Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kufutwa vikwazo

  • Russia yaitaka Marekani iache kujifanya 'polisi wa dunia'

    Russia yaitaka Marekani iache kujifanya 'polisi wa dunia'

    Oct 20, 2020 04:29

    Russia imeikosoa vikali Marekani kwa kufuata tena mkondo ghalati wa kuzishinikiza nchi za dunia zifuate sera, matakwa na maagizo yake.

  • Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Oct 20, 2020 04:10

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka serikali za nchi za Kiislamu zisikubali kufuata nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    El-Baradei: Mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya Marekani dhidi ya Iran yamefeli

    Oct 13, 2020 04:18

    Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amekosoa vikali sera ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa, mashinikizo hayo yamegonga mwamba.

  • Khatibazadeh: Marekani inajua madai yake ya vikwazo dhidi ya Iran ni hewa

    Khatibazadeh: Marekani inajua madai yake ya vikwazo dhidi ya Iran ni hewa

    Sep 20, 2020 22:56

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amesema tangazo la Marekani kwamba vikwazo vyote vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Tehran ambavyo vilikuwa vimeondolewa eti vimerejeshwa upya ni madai hewa, yasio na athari yoyote na yaliyo kinyume cha sheria.

  • Waziri wa Afya wa Iran asisitiza ulazima wa kukabiliana na vikwazo haramu vya Marekani

    Waziri wa Afya wa Iran asisitiza ulazima wa kukabiliana na vikwazo haramu vya Marekani

    Sep 08, 2020 08:40

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran ametaka kutolewa wito wa kimataifa wa kuhitimishwa vikwazo vilivyo kinyume cha sheria na vya upande mmoja vya Marekani.

  • China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    China yapinga kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jun 12, 2020 23:41

    Kwa mara nyingine tena China imepinga vikali njama za Marekani za kutaka kurefushwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran. Muda wa vikwazo hivyo unafikia tamati Oktoba mwaka huu wa 2020, kwa mujibu wa Azimio Nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran yazitaka Marekani na EU ziiondolee Syria vikwazo

    Iran yazitaka Marekani na EU ziiondolee Syria vikwazo

    Jun 06, 2020 03:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametaka kuondolewa mara moja vikwazo haramu dhidi ya taifa la Syria vilivyowekwa na Marekani na Umoja wa Ulaya.

  • Rais Kagame ataka kuondolewa vikwazo Zimbabwe na Sudan

    Rais Kagame ataka kuondolewa vikwazo Zimbabwe na Sudan

    Jun 04, 2020 03:03

    Rais Paul Kagame wa Rwanda ametoa mwito wa kuondolewa vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Zimbabwe na Sudan ili kuzisaidia nchi hizo katika vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19.

  • Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    May 24, 2020 06:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake kuwa ulimwengu wa Kiislamu utaibuka na ushindi dhidi ya maadui.

  • Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kupunguza vikwazo dhidi ya Syria, Libya na Yemen

    Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kupunguza vikwazo dhidi ya Syria, Libya na Yemen

    Apr 05, 2020 02:58

    Kufuatia kuenea janga la corona kote duniani, na pamoja na kuwepo sisitizo la ushirikiano wa kimataifa katika kudhibiti na kupunguza kuenea corona, kuendelea vikwazo vya baadhi ya nchi, ikiwemo Marekani, ni chanzo cha kuvurugika vita dhidi ya corona. Vikwazo hivyo vimezuia nchi nyingi kupata bidhaa na vifaa vya kiafya vinavyohitajika kukabiliana na janga la corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS