-
Kuendelea taharuki ya kisiasa Lebanon mwaka mmoja baada ya maandamano ya Oktoba 2019
Oct 22, 2020 08:16Oktoba 17, 2019 Lebanon ilianza kushuhudia maandamano ya wananchi ambayo yalipelekea kujiuzulu aliyekuwa waziri mkuu wa wakati huo Saad Hariri; lakini baada ya kupita mwaka mzima, hadi hivi sasa nchi hiyo ingali inahangaika kumpata waziri mkuu mwingine mpya, ambaye kama atatangazwa atakuwa ni wa nne katika kipindi hiki cha mwaka mmoja.
-
Mazungumzo ya Lebanon na Israel kuhusu mpaka; hitilafu za kimpaka na malengo ya kisiasa
Oct 15, 2020 10:10Duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya jumbe za mazungumzo za Lebanon na utawala haramu wa Israel ilifanyika jana Jumanne Oktoba 13 na yamepangwa kuendelea wiki mbili zijazo.
-
Sera za kuingilia kati za Macron nchini Lebanon
Sep 28, 2020 09:32Matukio ya Kisiasa ya hivi karibuni nchini Lebanon hususan baada ya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut mwezi Agosti mwaka huu ambao umepelekea kujiuzulu serikali ya nchi hiyo yametayarisha mazingira ya uingiliaji wa nchi za Magharibi hususan Ufaransa na Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo
-
Kushindwa Mustapha Adib kuunda serikali nchini Lebanon; sababu na matokeo yake
Sep 27, 2020 07:45Waziri Mkuu wa Lebanon, Mustapha Adib ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, baada ya kushindwa kuunda serikali na tayari Rais Michel Aoun amekubali kujiuzulu kwake.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon ajiuzulu baada ya kushindwa kuunda serikali
Sep 26, 2020 12:16Waziri Mkuu wa Lebanon, Mustapha Adib ametangaza kujiuzulu wadhifa wake huo, baada ya kushindwa kuunda serikali.
-
Walebanon waandamana dhidi ya hatua ya Imarati na Bahrain ya kuanzisha uhusiano na Israel
Sep 24, 2020 11:59Maelfu ya wananchi wa Lebanon wameandamana katika mji mkuu Beirut na kutangaza upinzani wao dhidi ya hatua yoyote ile ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.
-
Iran yakaribisha mkutano wa makundi ya Wapalestina huko Beirut
Sep 05, 2020 11:15Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kikao cha pamoja cha makundi ya Wapalestina kilichofanyika katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut ni ishara kwamba viongozi wa Palestina wapo macho na wamesimama kidete mkabala wa utawala wa Kizayuni wa Israel pamoja na washirika wake.
-
Kikao cha kiistratijia cha Beirut, sauti moja ya Wapalestina
Sep 05, 2020 06:23Makundi ya Palestina yameitisha kikao cha pamoja mjini Beirut, Lebanon na kulaani njama mbalimbali zinazofanywa dhidi ya Palestina na wamesisitiza kuwa kitu kimoja na kuendelea na muqawama katika kukabiliana na njama za Kiarabu/Kimagharibi na Kizayuni.
-
Malengo ya safari ya Ismail Haniya nchini Lebanon baada ya kupita miaka 27
Sep 03, 2020 06:44Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, baada ya miaka 27 juzi Septemba Mosi aliwasili Beirut mji mkuu wa Lebanon.
-
UN yatahadharisha kuhusu athari za uharibifu wa mazingira za mlipuko wa Beirut
Sep 03, 2020 04:09Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu athari mbaya za uhabiribifu wa mazingira za mlipuko uliotoke mwezi uliopita kwenye bandari ya Beirut nchini Lebanon.