-
Mufti wa Lebanon ataka ulimwengu uunge mkono kadhia ya Palestina
Dec 11, 2016 04:32Mufti mkuu wa Lebanon ametoa wito kwa walimwengu kuunga mkono kadhia ya Palestina.
-
Nasrullah azitaka nchi zote ziungane kukabiliana na tishio la Daesh
Dec 10, 2016 03:50Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kwa kusema: "Njia pekee iliyoko mbele yetu ni kuulinda ustaarabu wa Kiislamu, eneo na uwepo wetu kwa kukabiliana na ugaidi".
-
Zarif: Kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu
Nov 08, 2016 12:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Muhammad Javad Zarif amesema kadhia ya Palestina ndio suala kuu kwa Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Zarif: Muqawama umesambaratisha njama za magaidi Lebanon
Nov 08, 2016 04:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema harakati za kimuqawama ndizo zimesambaratisha njama za maadui na magaidi nchini Lebanon.
-
Vipaumbele vya Rais mpya wa Lebanon
Nov 08, 2016 00:45Rais Michel Aoun wa Lebanon ametangaza vipaumbele na masuala atakayoyapa umuhimu wa kwanza wakati wa kipindi cha miaka sita ya uongozi katika hotuba yake ya kwanza aliyotoa katika Ikulu ya Ba'abda mjini Beirut.
-
Rais Michel Aoun ataka kuimarishwa ushirikiano zaidi baina ya Lebanon na Syria
Nov 07, 2016 13:47Rais mpya wa Lebanon, Michel Aoun amesisitiza juu ya udharura wa kupanuliwa uhusiano wa pande mbili baina ya nchi yake na Syria.
-
Rais wa Lebanon amteua Saad Hariri kuwa Waziri Mkuu na kumtaka aunde serikali
Nov 03, 2016 12:55Rais Michel Aoun wa Lebanon amemteua Saada Hariri, kiongozi wa harakati ya al-Musatqbal kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo.
-
Duff: Kuchaguliwa Aoun kunaonesha Saudia inazidi kupoteza ushawishi
Nov 01, 2016 11:38Gordon Duff, Mhariri Mwandamizi wa jarida la Veterans Today la Marekani na pia mchambuzi wa masuala ya siasa amesema hatua ya Lebanon kupata rais mpya ni dhihirisho kuwa Saudi Arabia inazidi kupoteza ushawishi wake katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Bassil apongeza nafasi chanya ya Hizbullah katika uchaguzi wa Rais wa Lebanon
Nov 01, 2016 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon amesifu nafasi chanya ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo katika uchaguzi wa rais uliofanyika jana.
-
Michel Aoun; Rais wa 13 wa Lebanon
Nov 01, 2016 04:18Baada ya dhoruba na mivutano mingi ya kisiasa, hatimaye Michel Aoun, muitifaki wa harakati ya muqawama ya Lebanon jana alichaguliwa na bunge la nchi hiyo kuwa rais wa 13 wa taifa hilo la Kiarabu.