Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Amir Abdollahian afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon, Katibu Mkuu wa UN na wawakilishi wa nchi mbalimbali mjini Munich

    Amir Abdollahian afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon, Katibu Mkuu wa UN na wawakilishi wa nchi mbalimbali mjini Munich

    Feb 20, 2022 09:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon pambizoni mwa Mkutano wa 58 wa Usalama wa Munich.

  •  Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Beirut haitakabidhi silaha za Hizbullah

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon: Beirut haitakabidhi silaha za Hizbullah

    Jan 29, 2022 08:07

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Lebanon amesema kuwa nchi hiyo haitakabidhi silaha za Hizbullah. Abdallah Bou Habib ameyasema hayo kabla ya mkutano na mawaziri wenzake wa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi huko Kuwait unaolenga kuboresha uhusiano.

  • Mufti wa Lebanon: Moto wa vita vya Yemen utachoma miji mikuu ya nchi za Kiarabu

    Mufti wa Lebanon: Moto wa vita vya Yemen utachoma miji mikuu ya nchi za Kiarabu

    Jan 24, 2022 22:59

    Mufti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Lebanon amesema kuwa, iwapo moto wa vita vya Yemen hautazimwa, utachoma pia miji mikuu ya nchi za Kiarabu.

  • Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Hizbullah: Marekani, Saudia wahusika wakuu wa vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon

    Jan 15, 2022 23:14

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbuullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani na Saudi Arabia zimeanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya Lebanon.

  • Rais wa Lebanon: Tunahitaji miaka 7 kutoka kwenye hali mbaya tuliyonayo sasa

    Rais wa Lebanon: Tunahitaji miaka 7 kutoka kwenye hali mbaya tuliyonayo sasa

    Dec 25, 2021 07:39

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amesema, nchi hiyo inahitaji muda wa miaka sita hadi saba kutoka kwenye hali mbaya inayokabiliana nayo hivi sasa.

  • Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Lebanon kutanguliza mbele matakwa vya wananchi

    Umoja wa Mataifa wawataka viongozi wa Lebanon kutanguliza mbele matakwa vya wananchi

    Dec 20, 2021 04:20

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amewataka viongozi wa Lebanon kufanya kazi kwa pamoja ili kutatua migogoro iliyopo nchini humo, huku akitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuisaidia na kuiunga mkono Lebanon kutokana na matatizo yake ya sasa.

  • George Kordahi: Sina cha kujutia; ndio kwanza majukumu yangu ya kisiasa yameanza

    George Kordahi: Sina cha kujutia; ndio kwanza majukumu yangu ya kisiasa yameanza

    Dec 15, 2021 23:25

    Waziri wa zamani wa Habari wa Lebanon aliyejiuzulu hivi karibuni amesema kuwa, hana cha kujutia kwa matamshi yake ya huko nyuma ya kuviona vita vya Saudi Arabia huko Yemen kuwa ni vya kipuuzi na visivyo na maana.

  • George Kordahi: Sikuwa mtu wa kwanza kuviona vita vya Saudia huko Yemen kuwa ni upuuzi

    George Kordahi: Sikuwa mtu wa kwanza kuviona vita vya Saudia huko Yemen kuwa ni upuuzi

    Dec 06, 2021 09:18

    Waziri wa zamani wa Habari wa Lebanon aliyejiuzulu hivi karibuni amezungumza kwa mara yaa kwanza katikka mahojiano tangu ajiuzulu na kueleza kwamba, yeye hakuwa mtu wa kwanza kuviona vita vya Saudi Arabia huko Yemen kuwa ni vya kipuuzi na visivyo na maana.

  • Waziri wa Lebanon aliyekosoa hujuma ya Saudia Yemen ajiuzulu

    Waziri wa Lebanon aliyekosoa hujuma ya Saudia Yemen ajiuzulu

    Dec 04, 2021 01:12

    Waziri wa Habari wa Lebanon George Kordahi amejiuzulu ili kupunguza mgogoro wa nchi yake na Saudi Arabia baada ya kauli yake ya kukosoa vita vya Saudia dhidi ya Yemen.

  • Russia: Lebanon haipasi kufanywa mahali pa kukomoana na kulipiziana visasi nchi zingine

    Russia: Lebanon haipasi kufanywa mahali pa kukomoana na kulipiziana visasi nchi zingine

    Nov 22, 2021 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesema, ana matumaini serikali mpya ya Lebanon itaweza kuhitimisha mgogoro wa muda mrefu wa kisiasa na akataka nchi hiyo isitumiwe kuwa mahali pa nchi zingine kukomoana na kulipiziana visasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS