Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Kenya

  • Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Nchi za Afrika Mashariki kupiga marufuku mitumba

    Feb 27, 2016 22:59

    Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki watakutana Arusha, Tanzania Jumatano ijayo kujadili upigaji marufuku uingizaji wa nguo zilizotumika au mitumba, magari yaliyotumika na bidhaa za ngozi kutoka nje ya eneo eneo hilo.

  • Wapalestina wamkosoa Kenyatta kwa kutembelea Israel

    Wapalestina wamkosoa Kenyatta kwa kutembelea Israel

    Feb 26, 2016 12:45

    Maafisa wa serikali ya Palestina wamemkosoa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa kutembelea vitongoji haramu huko Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Viongozi wakuu serikalini wakana kuhusika na ufisadi Kenya

    Viongozi wakuu serikalini wakana kuhusika na ufisadi Kenya

    Feb 24, 2016 21:56

    Waziri wa zamani wa Ugatuzi nchini Kenya, amesema baadhi ya wanasiasa mashuhuri kutoka muungano unaotawala wa Jubilee walihusika na ufisadi wa shilingi milioni 791 zilizopotea kutoka kwenye hazina ya NYS.

  • Kenya: Tumemuua kamanda wa Intelijinsia wa Al-Shabab

    Kenya: Tumemuua kamanda wa Intelijinsia wa Al-Shabab

    Feb 18, 2016 11:36

    Jeshi la Kenya limetangaza kuwa limemuua kamanda mkuu wa kikosi maalumu cha kundi la kigaidi na kitakfiri la Al-Shabab la Somalia ambaye anaaminika kuwa ndiye aliyepanga shambulio hatari la mwezi uliopita dhidi ya kambi ya wanajeshi wa Kenya huko kusini mwa Somalia.

  • Jela ya wenye misimamo mikali kujengwa Kenya

    Jela ya wenye misimamo mikali kujengwa Kenya

    Feb 17, 2016 11:41

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema njia pekee ya kupunguza kuenea athari mbaya za ugaidi na madudu yake ni kupitia kuundwa jela ya aina yake itakayotumiwa kuwafungia watu wenye misimamo mikali.

  • Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Paspoti za kielektroniki kuzinduliwa Afrika Mashariki

    Feb 17, 2016 03:55

    Raia wa Nchi za Afrika Mashariki wataanza kutumia paspoti za kielektroniki ambazo zitatumika kurahisisha usafiri kwa wananchi wa eneo hilo.

  • Serikali ya Kenya: Tuko imara katika ugatuzi

    Serikali ya Kenya: Tuko imara katika ugatuzi

    Feb 13, 2016 03:07

    Serikali ya Kenya imesisitiza kwamba kwamba ipo imara kuimarisha ugatuzi kinyume na madai yanayotolewa na wapinzani.

  • Upinzani Kenya kumshtaki rais kwa tuhuma za ufisadi

    Upinzani Kenya kumshtaki rais kwa tuhuma za ufisadi

    Feb 07, 2016 10:42

    Viongozi wa upinzani nchini Kenya wamesema kuwa wanajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Rais Uhuru Kenyatta wa nchi hiyo na naibu wake William Ruto, kwa kushindwa kuwaeleza wananchi nanmna walivyotumia mkopo wa Eurobond wa shilingi bilioni 253 za Kenya.

  • Waislamu Kenya walaani kupewa likizo ya lazima Sumaya Uthman

    Waislamu Kenya walaani kupewa likizo ya lazima Sumaya Uthman

    Feb 06, 2016 08:21

    Wataalamu wanawake wa Kiislamu nchini Kenya kupewa likizo ya lazima Sumaya Uthman.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS