-
NASA: Tutakubali matokeo ya uchaguzi kwa masharti
Aug 11, 2017 12:38Muungano wa upinzani wa NASA nchini Kenya umetangaza kuwa utakubali matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi kote nchini humo iwapo utaruhusiwa kutazama data za asili katika sava za kumputa za Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya nchi hiyo (IEBC).
-
EU yazitaka pande zote kuheshimu sheria nchini Kenya
Aug 11, 2017 11:23Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa unafuatilia kwa makini mwenendo wa uchaguzi wa hivi karibuni huko Kenya.
-
Taharuki Kenya huku matokeo ya uchaguzi wa urais yakisubiriwa kwa hamu
Aug 11, 2017 03:15Hali ya taharuki imetanda nchini Kenya huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo (IEBC) ikitazamiwa kumtangaza mshindi wa uchaguzi wa urais wakati wowote tokeo sasa hii leo.
-
Upinzani Kenya waitaka IEBC imtangaze Raila Odinga mshindi wa uchaguzi wa urais
Aug 10, 2017 10:47Mrengo wa upinzani wa NASA nchini Kenya umeitaka Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC imtangaze mgombea wa muungano huo Raila Odinga kuwa, mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika nchini humo siku ya Jumanne.
-
KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia
Aug 10, 2017 10:15Ndege za Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF zimeshambulia ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Weelmarow karibu na wilaya ya Afmadow, eneo la Lower Juba, kusini mwa Somalia.
-
Wakenya watakiwa kudumisha amani; waangalizi wataka madai ya upinzani kuchunguzwa
Aug 10, 2017 10:09Waangalizi wa kimataifa wa uchaguzi wa Kenya uliofanyika siku ya Jumanne wametoa wito na kuwataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kudumisha amani na utulivu.
-
Watu 5 wameuawa katika ghasia za baada ya uchaguzi mkuu Kenya
Aug 10, 2017 04:18Watu 5 wameripotiwa kuuawa katika ghasia na machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi nchini Kenya baada ya kinara wa kambi ya upinzani, Raila Odinga kudai kuwa kumefanyika udanganyifu mkubwa.
-
Igad: Uchaguzi mkuu Kenya umefanyika kwa amani, uwazi na utaratibu sahihi
Aug 09, 2017 11:41Timu ya wasimamizi wa uchaguzi ya Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiserikali wa Nchi za Mashariki na Pembe ya Afrika (Igad) imeipongeza Tume Huru ya Uchaguzi ya Kenya (IEBC) kwa kusimamia uchaguzi kwa njia sahihi na kusema kuwa, tume hiyo inapaswa kuwa kigezo cha kuigwa na nchi nyingine za Afrika.
-
Kaimu Waziri wa Usalama wa Ndani Kenya awaonya wanaoeneza ujumbe wa chuki mitandaoni
Aug 09, 2017 11:03Kaimu Waziri wa Usalama wa Ndani wa Kenya amewaonya watu wanaoeneza ujumbe wa chuki katika mitandao ya kijamii na kusambaza ripoti au taarifa zinazotishia usalama wa taifa.
-
Ngombea Urais akiri kushindwa Kenya, mmoja auawa kituo cha uchaguzi Kisii
Aug 09, 2017 10:29Mgombea urais wa kujitegemea katika uchaguzi mkuu wa Kenya amekiri kushindwa baada ya matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais kuonesha kuwa, ameshika nafasi ya sita kwa kupata kura elfu 11 na 256.