Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lavrov

  • Lavrov kuendesha mjadala wa Baraza la Usalama kuhusu Mashariki ya Kati

    Lavrov kuendesha mjadala wa Baraza la Usalama kuhusu Mashariki ya Kati

    Jul 02, 2024 12:33

    Russia ambayo inashikilia uwenyekiti wa kiduri wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa mwezi huu wa Julai imetangaza kuwa Waziri wake wa Mambo ya Nje Sergei Lavrov ndiye atakayesimamia vikao kadhaa vya mikutano ya baraza hilo mwezi huu, ikiwa ni pamoja na mjadala kuhusu hali ya mambo ya Mashariki ya Kati.

  • Lavrov: Mustakbali wa kundi la Wagner unazihusu nchi zilizosaini makubaliano na kundi hilo

    Lavrov: Mustakbali wa kundi la Wagner unazihusu nchi zilizosaini makubaliano na kundi hilo

    Jun 30, 2023 14:23

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa mustakabali wa mikataba iliyotiwa saini kati ya nchi mbalimbali za Afrika na kundi la wanamgambo wa Wagner ni suala linalozihusu serikali zilizofikia makubaliano hayo.

  • Marekani haijampatia viza Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ya kuingia UN

    Marekani haijampatia viza Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ya kuingia UN

    Apr 12, 2023 12:40

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametangaza kuwa Marekani bado haijampatia Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov viza ya kuingia nchini humo kushiriki katika mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mjini New York.

  • Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Lavrov: Mazungumzo ya amani kuhusu Ukraine lazima yazingatie 'maslahi na wasiwasi ilionao Russia'

    Apr 09, 2023 02:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema mazungumzo yoyote ya amani ya Ukraine lazima yalenge kuanzisha "nidhamu mpya wa dunia" na kuzingatia "maslahi ya Russia na wasiwasi ilionao".

  • Lavrov: Nchi za Magharibi zinataka makabiliano na Russia

    Lavrov: Nchi za Magharibi zinataka makabiliano na Russia

    Apr 04, 2023 07:03

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa uhusiano wa Umoja wa Ulaya mkabala wa Russia si wa kirafiki.

  • Lavrov: Tutaisadia Afrika Magharibi katika vita dhidi ya makundi yenye silaha

    Lavrov: Tutaisadia Afrika Magharibi katika vita dhidi ya makundi yenye silaha

    Feb 09, 2023 02:19

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameahidi msaada wa nchi yake kwa nchi za Magharibi mwa Afrika katika kupambana na makundi yanayobeba silaha. Moscow imebainisha hayo katika juhudi za kupanua ushawishi wake barani Afrika wakati huu Russia ikiendelea kuvutana kidiplomasia na mataifa ya Magharibi.

  • Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Lavrov asisitiza kushirikiana na Iran, China, Uturuki na India

    Nov 19, 2022 02:30

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Ijumaa alisisitiza kuwa kuna umuhimu Moscow kushirikiana na Tehran, Beijing, Ankara, New Delhi na nchi nyingine za pambizoni mwa bahari ya Kaspi.

  • Russia yaonya kuhusu uwezekano wa kutokea Vita vya Tatu vya Dunia

    Russia yaonya kuhusu uwezekano wa kutokea Vita vya Tatu vya Dunia

    Apr 26, 2022 07:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameonya kuwa, hivi sasa kuna uwezekano walimwengu wakashuhudia kutoka Vita vya Tatu vya Dunia.

  • Lavrov: Video za

    Lavrov: Video za "Bucha" ni kisingizio cha kuharibu mazungumzo yanayoendelea Istanbul

    Apr 07, 2022 01:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amelilaumu jeshi la Ukraine na idara za usalama za nchi hiyo kwa kubuni mkanda wa video eti ya mauaji ya mji wa Bucha na kuongeza: "Hiki ni kisingizio cha kuvuruga mazungumzo yanayoendelea Istanbul."

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Safari ya Rais wa Iran mjini Moscow ina umuhimu mkubwa sana

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia: Safari ya Rais wa Iran mjini Moscow ina umuhimu mkubwa sana

    Jan 21, 2022 02:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mjini Moscow ina umuhimu mkubwa sana,.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS