-
Odinga kwenda Mahakama ya Juu Kenya kupinga matokeo ya urais
Aug 16, 2017 11:18Kinara wa muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya, Raila Odinga hatimaye amepasua mbarika na kusema kuwa ataenda katika Mahakama ya Juu ya nchi kupinga matokeo ya kura za urais yaliyompa ushindi Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee.
-
Polisi yashutumiwa kwa kuvamia ofisi za asasi zisizo za serikali Kenya
Aug 16, 2017 09:57Mashirika ya kiraia na yale ya kutetea haki za binadamu yamekosoa vikali hatua ya vyombo vya dola ya kuvamia na kutaka kufunga kwa nguvu ofisi ya asasi isizo ya serikali katika mji mkuu Nairobi.
-
Serikali ya Kenya yajaribu kuyafunga makundi mawili ya haki za binadamu
Aug 15, 2017 12:19Serikali ya Kenya inajaribu kulifungia kundi moja la kutetea haki za binadamu na taasisi ya kupigania demokrasia ambazo ziliweka alama ya kuuliza na kuhoji uhalali wa uchaguzi wa Rais uliozusha mzozo ambao ulifanyika wiki iliyopita nchini humo.
-
Odinga kutoa ushahidi wa wizi wa kura leo, kutangaza hatua atakayochukua
Aug 15, 2017 03:11Aliyekuwa mgombea wa urais wa muungano wa upinzani wa NASA katika uchaguzi mkuu wa wiki jana nchini Kenya, Raila Odinga anatazamiwa kutoa ushahidi wa kuyapa nguvu madai yake kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais yalichakachuliwa.
-
Uchaguzi Kenya: Kofi Annan amtaka Raila Odinga atumie njia za kisheria
Aug 13, 2017 23:04Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan, ambaye alikuwa mpatanishi mkuu baada ya mzozo wa kisiasa nchini Kenya miaka kumi iliyopita, ametoa wito kwa walioshindwa katika uchaguzi wa Kenya kutumia mifumo ya kisheria kwa ajili ya kutafuta haki.
-
Odinga: Kesho Jumatatu msiende kazini, Jumanne nitatoa tangazo muhimu
Aug 13, 2017 09:18Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wake wasiende kazini kesho Jumatatu na wajiandae kupokea kile alichokitaja kuwa maelekezo na tangazo zito litakalotikisa taifa siku ya Jumanne.
-
Katibu Mkuu wa UN awataka viongozi wa Kenya kutatua mzozo wa uchaguzi kupitia mamlaka husika
Aug 13, 2017 03:41Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amewapongeza Wakenya kwa kushiriki kwa amani katika uchaguzi mkuu wa Agosti 8.
-
SAUTI, Wizara ya Usalama wa Ndani Kenya: Polisi haijatumia nguvu kuwazuia wanaoandamana kwa amani nchini
Aug 12, 2017 11:43Usalama umeimarishwa kikamilifu katika maeneo yanayoaminika kuwa ngome za upinzani nchini Kenya kwa lengo la kuzuia machafuko.
-
Ushindi wa Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Rais nchini Kenya
Aug 12, 2017 03:54Hatimaye na baada ya mjadala mkubwa kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 8 Agosti, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) jana usiku ilimtangaza Uhuru Kenyatta kuwa ndiye aliyeibuka na ushindi wa kiti cha rais wa nchi hiyo.
-
Uhuru Kenyatta atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi wa rais wa Kenya
Aug 11, 2017 22:59Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya IEBC imemtangaza rasmi Rais Uhuru Kenyatta mshindi wa uchaguzi wa rais uliofanyika siku ya Jumanne ya tarehe 8 Agosti.