-
Uungaji mkono wa wazi wa Marekani kwa hatua za uharibifu nchini Lebanon
Aug 10, 2020 06:28Marekani imeshadidisha hatua na mwenendo wake wa uingiliaji masuala ya ndani ya Lebanon kwa shabaha ya kudhoofisha mhimili wa muqawama na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah.
-
Msimamo wa Sayyid Nasrullah kuhusu mlipuko wa bandari ya Beirut
Aug 08, 2020 14:46Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah jana usiku alizungumzia mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut akisisitiza udharura wa kutambuliwa wahusika wake na kukaribisha misaada ya nchi za kigeni kwa Lebanon.
-
WFP kutoa misaada kwa Lebanon baada ya kuathiriwa na mlipuko wa Beirut
Aug 08, 2020 04:25Mpango wa Chakula Duniani (WFP) umetangaza kuwa umeamua kuisadia Lebanon kufuatia mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut.
-
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa wataka jamii ya kimataifa iisaidie Lebanon
Aug 07, 2020 08:14Mkurugenzi Mwandamizi wa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa IMF jana Alkhamisi alitoa taarifa akiitaka jamii ya kimataifa na nchi rafiki za Lebanon ziisaidie nchi hiyo kupunguza hasara iliyotokana na mlipuko mkubwa uliotokea siku ya Jumanne alasiri katika bandari ya Beirut.
-
Malengo ya safari ya Macron mjini Beirut
Aug 07, 2020 06:54Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya safari katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, siku mbili tu baada ya kutokea mlipuko mkubwa uliosababisha maafa na hasara kubwa katika mji huo.
-
Meja Jenerali Salami: Taifa la Iran halitaacha kulisaidia taifa la Lebanon katika hali ngumu ya hivi sasa
Aug 06, 2020 10:07Meja Jenerali Hussein Salami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kamwe haitaliacha mkono taifa la Lebanon katika hali ngumu ya hivi sasa.
-
Amnesty International yataka kufanyike uchunguzi kuhusu mlipuko wa Beirut
Aug 06, 2020 09:32Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusu mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut nchini Lebanon.
-
Josep Borrell atoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Lebanon kufuatia mlipuko wa Beirut
Aug 06, 2020 07:58Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa mkono wa pole kwa serikali na wananchi wa Lebanon kufuatia kujiri mlipuko katika bandari ya mji mkuu Beirut.
-
Rais wa Lebanon: Tutawapa adhabu kali waliosababisha kutokea mripuko wa Beirut
Aug 06, 2020 04:28Rais Michel Aoun wa Lebanon amesisitiza ulazima wa kufanyika uchunguzi haraka iwezekanavyo ili kubaini nini hasa kilichotokea kuhusiana na tukio la mripuko wa Jumanne katika mji mkuu wa nchi hiyo Beirut.
-
Iran yatuma misaada ya chakula na dawa Lebanon
Aug 05, 2020 11:00Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena ya kwanza ya misaada ya dharura ya dawa, vifaa vya tiba na chakula nchini Lebanon kwa ajili ya kuwasaidia waathirika wa mlipuko wa jana mjini Beirut.