-
Mkutano wa Tatu wa Mshikamamo na Vijana wa Palestina wafanyika Tehran
Oct 03, 2019 13:41Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto na Vijana wa Palestina kwa ajili ya kumkumbuka shahidi Muhammad al Durrah umefanyika hapa Tehran.
-
Larijani: Trump anafananisha medani ya siasa na ukumbi wa michezo ya kuigiza
Aug 21, 2019 03:15Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amekosea kufananisha medani ya siasa za uwanja wa michezo ya kuigiza na hatua hii inatoa pigo kwa hadhi ya taifa la Marekani.
-
Video inayowaonesha wanajeshi wa SEPAH wa Iran wakiionya manuwari ya kivita vya Uingereza isiingilie operesheni ya kuzuia meli ya mafuta ya nchi hiyo
Jul 29, 2019 20:48Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH limesambaza mkanda wa video na sauti wakati jeshi hilo lilipotoa onyo kwa Manuwari ya Kifalme wa Uingereza kwamba ikae mbali na isiingilie operesheni ya kusimamishwa meli ya mafuta iliyokuwa inapeperushwa bendera ya Uingereza katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Spika Larijani: Mkakati wa Iran ni kuinua kiwango cha usalama Mashariki ya Kati
Jul 29, 2019 04:22Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya stratijia ya Tehran ya kuinua kiwango cha usalama katika Mashariki ya Kati na kusema kwamba, usalama wa eneo hili unaweza kuletwa na nchi husika za eneo hili na si vinginevyo.
-
Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni
Jun 02, 2019 15:25Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema sera za Saudi Arabia na Imarati (UAE) zitawadhuru katika siku za usoni.
-
Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina
May 27, 2019 04:27Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekosoa vikali njama za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani zilizopewa jina la 'Muamala wa Karne' dhidi ya Wapalestina, huku akitoa mwito wa mahudhurio makubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.
-
Larijani: Wamarekani wafahamu kuwa Iran ni mshindani mgumu kwao
Apr 29, 2019 10:16Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Ali Larijani amesema Wairani kamwe hawatasalimu amri mbele ya wanaotumia mabavu na kuongeza kuwa: "Wakuu wa Marekani wanapaswa kufahamu kuwa, Iran ni mshindani mgumu kwao."
-
Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina
Apr 08, 2019 07:58Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Ali Larijani ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya nchi za Kiislamu ya kuitelekeza na kuiweka pembeni kadhia muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, ambayo ni Palestina.
-
Larijani: Marekani inatekeleza ugaidi wa kiuchumi
Apr 08, 2019 04:07Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amesema: "Kwa vikwazo vyake vya kiuchumi dhidi ya serikali na taifa la Iran, Marekani inatekeleza ugaidi wa kiuchumi."
-
Spika wa Bunge la Iran alaani matamshi ya Trump kuhusu eneo la Golan linalokaliwa kwa mabavu
Mar 25, 2019 01:48Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amelaani matamshi ya kichochezi ya rais wa Marekani kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel una mamlaka ya kulimiliki eneo la Golan la Syria unalolikalia kwa mabavu.