-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Beirut haitakabidhi silaha za Hizbullah
Jan 29, 2022 11:37Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakabidhi silaha za Hizbullah. Abdallah Bou Habib ameyasema hayo kabla ya mkutano na mawaziri wenzake wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi huko Kuwait unaolenga kuboresha uhusiano.
-
Mufti wa Lebanon: Moto wa vita vya Yemen utachoma miji mikuu ya nchi za Kiarabu
Jan 25, 2022 02:29Mufti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Lebanon amesema kuwa, iwapo moto wa vita vya Yemen hautazimwa, utachoma pia miji mikuu ya nchi za Kiarabu.
-
Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon
Jan 16, 2022 02:44Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.
-
Rais wa Lebanon: Tunahitaji miaka 7 kutoka kwenye hali mbaya tuliyonayo sasa
Dec 25, 2021 11:09Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, nchi hiyo inahitaji muda wa miaka sita hadi saba kutoka kwenye hali mbaya inayokabiliana nayo hivi sasa.
-
Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Lebanon kutanguliza mbele matakwa vya wananchi
Dec 20, 2021 07:50Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa Lebanon kufanya kazi kwa pamoja ili kutatua migogoro iliyopo nchini humo, huku akitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuisaidia na kuiunga mkono Lebanon kutokana na matatizo yake ya sasa.
-
George Kordahi: Sina cha kujutia; ndio kwanza majukumu yangu ya kisiasa yameanza
Dec 16, 2021 02:55Waziri wa zamani wa Habari wa Lebanon aliyejiuzulu hivi karibuni amesema kuwa, hana cha kujutia kwa matamshi yake ya huko nyuma ya kuviona vita vya Saudi Arabia huko Yemen kuwa ni vya kipuuzi na visivyo na maana.
-
George Kordahi: Sikuwa mtu wa kwanza kuviona vita vya Saudia huko Yemen kuwa ni upuuzi
Dec 06, 2021 12:48Waziri wa zamani wa Habari wa Lebanon aliyejiuzulu hivi karibuni amezungumza kwa mara yaa kwanza katikka mahojiano tangu ajiuzulu na kueleza kwamba, yeye hakuwa mtu wa kwanza kuviona vita vya Saudi Arabia huko Yemen kuwa ni vya kipuuzi na visivyo na maana.
-
Waziri wa Lebanon aliyekosoa hujuma ya Saudia Yemen ajiuzulu
Dec 04, 2021 04:42Waziri wa Habari wa Lebanon George Kordahi amejiuzulu ili kupunguza mgogoro wa nchi yake na Saudi Arabia baada ya kauli yake ya kukosoa vita vya Saudia dhidi ya Yemen.
-
Russia: Lebanon haipasi kufanywa mahali pa kukomoana na kulipiziana visasi nchi zingine
Nov 23, 2021 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, ana matumaini serikali mpya ya Lebanon itaweza kuhitimisha mgogoro wa muda mrefu wa kisiasa na akataka nchi hiyo isitumiwe kuwa mahali pa nchi zingine kukomoana na kulipiziana visasi.
-
George Kordahi: Hizbullah ndio tatizo hasa kwa Saudia katika uhusiano wake na Lebanon
Nov 19, 2021 11:47Waziri wa Habari wa Lebanon amesema, tatizo hasa la Saudi Arabia na nchi yake halitokani na matamshi aliyotoa yeye hivi karibuni, bali linahusiana na harakati ya muqawama ya nchi hiyo, Hizbullah.