Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Larijani

  • Mkutano wa Tatu wa Mshikamamo na Vijana wa Palestina wafanyika Tehran

    Mkutano wa Tatu wa Mshikamamo na Vijana wa Palestina wafanyika Tehran

    Oct 03, 2019 13:41

    Mkutano wa 3 wa Kimataifa wa Mshikamano na Watoto na Vijana wa Palestina kwa ajili ya kumkumbuka shahidi Muhammad al Durrah umefanyika hapa Tehran.

  • Larijani: Trump anafananisha medani ya siasa na ukumbi wa michezo ya kuigiza

    Larijani: Trump anafananisha medani ya siasa na ukumbi wa michezo ya kuigiza

    Aug 21, 2019 03:15

    Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa Rais Donald Trump wa Marekani amekosea kufananisha medani ya siasa za uwanja wa michezo ya kuigiza na hatua hii inatoa pigo kwa hadhi ya taifa la Marekani.

  • Video inayowaonesha wanajeshi wa SEPAH wa Iran wakiionya manuwari ya kivita vya Uingereza isiingilie operesheni ya kuzuia meli ya mafuta ya nchi hiyo

    Video inayowaonesha wanajeshi wa SEPAH wa Iran wakiionya manuwari ya kivita vya Uingereza isiingilie operesheni ya kuzuia meli ya mafuta ya nchi hiyo

    Jul 29, 2019 20:48

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH limesambaza mkanda wa video na sauti wakati jeshi hilo lilipotoa onyo kwa Manuwari ya Kifalme wa Uingereza kwamba ikae mbali na isiingilie operesheni ya kusimamishwa meli ya mafuta iliyokuwa inapeperushwa bendera ya Uingereza katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Spika Larijani: Mkakati wa Iran ni kuinua kiwango cha usalama Mashariki ya Kati

    Spika Larijani: Mkakati wa Iran ni kuinua kiwango cha usalama Mashariki ya Kati

    Jul 29, 2019 04:22

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya stratijia ya Tehran ya kuinua kiwango cha usalama katika Mashariki ya Kati na kusema kwamba, usalama wa eneo hili unaweza kuletwa na nchi husika za eneo hili na si vinginevyo.

  • Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Spika wa Bunge la Iran: Sera za Saudia na Imarati zitawadhuru siku za usoni

    Jun 02, 2019 15:25

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, amesema sera za Saudi Arabia na Imarati (UAE) zitawadhuru katika siku za usoni.

  • Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina

    Spika wa Bunge la Iran akosoa njama za Wamagharibi dhidi ya Wapalestina

    May 27, 2019 04:27

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amekosoa vikali njama za nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani zilizopewa jina la 'Muamala wa Karne' dhidi ya Wapalestina, huku akitoa mwito wa mahudhurio makubwa katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds.

  • Larijani: Wamarekani wafahamu kuwa Iran ni mshindani mgumu kwao

    Larijani: Wamarekani wafahamu kuwa Iran ni mshindani mgumu kwao

    Apr 29, 2019 10:16

    Spika wa Bunge la Iran, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Ali Larijani amesema Wairani kamwe hawatasalimu amri mbele ya wanaotumia mabavu na kuongeza kuwa: "Wakuu wa Marekani wanapaswa kufahamu kuwa, Iran ni mshindani mgumu kwao."

  • Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Apr 08, 2019 07:58

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Ali Larijani ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya nchi za Kiislamu ya kuitelekeza na kuiweka pembeni kadhia muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, ambayo ni Palestina.

  • Larijani: Marekani inatekeleza ugaidi wa kiuchumi

    Larijani: Marekani inatekeleza ugaidi wa kiuchumi

    Apr 08, 2019 04:07

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, Ali Larijani amesema: "Kwa vikwazo vyake vya kiuchumi dhidi ya serikali na taifa la Iran, Marekani inatekeleza ugaidi wa kiuchumi."

  • Spika wa Bunge la Iran alaani matamshi ya Trump kuhusu eneo la Golan linalokaliwa kwa mabavu

    Spika wa Bunge la Iran alaani matamshi ya Trump kuhusu eneo la Golan linalokaliwa kwa mabavu

    Mar 25, 2019 01:48

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amelaani matamshi ya kichochezi ya rais wa Marekani kwamba utawala wa Kizayuni wa Israel una mamlaka ya kulimiliki eneo la Golan la Syria unalolikalia kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS