-
Kufanya safari tena Rais wa Ufaransa nchini Lebanon
Sep 01, 2020 10:40Baada ya kupita takriban mwezi mmoja tangu kutokea mlipuko mkubwa katika bandari ya Beirut, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kwa mara ya pili ameelekea nchini Lebanon.
-
Sababu za kuchelewa kutangazwa Waziri Mkuu mpya wa Lebanon na changamoto zake
Aug 29, 2020 02:35Licha ya kupita siku 19 tangu kujiuzulu Waziri Mkuu wa Lebanon, Hassan Diab, bado hadi hivi sasa hakuna mtu mwingine yeyote aliyechaguliwa kushika nafasi hiyo nchini humo.
-
Nasrullah: Mapambano ya Hizbullah hayaishii ndani ya mipaka ya Lebanon
Aug 23, 2020 07:50Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kutekeleza majukumu kwa ajili ya kuisaidia jamii yote ya wanadamu ni jambo la wajibu kwa mujibu wa thamani za Uislamu, na kwamba mipaka ya kijografia na kisiasa haipaswi kuwa kizingiti cha kutekeleza wajibu huo.
-
Uamuzi wa Mahakama ya Mauaji ya Hariri; kushindwa kukubwa kwa wapinzani wa Hizbullah
Aug 19, 2020 06:44Mahakama maalumu ya kimataifa iliyobuniwa kwa ajili ya kuchunguza na kutoa uamuzi kuhusu mauaji ya Rafik Hariri, Waziri Mkuu wa zamani wa Lebanon imetoa hukumu yake kuhusiana na suala hilo baada ya kupita miaka 11 ambapo imeziondolea lawama Syria na Hizbullah ya Lebanon kuhusu mauaji hayo.
-
Mahakama ya Kimataifa ya Hague: Hizbullah haikuhusika katika mauaji ya Hariri
Aug 19, 2020 02:26Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko ya The Hague nchini Uholanzi imetoa hukumu ikisema kuwa harakati ya Hizbullah ya Lebanon haikuhusika katika mauaji ya waziri mkuu wa zamani wa Lebanon, Rafiq al Hariri.
-
Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon
Aug 14, 2020 13:42Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Waziri Mkuu wa Lebanon mjini Beirut na kusema kuwa, wanaotumia vibaya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut wana nia ya kuyumbisha amani ya Lebanon.
-
Erdogan: Safari ya Macron nchini Lebanon ilikuwa na malengo ya kikoloni
Aug 14, 2020 11:02Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ana malengo ya kikoloni nchini Lebanon na kwamba safari yake ya siku chache zilizopita mjini Beirut ilifanyika kwa shabaha ya kutunisha misuli.
-
Bunge la Lebanon laidhinisha sheria ya Hali ya Hatari Beirut, lalipa jeshi mamlaka maalumu
Aug 13, 2020 13:58Bunge la Lebanon limeidhinisha utekelezaji wa sheria ya hali ya hatari katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut kufuatia tukio la mripuko katika bandari ya Beirut uliosababisha hasara kubwa ya mali na roho za watu.
-
Waziri Mkuu wa Lebanon ajiuzulu
Aug 11, 2020 03:37Waziri Mkuu wa Lebanon Hassan Diyab amejiuzulu. Diyab amechukua uamuzi huo kufuatia mripuko uliotokea hivi karibuni katika bandari ya Beirut na kutokana na mashinikizo ambayo yameendelea kuiandama serikali ya nchi hiyo.
-
Mawaziri wanne na wabunge tisa wa Lebanon wajiuzulu
Aug 10, 2020 14:54Mawaziri wanne na wabunge tisa wa Lebanon wamejiuzulu nyadhifa zao kufuatia mlipuko mkubwa ulioikumba nchi hiyo wiki iliyopita.