Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Rais Ebrahim Raisi na ujumbe aliofuatana nao, wafa shahidi katika ajali ya helikopta

    Rais Ebrahim Raisi na ujumbe aliofuatana nao, wafa shahidi katika ajali ya helikopta

    May 20, 2024 02:10

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Seyed Ebrahim Raisi na viongozi kadhaa aliofuatana nao wamekufa shahidi katika ajali ya helikopta iliyotokea katika eneo la Varzghan mkoani Azerbaijan Mashariki wakiwa katika kazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi.

  • Kiongozi Muadhamu: Iran itaufanya utawala wa Israel ujutie uhalifu nchini Syria

    Kiongozi Muadhamu: Iran itaufanya utawala wa Israel ujutie uhalifu nchini Syria

    Apr 02, 2024 10:01

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Majenerali walioongoka wa Kiislamu katika shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria na kusisitiza kwamba: "Taifa la Iran litawafanya Wazayuni wajutie jinai hiyo na jinai zingine kama hiyo."

  • Mshauri wa IRGC auawa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Syria

    Mshauri wa IRGC auawa shahidi katika shambulio la anga lililofanywa na Israel nchini Syria

    Feb 02, 2024 10:39

    Mshauri wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC ameuawa shahidi kufuatia shambulio la ndege za kivita za utawala wa Kizayuni katika mji wa Aqrabah kusini mwa mji mkuu wa Syria Damascus, karibu na eneo la Sayeda Zainab.

  • Shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Syria na kuuawa shahidi washauri watano wa Iran

    Shambulio la kigaidi la Israel dhidi ya Syria na kuuawa shahidi washauri watano wa Iran

    Jan 21, 2024 05:50

    Washauri watano wa kijeshi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran waliuawa shahidi jana Jumamosi katika shambulizi la kigaidi la anga lililofanywa na utawala wa Kizayuni huko Damascus, mji mkuu wa Syria.

  • Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria

    Radiamali mbalimbali za kuuawa shahidi mshauri wa kijeshi wa Iran nchini Syria

    Dec 26, 2023 05:28

    Kamanda Sayyid Razi Mousavi, mmoja wa washauri wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH), ambaye alikuwa akifanya kazi katika uga wa utoaji misaada ya kilojistiki kwa Mhimili wa Muqawama wa Syria, aliuawa shahidi katika shambulio lililofanywa jana Jumatatu na utawala wa Kizayuni katika eneo la Zainabiyah mjini Damascus.

  • Ripoti: Wapalestina zaidi ya 200 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Ripoti: Wapalestina zaidi ya 200 wameuawa shahidi tangu kuanza mwaka huu

    Aug 02, 2023 23:16

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimewaua shahidi Wapalestina zaidi ya 200 tangu kuanza mwaka huu 2023.

  • Kumbukumbu za Tasua ya Imam Husain AS zafanyika kona zote za Iran

    Kumbukumbu za Tasua ya Imam Husain AS zafanyika kona zote za Iran

    Jul 27, 2023 23:30

    Jana Alkhamisi ilisadifiana na mwezi Tisa Mfunguo Nne, Muharram, siku ya maombolezo ya Tasua ya Imam Husain AS na mashahidi wengine wa mapambano ya Karbala ya mwaka 61 Hijria.

  • HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    HAMAS: Damu za mashahidi hazitaachwa kumwagika vivi hivi

    Apr 24, 2023 21:55

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, kamwe haitoruhusu damu za mashahidi zimwagike vivi hivi. Taarifa ya harakati hiyo imetolewa baada ya wanajeshi makatili wa Israel kumuua kigaidi kijana mwingine wa Kipalestina huko Ariha.

  • IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    Apr 02, 2023 07:22

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa: bila ya shaka yoyote jinai za utawala bandia na mtenda jinai wa Kizayuni hazitaachwa bila kujibiwa; na utawala huo haramu utalipa gharama za jinai zake.

  • Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Feb 02, 2023 08:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu kwa kuchapisha picha za mashahidi wa Kipalestina waliouawa na jeshi la Israel katika mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS