Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Korea Kaskazini

  • Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Aug 17, 2023 03:13

    Serikali ya Pyongyang imesema askari Mmarekani mwenye asili ya Afrika alitorokea Korea Kaskazini kutokana na vitendo vya ubaguzi wa rangi na dhulma alizokuwa akishuhudia ndani ya jeshi la Marekani.

  • Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Aug 16, 2023 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini.

  • Korea Kaskazini yakosoa msaada wa silaha za Marekani kwa Taiwan

    Korea Kaskazini yakosoa msaada wa silaha za Marekani kwa Taiwan

    Aug 04, 2023 07:51

    Korea Kaskazini imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuipa Taiwan msaada wa silaha wa mamilioni ya dola ikisisitiza kuwa, Washington inakitumia kisiwa hicho kinachojitawala kushadidisha taharuki na kuchochea moto wa vita katika eneo.

  • Korea Kaskazini yavurumisha makombora kujibu uchokozi wa Marekani

    Korea Kaskazini yavurumisha makombora kujibu uchokozi wa Marekani

    Jul 19, 2023 10:09

    Korea Kaskazini imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea Bahari ya Mashariki kujibu chokochoko za Marekani.

  • Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Jun 18, 2023 10:26

    Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.

  • Dada wa Kiongozi wa Koreka Kaskazini amuita Biden 'mzee asiye na mustakabali'

    Dada wa Kiongozi wa Koreka Kaskazini amuita Biden 'mzee asiye na mustakabali'

    Apr 30, 2023 02:10

    Korea Kaskazini imemtuhumu Rais wa Marekani Joe Biden kwamba hana akili timamu baada ya kutishia kuiangamiza nchi hiyo iwapo itafanya shambulio la nyuklia na kuishutumu Marekani kwa ilichokiita sera "zilizofurutu mpaka" na za "uhasama".

  • Korea Kaskazini yafanyia majaribio droni yenye uwezo wa kufanya shambulio la nyuklia baharini

    Korea Kaskazini yafanyia majaribio droni yenye uwezo wa kufanya shambulio la nyuklia baharini

    Mar 25, 2023 02:19

    Korea Kaskazini imeifanyia majaribio ndege mpya isiyo na rubani ya droni inayoweza kufanya mashambulizi ya nyuklia chini ya maji, likiwa ni jibu la kukabiliana na mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini.

  • Korea Kaskazini: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia imebadilika kutoka nadharia na kuwa uhalisia

    Korea Kaskazini: Hatari ya kutokea vita vya nyuklia imebadilika kutoka nadharia na kuwa uhalisia

    Mar 09, 2023 06:41

    Korea Kaskazini imeonya kuhusu kile ilichokitaja kama hatari "halisi" ya kutokea vita vya nyuklia katika ukanda na dunia nzima, kufuatia duru mpya ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Korea Kusini na Marekani.

  • Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Korea Kaskazini yaonyesha makombora mapya ya kuvuka mabara ya ICBM

    Feb 09, 2023 11:59

    Korea Kaskazini imeonyesha makombora yake mapya ya kisasa kabisa ya balestiki, yenye uwezo wa kuvuka mabara ya ICBM.

  • Korea Kaskazini kuongeza kiwango cha silaha za nyuklia kukabili tishio la US

    Korea Kaskazini kuongeza kiwango cha silaha za nyuklia kukabili tishio la US

    Jan 01, 2023 07:19

    Kiongozi wa Korea Kaskazini ametoa amri ya kuzalishwa makombora mapya ya balestiki ya kuvuka mabara, sambamba na kuongezwa kiwango cha silaha za nyuklia za 'kimkakati' kwa ajili ya kukabiliana na tishio la Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS