Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i45664-maadhimisho_ya_siku_ya_kimataifa_ya_quds_nchini_kenya_2018
Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Kenya.
(last modified 2025-09-23T02:26:09+00:00 )
Jun 09, 2018 13:08 UTC
  • Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Kenya 2018

Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Kenya.