Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah

    Israel yafyata mkia, yasema haitaki kuingia vitani na Hizbullah

    Oct 25, 2023 07:36

    Rais Isaac Herzog wa Israel amedai kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna azma ya kuingia vitani na Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon katika upande wa kaskazini, siku chache baada ya viongozi wa Marekani kuwatahadharisha watawala wa Israel kuhusu ugumu na hatari ya kuendesha vita viwili kwa wakati mmoja; upande wa kusini na Harakati ya Hamas ya Palestina na upande wa kaskazini na harakati yenye nguvu kubwa ya kijeshi, Hizbullah.

  • Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Oct 13, 2023 11:37

    Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.

  • Askofu wa Lebanon: Kuvunjia heshima matukufu ya kidini ni uovu

    Askofu wa Lebanon: Kuvunjia heshima matukufu ya kidini ni uovu

    Sep 22, 2023 02:41

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiothodoksi la Jabal na Tripoli la Lebanon amelaani vitendo vya kuyavunjia heshima matukufu ya kidini na kusisitiza kuwa, kufanya vitendo hivyo ni jambo ovu.

  • Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21

    Amir wa Qatar: Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21

    Sep 20, 2023 11:28

    Amir wa Qatar amesema kuwa, Israel ni utawala wa kibaguzi wa karne ya 21, na kusisitiza kuwa, wananchi wa Palestina hawapaswi kuwa watumwa wa dhulma na ukatili wa wavamizi wanaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Wakuu wa muqawama Palestina na Lebanon kutoa jibu la pamoja dhidi ya Israel

    Wakuu wa muqawama Palestina na Lebanon kutoa jibu la pamoja dhidi ya Israel

    Sep 03, 2023 07:41

    Viongozi wa harakati za muqawama za Palestina na Lebanon wameapa kushirikiana ili kutoa jibu la pamoja dhidi ya sera za uvamizi za utawala haramu wa Israel.

  • Amir-Abdollahian aonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah na Spika wa Bunge la Lebanon

    Amir-Abdollahian aonana na Katibu Mkuu wa Hizbullah na Spika wa Bunge la Lebanon

    Sep 01, 2023 12:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na Katibu Mkuu wa Hizbullahi ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah na Spika wa Bunge la Lebanon, Nabih Berri.

  • Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo

    Jenerali Mzayuni: Jeshi la Israel yumkini litaporomoka katika vita vijavyo

    Sep 01, 2023 03:05

    Meja Jenerali mstaafu wa Israel ameonya juu ya uwezekano wa kuangamia jeshi la utawala huo haramu iwapo litajitosa katika vita vipya.

  • Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Iran yataka kusitishwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina Lebanon

    Aug 04, 2023 07:57

    Msemaji wa Wiziara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inatoa mwito wa kukomeshwa mapigano katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Ain Al-Hilweh nchini Lebanon.

  • Utulivu tete katika kambi ya Ain Al-Hilweh kufuatia matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Utulivu tete katika kambi ya Ain Al-Hilweh kufuatia matamshi ya Sayyid Hassan Nasrullah

    Aug 03, 2023 11:08

     Utulivu wa kiwango fulani umerejea katika kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya   Ain Al-Hilweh nchini Lebanon kufuatia matamshi ya Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyid Hassan Nasrallah, ya kusisitizia ulazima wa kusitishwa mapigano katika kambi hiyo.

  • Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Bunge la Lebanon lashindwa tena kumchagua Rais mpya

    Jun 15, 2023 02:50

    Bunge la Lebanon hapo jana lilishindwa tena kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kwa mara ya 12; na kupelekea mkwamo wa kumchagua kiongozi wa juu zaidi nchini humo kuendelea kushuhudiwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS