Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Lebanon

  • Serikali ya Lebanon: Tunaihitajia sana Hizbullah kwa ajili ya ulinzi wa nchi

    Serikali ya Lebanon: Tunaihitajia sana Hizbullah kwa ajili ya ulinzi wa nchi

    Mar 10, 2017 23:04

    Waziri Mshauri katika Masuala ya Ikulu ya Rais wa Lebanon, amesema kuwa nchi hiyo inaihitajia sana Harakati ya Hizbullah kwa ajili ya kukabiliana na kuzuia hujuma za utawala haramu wa Israel na makundi ya kigaidi dhidi ya ardhi ya nchi hiyo.

  • Mfalme wa Saudia asitisha safari yake Lebanon kwa kuumizwa na mahusiano ya Rais Aoun na Hizbullah

    Mfalme wa Saudia asitisha safari yake Lebanon kwa kuumizwa na mahusiano ya Rais Aoun na Hizbullah

    Mar 07, 2017 01:12

    Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa nchini Saudia, amesitisha safari yake nchini Lebanon kutokana na misimamo chanya ya Rais Michel Aoun wa nchi hiyo katika kuunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah.

  • Nabih Berri: Nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani

    Nabih Berri: Nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani

    Feb 21, 2017 10:28

    Spika wa Bunge la Lebanon ameziasa nchi za Kiislamu zifunge balozi zao zilizoko Marekani kulalamikia mpango wa Washington wa kutaka kuhamishia ubaloizi wake ulioko Israel huko Quds Tukufu.

  • Balozi wa Russia Lebanon: Hizbullah imetoa mchango muhimu katika vita dhidi ya ugaidi

    Balozi wa Russia Lebanon: Hizbullah imetoa mchango muhimu katika vita dhidi ya ugaidi

    Feb 21, 2017 00:35

    Balozi wa Russia nchini Lebanon Alexander Zasypkin ametangaza kuwa tangu Hizbullah ilipoasisiwa hadi hivi sasa imekuwa ni harakati ya muqawama na imetoa mchango muhimu katika mapambano dhidi ya ugaidi nchini Syria na katika kuleta uthabiti nchini Lebanon.

  • Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Lebanon: Hatua yoyote ya kichokozi ya Israel itapata jibu kali

    Feb 19, 2017 03:05

    Rais Michel Aoun wa Lebanon ameonya kuwa, iwapo utawala haramu wa Israel utachukua hatua yoyote ya kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo ya Kiarabu, basi ujiandae kwa jibu kali.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah kamwe haiiogopi Israel wala Marekani

    Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah kamwe haiiogopi Israel wala Marekani

    Feb 17, 2017 00:51

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, muqawama hauuogopi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wala shetani mkuu Marekani.

  • Lebanon yataka kutatuliwa mgogoro wa Syria kwa njia za amani

    Lebanon yataka kutatuliwa mgogoro wa Syria kwa njia za amani

    Jan 27, 2017 03:50

    Rais wa Lebanon amesisitiza kuwa mgogoro wa Syria unapasa kupatiwa ufumbuzi kwa njia za amani na kisiasa.

  • Jeshi la Lebanon: Ayatullah Rafsanjani alikuwa akihami Lebanon na Palestina

    Jeshi la Lebanon: Ayatullah Rafsanjani alikuwa akihami Lebanon na Palestina

    Jan 12, 2017 12:15

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Lebanon amesema kuwa, marehemu Ayatullah Hashemi Rafsanjani, Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran, alikuwa daima akichukua misimamo ya heshima katika kuihami Lebanon na Palestina katika kukabiliana na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Rais wa Lebanon apongeza nafasi ya Iran katika eneo

    Rais wa Lebanon apongeza nafasi ya Iran katika eneo

    Dec 24, 2016 04:19

    Rais Michel Aoun wa Lebanon amepongeza na kusifu nafasi ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati na kubainisha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imechangia pakubwa kupatiwa ufumbuzi migogoro mbalimbali katika eneo.

  • Lebanon yatangaza baraza jipya la mawaziri linaoongozwa na Hariri

    Lebanon yatangaza baraza jipya la mawaziri linaoongozwa na Hariri

    Dec 19, 2016 03:55

    Lebanon imetangaza baraza jipya la mawaziri linaloongozwa na Waziri Mkuu, Saad al-Hariri, wiki 6 baada ya kuchaguliwa Rais Michel Aoun.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS