Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufa shahidi - kuuawa shahidi

  • Kiongozi Muadhamu: Kuna njama maalumu za kusahaulisha utamaduni wa jihadi na kufa shahidi

    Kiongozi Muadhamu: Kuna njama maalumu za kusahaulisha utamaduni wa jihadi na kufa shahidi

    Dec 26, 2019 12:03

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, suala la kuwaenzi mashahidi ni jambo la lazima na ni jukumu la kila mtu kwani hivi sasa kuna siasa na harakati za kikhabithi zinazolenga kusahaulisha nembo za Mapinduzi ya Kiislamu hususan utamaduni wa jihadi na kuwa tayari kujitolea kufa shahidi katika njia ya Allah.

  • Kamanda mwingine wa Jihad Islami ya Palestina auawa shahidi

    Kamanda mwingine wa Jihad Islami ya Palestina auawa shahidi

    Nov 13, 2019 11:58

    Kamanda mwingine wa ngazi za juu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina ameuawa shahidi katika hujuma ya ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Maombolezo ya Imam Ali Ridha (as) nchini Iran

    Maombolezo ya Imam Ali Ridha (as) nchini Iran

    Oct 29, 2019 07:52

    Leo Jumanne tarehe 30 Swafar 1441 Hijiria sawa na tarehe 29 Oktoba Miladia inasadifiana na siku ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Ali ar-Ridha (as), mjukuu wa Mtume Mtukufu (saw) miaka 1237 iliyopita.

  • Makumi ya mateka wa Kipalestina wameuawa kwa mateso Israel

    Makumi ya mateka wa Kipalestina wameuawa kwa mateso Israel

    Oct 03, 2019 04:14

    Kundi la kutetea haki za binadamu la Palestina limeripoti kuwa, makumi ya mateka na wafungwa wa Kipalestina wameuawa kwa mateso na ukatili wa aina mbalimbali wakihojiwa na kusailiwa na maafisa wa magereza na jela za utawala haramu wa Israel.

  • Jeshi la Israel lamuua shahidi Mpalestina huko Ghaza

    Jeshi la Israel lamuua shahidi Mpalestina huko Ghaza

    Aug 11, 2019 07:32

    Kijana mmoja Mpalestina mapema leo asubuhi amekufa shahidi baada ya kupigwa risasi na askari wa Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko kusini mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Polisi wa Iran auawa shahidi akipambana na magenge ya mihadarati

    Polisi wa Iran auawa shahidi akipambana na magenge ya mihadarati

    Jul 10, 2019 07:56

    Afisa mmoja wa Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuawa shahidi wakati akipambana na magenge ya madawa ya kulevya katika eneo la Minab, mkoani Hormozgan, kusini mwa Iran.

  • Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina

    Wazayuni waua watoto 16 wa Kipalestina

    Jul 10, 2019 07:44

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Mizan kimetoa ripoti na kusema kuwa, katika nusu ya kwanza ya mwaka huu wa 2019, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel umeshaua shahidi watoto 16 wa Kipalestina kwa kuwapiga risasi kwa makusudi.

  • Waislamu waomboleza mauaji ya mjukuu wa Mtume, Sadiq Aali Muhammad

    Waislamu waomboleza mauaji ya mjukuu wa Mtume, Sadiq Aali Muhammad

    Jun 29, 2019 16:55

    Waislamu wa Iran na baadhi ya maeneo mengine ya dunia leo tarehe 25 Mfunguo Mosi Shawwal wameshiriki katika shughuli ya kukumbuka na kuomboleza mauaji ya mjukuu wa Mtume wetu Muhammad (saw), Ja'far Sadiq (as).

  • Wapalestina 304 wameshauawa shahidi tangu yalipoanza maandamano ya

    Wapalestina 304 wameshauawa shahidi tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    May 12, 2019 02:36

    Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa, hadi hivi sasa Wapalestina 304 wameshauawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi makatili wa Israel wakiwemo watoto wadogo 59 na wanawake 10 tangu yalipoanza maandamano ya "Haki ya Kurejea" ya Wapaelstina tarehe 30 Machi mwaka jana 2018.

  • Vijana wawili wa Kipalestina wauawa shahidi kwa kupigwa risasi na Wazayuni

    Vijana wawili wa Kipalestina wauawa shahidi kwa kupigwa risasi na Wazayuni

    Mar 04, 2019 08:08

    Vijana wawili wadogo wa Kipalestina wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala haramu wa Israel katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS