Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu asisitiza kuendelea ushirikiano kati ya Iran na Qatar

    May 23, 2024 05:02

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, katika kikao na "Tamim bin Hamad Al-Thani" Amir wa Qatar na ujumbe aliofuatana nao, ameishukuru Qatar kwa rambirambi zake katika msiba wa kufa shahidi Sayyid Ebrahim Raisi na mashahidi wenzake, na kusisitiza haja ya kuendelea ushirikiano kati ya nchi hizi mbili.

  • "Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu"

    May 17, 2024 07:10

    Rais wa Chuo cha Da'awa ya Kiislamu cha Lebanon amesema ibada ya Hija ya mwaka huu ina umuhimu wa kipekee wakati huu ambapo Wazayuni wanaendelea kumwaga damu za Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, "Kuna haja ya kuitetea Gaza katika Hija ya mwaka huu."

  • HRW yaikosoa Marekani kwa kuupa silaha utawala wa Kizayuni

    HRW yaikosoa Marekani kwa kuupa silaha utawala wa Kizayuni

    May 08, 2024 02:24

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limetangaza katika ripoti yake kuwa Israel imetumia silaha kutoka Marekani katika mashambulizi yake dhidi ya eneo la al Habariyeh huko Lebanon.

  • Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran

    Apr 17, 2024 06:48

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Israel itafanya kosa jingine lolote dhidi ya Iran, basi Wazayuni na waungaji mkono wao wataelewa maana halisi ya majibu ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Lebanon kuishtaki Israel katika Baraza la Usalama kwa kuishambulia kwa droni

    Feb 16, 2024 02:46

    Serikali ya Lebanon imesema itawasilisha faili la malalamiko dhidi ya Israel katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, kufuatia hatua ya utawala huo wa Kizayuni kufanya shambulio hatarishi la ndege zisizo na rubani na kuua watu kadhaa kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    HAMAS: Jeshi la Israel linaendelea kufanya jinai kwenye hospitali za Gaza

    Feb 01, 2024 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wanaendelea kufanya jinai katika hospitali na vituo vya matibabu huko Khan Yunis, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Sababu za Israel kupenda vita vienee eneo zima la Asia Magharibi

    Jan 30, 2024 02:44

    Duru mbalimbali za habari zimeripoti kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya njama za kila namna za kutaka vita vienee kwenye eneo zima la Asia Magharibi.

  • Hizbullah yazima uvamizi wa kijeshi wa Israel kusini ya Lebanon

    Hizbullah yazima uvamizi wa kijeshi wa Israel kusini ya Lebanon

    Jan 22, 2024 07:29

    Wanajihadi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon wametibua uvamizi wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu, huku ngome za utawala huo ghasibu zikiendelea kulengwa kwa makombora ya kundi hilo la muqawama, likiwa ni jibu kwa mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Msemaji wa jeshi la Israel akiri, makombora ya Hizbullah yameuathiri utawala huo

    Msemaji wa jeshi la Israel akiri, makombora ya Hizbullah yameuathiri utawala huo

    Jan 15, 2024 14:14

    Msemaji wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa mashambulizi ya makombora ya harakati ya Hizbullah ya Lebanon huko kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) yamekwua na ufanisi na kulenga shabaha.

  • Mapigano ya mpakani yaanza tena kati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Mapigano ya mpakani yaanza tena kati ya Hizbullah ya Lebanon na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Nov 02, 2023 13:19

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai zinazoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza kwa kushambulia ngome za jeshi la utawala huo ghasibu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS