Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Mahakama ya Juu Kenya yatengua matokeo ya uchaguzi wa Rais

    Mahakama ya Juu Kenya yatengua matokeo ya uchaguzi wa Rais

    Sep 01, 2017 05:00

    Mahakama ya Juu ya Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika mwezi uliopita nchini humo na kumpa ushindi Rais wa sasa wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta.

  • SAUTI, Mahakama Kuu Kenya yauruhusu upinzani kukagua Computer za IEBC ili kuthibitisha kama kuna wizi ulivyofanyika kwenye uchaguzi

    SAUTI, Mahakama Kuu Kenya yauruhusu upinzani kukagua Computer za IEBC ili kuthibitisha kama kuna wizi ulivyofanyika kwenye uchaguzi

    Aug 28, 2017 12:53

    Kesi inayopinga matokeo ya urais nchini Kenya imeanza kusikilizwa rasmi na mahakama ya juu zaidi nchini humo hii leo, huku uapnde wa malalamiko ambao ni muungano wa upinzani ukianza utetezi wake kwa saa tano.

  • Usafirishaji bidhaa za Iran nchini Kenya kuongezeka kwa asilimia 100 katika mwaka 2017

    Usafirishaji bidhaa za Iran nchini Kenya kuongezeka kwa asilimia 100 katika mwaka 2017

    Aug 27, 2017 10:23

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya amesema usafirishaji bidhaa zisizo za mafuta za Iran kuelekea nchini Kenya katika miezi sita ya kwanza ya mwaka huu wa 2017 ulikuwa wa kiwango cha dola milioni 58 na inakadiriwa kuwa hadi ifikapo mwishoni mwa mwaka huu kiwango hicho kitaongezeka kwa kasi kubwa na kufikia asilimia 100.

  • Marufuku ya mifuko ya plastiki kutekelezwa Kenya kuanzia Agosti 28

    Marufuku ya mifuko ya plastiki kutekelezwa Kenya kuanzia Agosti 28

    Aug 25, 2017 01:54

    Serikali ya Kenya imetanagaza kwamba marufuku ya mifuko ya plastiki itaanza kutekelezwa Jumatatu Agosti 28 kama ilivyopangwa.

  • Ongezeko la asilimia 58 la bidhaa za Iran zinazouzwa Kenya

    Ongezeko la asilimia 58 la bidhaa za Iran zinazouzwa Kenya

    Aug 23, 2017 23:14

    Kumekuwa na ongezeko la asilimia 58 ya bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinazouzwa nchini Kenya katika kipindi cha miezi minne iliyopita ikilinganishwa na muda kama huo mwaka 2016.

  • Upinzani Kenya kuieleza mahakama jinsi teknolojia ilivyowezesha wizi wa kura

    Upinzani Kenya kuieleza mahakama jinsi teknolojia ilivyowezesha wizi wa kura

    Aug 22, 2017 11:00

    Mrengo wa upinzani nchini Kenya umesema kuwa utathibitisha mbele ya Mahakama ya Kilele ya nchi hiyo kwamba teknolojia ilifanikisha kuliko kuzuia wizi wa kura wakati wa uchaguzi mkuu nchini humo hivi karibuni, ikiwa ni katika juhudi za mrengo huo za kutaka kubadilisha kura alizoshinda Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi huo uliofanyika mwanzoni mwa mwezi huu.

  • Sauti, Mahojiano kuhusu kuuawa na kujisalimisha viongozi zaidi wa ash-Shabab je, kuna maana ya kundi hilo kusambaratika au la?

    Sauti, Mahojiano kuhusu kuuawa na kujisalimisha viongozi zaidi wa ash-Shabab je, kuna maana ya kundi hilo kusambaratika au la?

    Aug 20, 2017 11:59

    Jeshi la polisi Kenya limeongeza harakati ya kamatakamata ukanda wa Pwani, baada ya kuuwawa kiongozi wa masuala ya lojistiki wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ash-Shabab eneo bunge la Kisauni mjini Mombasa.

  • Upinzani Kenya wawasilisha mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

    Upinzani Kenya wawasilisha mashtaka mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu

    Aug 19, 2017 11:27

    Muungano wa upinzani nchini Kenya wa National Super Alliance (NASA) umewasilisha kesi ya kupinga ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti na kufuatiwa na malalamiko na machafuko.

  • Al-Shabaab yawakata vichwa watu 3 kaunti ya Lamu, Kenya

    Al-Shabaab yawakata vichwa watu 3 kaunti ya Lamu, Kenya

    Aug 18, 2017 03:40

    Kwa akali watu watatu wameuawa kwa kukatwa vichwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabab katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.

  • SAUTI, Raila Odinga: Naelekea mahakamani kuonyesha uchakachuaji wa IEBC ulivyofanyika kwa maslahi ya Rais Kenyatta

    SAUTI, Raila Odinga: Naelekea mahakamani kuonyesha uchakachuaji wa IEBC ulivyofanyika kwa maslahi ya Rais Kenyatta

    Aug 16, 2017 12:54

    Kinara wa muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya, Raila Odinga hatimaye amepasua mbarika na kusema kuwa ataenda katika Mahakama ya Juu ya nchi kupinga matokeo ya kura za urais yaliyompa ushindi hasimu wake Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS