-
Nasrallah: Watu wa Lebanon hawapingi Hizbullah kumiliki silaha
May 10, 2022 00:03Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah ameashiria uchunguzi wa maoni wa hivi karibuni na kusema tatizo la waliowengi nchini Lebanon si silaha za Hizbullah au Muqawama bali ni hali ya maisha.
-
Kuwa tayari Lebanon kwa ajili ya zoezi la uchaguzi wa Bunge
May 05, 2022 03:33Bassam Mawlawi, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Lebanon ametangaza kuwa, maandalizi ya lazima kwa ajili ya kuendesha zoezi la uchaguzi wa Bunge nchini humo katika muda uliopangwa yamekamilika.
-
Nasrullah atahadharisha kuhusu njama za kuitumbukiza Lebanon katika mzozo baada ya ajali ya boti
Apr 25, 2022 06:21Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah ametahadharisha juu ya njama zenye lengo la kuibua machafuko katika nchi hiyo ambayo imeathiriwa na mgogoro mkubwa wa kiuchumi. Sayyid Hassan Nasrullah ameeleza haya baada ya boti kuzama mashariki mwa bahari ya Mediterania.
-
Spika wa Lebanon: Iran ndio chimbuko kuu la muqawama katika eneo
Mar 25, 2022 09:53Spika wa Bunge la Lebanon ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kama chanzo kikuu cha harakati za muqawama katika eneo la Asia Magharibi, zilizoipa ilhamu kambi ya muqawama kote duniani.
-
Saudia na Kuwait kuwarejesha mabalozi wao Lebanon
Mar 24, 2022 21:59Saudi Arabia na Kuwait zimeamua kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia na Beirut, ambao uliingia doa mwaka jana kufuatia matamshi ya ukosoaji aliyotoa aliyekuwa waziri wa habari wa Lebanon kuhusiana na uchokozi na uvamizi wa kijeshi wa muungano wa kivita wa unaoongozwa na Saudia dhidi ya Yemen.
-
Hizbullah: Vikwazo vya Marekani haviathiri mapambano ya Walebanon
Mar 05, 2022 10:46Mbunge wa harakati ya Hizbullah katika Bunge la Lebanon amesema vikwazo vya Marekani havina taathira yoyote katika mapambano ya Kiislamu au muqawama na kuongeza kuwa, Hizbullah ina njia mbalimbali za kusimama kidete na kukabiliana na mashinikizo ya maadui.
-
Walebanoni waandamana kuunga mkono operesheni ya kijeshi ya Russia nchini Ukraine
Mar 04, 2022 04:34Wakazi wa mji mkuu wa Lebanon, Beirut wamefanya maandamano wakishirikiana na Warussia wanaoishi nchini humo wakiunga mkono operesheni ya Jeshi la Russia dhidi ya "mafashisti wa Ukraine".
-
Amir Abdollahian afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon, Katibu Mkuu wa UN na wawakilishi wa nchi mbalimbali mjini Munich
Feb 20, 2022 09:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon pambizoni mwa Mkutano wa 58 wa Usalama wa Munich.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Beirut haitakabidhi silaha za Hizbullah
Jan 29, 2022 08:07Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakabidhi silaha za Hizbullah. Abdallah Bou Habib ameyasema hayo kabla ya mkutano na mawaziri wenzake wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi huko Kuwait unaolenga kuboresha uhusiano.
-
Mufti wa Lebanon: Moto wa vita vya Yemen utachoma miji mikuu ya nchi za Kiarabu
Jan 24, 2022 22:59Mufti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Lebanon amesema kuwa, iwapo moto wa vita vya Yemen hautazimwa, utachoma pia miji mikuu ya nchi za Kiarabu.