)

    Rais Kenyatta awaomba radhi Wakenya (SAUTI)

    May 02, 2018 14:05

    Alihutubia taifa kupitia Bunge la nchi hiyo ya Afrika Mashariki...

  • Ukosefu wa usalama wakwamisha shughuli za masomo kaskazini mwa Kenya

    Ukosefu wa usalama wakwamisha shughuli za masomo kaskazini mwa Kenya

    Apr 19, 2018 10:40

    Ukosefu wa usalama katika Kaunti ya Wajir nchini Kenya unaelezwa kuwa unatishia kuvuruga shughuli za masomo katika shule nyingi za maeneo hayo.

  • Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Nusu ya Makamishna wa Tume ya uchaguzi Kenya wajiuzulu

    Apr 16, 2018 03:34

    Mgogoro ndani ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya IEBC unaendelea kutokota huku nusu ya makamishna wa tume hiyo wakitangaza kujiuzulu.

  • Hatimaye Miguna Miguna arejeshwa nchini Canada,  amlaumu Raila Odinga kwa kumsaliti

    Hatimaye Miguna Miguna arejeshwa nchini Canada, amlaumu Raila Odinga kwa kumsaliti

    Apr 02, 2018 10:46

    Mwanasheria wa upinzani nchini Kenya aliyemuapisha Kinara wa Muungano wa Upinzani (NASA), Raila Odinga kuwa rais wa watu, Miguna Miguna amesafirishwa kwa ndege kutoka mjini Dubai, hadi Toronto, Canada.

  • Ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia wasimamishwa

    Ujenzi wa ukuta katika mpaka wa Kenya na Somalia wasimamishwa

    Mar 30, 2018 10:38

    Shughuli ya kujenga ukuta wa kilomita 700 katika mpaka wa Kenya na Somalia imesimamishwa kwa muda, ili kutoa nafasi ya kufanyika mashauriano zaidi kati ya nchi mbili hizo jirani.

  • Mahakama Kuu Kenya yaijia juu serikali kwa kukiuka amri ya kuhusiana na Miguna Miguna

    Mahakama Kuu Kenya yaijia juu serikali kwa kukiuka amri ya kuhusiana na Miguna Miguna

    Mar 29, 2018 04:30

    Mahakama Kuu nchini Kenya imekasirishwa mno na kitendo kilichofanywa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo cha kumsafirisha mwanasheria wa upinzani, Miguna Miguna kutoka mjini Nairobi hadi Dubai bila yay eye kujijua, licha ya kwamba awali mahakama hiyo ilikuwa imeruhusu mtu huyo kuruhusiwa kuingia nchi hiyo.

  • Miguna Miguna asafirishwa bila kujijua kutoka Kenya, ajikuta Dubai ghafla

    Miguna Miguna asafirishwa bila kujijua kutoka Kenya, ajikuta Dubai ghafla

    Mar 29, 2018 03:40

    Mwanasheria wa upinzani nchini Kenya na aliyeongoza shughuli ya kuapishwa kwa Kianara wa Muungano wa Upinzani (Nasa), Rais Odinga kuwa rais wa watu, Miguna Miguna amesafirishwa kwa ndege hadi mjini Dubai, bila kujitambua.

  • UNHCR: Waethiopia waliokimbilia hifadhi Kenya wakumbwa na masaibu

    UNHCR: Waethiopia waliokimbilia hifadhi Kenya wakumbwa na masaibu

    Mar 29, 2018 02:01

    Maelfu ya wakimbizi wa Ethiopia waliokimbilia hifadhi nchi jirani ya Kenya hivi sasa wanakabiliwa na tatizo kubwa la kukidhi mahitaji yao ya msingi, limesema Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR.

  • Waandishi wa habari Kenya wajiuzulu kwa mpigo kulalamikia ukatili waliotendewa wenzao na Polisi

    Waandishi wa habari Kenya wajiuzulu kwa mpigo kulalamikia ukatili waliotendewa wenzao na Polisi

    Mar 27, 2018 12:38

    Waandishi kadhaa waandamizi wa makala maalumu za habari nchini Kenya wamejiuzulu kwa mpigo leo siku moja baada ya polisi kuwashambulia kwa ngumi na mateke waandishi wa habari waliokuwa wakipiga picha na kurekodi filamu za tukio la kufukuzwa kwa nguvu nchini humo mwanasiasa mmoja wa upinzani katika uwanja wa ndege jijini Nairobi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS