Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

kupambana na ugaidi

  • Assad: Mgororo wa Syria utatatuliwa kwa mazungumzo sambamba na kupambana na ugaidi

    Assad: Mgororo wa Syria utatatuliwa kwa mazungumzo sambamba na kupambana na ugaidi

    Jul 02, 2016 21:56

    Rais Bashar Assad wa Syria amesema kuwa, haiwezekani kupatikana njia ya ufumbuzi halisi wa mgogoro wa nchi hiyo bila ya kuwepo mapambano ya kweli dhidi ya ugaidi.

  • Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Umoja wa Ulaya waahidi kushirikiana na Afrika Magharibi dhidi ya ugaidi

    Jun 25, 2016 01:55

    Umoja wa Ulaya umesema kuwa utashirikiana na nchi za eneo la Magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Iran: Magaidi tuliowakamata wakiri kutumwa na Saudia na US

    Iran: Magaidi tuliowakamata wakiri kutumwa na Saudia na US

    Jun 24, 2016 22:20

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema wanachama wa magenge ya kigaidi waliokamatwa hivi karibuni hapa nchini wakipanga njama za kutekeleza mashambulizi ya bomu wamekiri kwamba walipokea ufadhili kutoka Saudi Arabia na Marekani.

  • Magaidi wakamatwa wakipanga  kushambulia maeneo 50 nchini Iran

    Magaidi wakamatwa wakipanga kushambulia maeneo 50 nchini Iran

    Jun 22, 2016 02:17

    Waziri wa Usalama Iran Mahmoud Alavi amesema magaidi wakufurishaji waliokamatwa hivi karibuni walipanga kutekeleza mashambulizi katika maeneo 50 kote Iran.

  • Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Radiamali ya Syria kufuatia kuwepo vikosi ajinabi nchini humo

    Jun 15, 2016 23:21

    Damascus imekosoa kuwepo wanajeshi wa nchi za nje kaskazini mwa Syria.

  • Iraq yaunga mkono kuwepo washauri wa kijeshi wa Iran katika vita dhidi ya ugaidi

    Iraq yaunga mkono kuwepo washauri wa kijeshi wa Iran katika vita dhidi ya ugaidi

    Jun 08, 2016 23:01

    Msemaji wa serikali ya Iraq amesisitiza kuwa washauri wa kijeshi wa Iran walioko Iraq walitumwa nchini humo kufuatia ombi la Iraq na kwa uratibu wa Baghad kwa ajili ya kuendesha mapambano dhidi ya ugaidi nchini humo.

  • Iran yasambaratisha makundi 20 ya kigaidi

    Iran yasambaratisha makundi 20 ya kigaidi

    May 20, 2016 23:26

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesambaratisha zaidi ya makundi 20 ya magaidi ambao walikuwa wamepanga kuripua mabomu na kutekeleza hujuma kadhaa kote nchini katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

  • Wito wa Iraq kwa Jamii ya Kimataifa kuisaidia katika vita dhidi ya ugaidi

    Wito wa Iraq kwa Jamii ya Kimataifa kuisaidia katika vita dhidi ya ugaidi

    May 16, 2016 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq Ibrahim al-Jaafari ameiomba Jamii ya Kimataifa iisaidie nchi yake katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Waalgeria watatu watiwa mbaroni kwa tuhuma za ugaidi

    Waalgeria watatu watiwa mbaroni kwa tuhuma za ugaidi

    May 07, 2016 11:38

    Jeshi la Algeria limewatia mbaroni raia watatu wa nchi hiyo kwa tuhuma za kuyasaidia makundi ya kigaidi nchini humo.

  • Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Iran: Ulaya itoe ushirikiano katika kupambana na ugaidi na utekelezaji wa JCPOA

    Apr 30, 2016 11:47

    Rais Hassan Rouhani ameutaka Umoja wa Ulaya utoe ushirikiano katika mapambano dhidi ya ugaidi na kusisitizia ulazima wa kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia (JCPOA).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS