-
Hatimaye Lebanon yapata Rais; Michel Aoun achaguliwa kuwa Rais
Oct 31, 2016 11:02Hatimaye baada ya miaka miwili na nusu ya kutokuwa na Rais, Lebanon leo imepata Rais mpya wa nchi hiyo baada ya Michel Aoun kuchaguliwa kushika wadhifa huo.
-
Nasrallah: Hizbullah imezuia Lebanon kutumbukia katika mgogoro
Oct 30, 2016 01:08Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah , Sayyed Hassan Nasrallah amesema harakati hiyo imeizuia Lebanon kutumbukia katika migogoro inayoendelea sasa Mashariki ya Kati na kwamba jitihada zinahitajika kulinda uthabiti huo.
-
Sayyid Nasrullah: Saudia ni muungaji mkono mkuu wa ugaidi Mashariki ya Kati
Oct 24, 2016 04:18Katibu Mkuu wa Harakati wa Hizbullah ya Lebanon Seyyed Hassan Nasrallah amesema, Saudi Arabia ndio muungaji mkono mkuu wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh katika eneo
-
Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni
Sep 27, 2016 10:38Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Zarif aipongeza Lebanon kwa kuipigisha magoti Israel
Aug 15, 2016 03:23Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemuandikia barua mwenzake wa Lebanon kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka 10 ya ushindi wa nchi hiyo dhidi ya askari vamizi wa utawala haramu wa Israel.
-
Nasrullah: Makundi kigaidi yanatumikia maslahi ya Marekani
Aug 14, 2016 02:31Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ameyataka makundi ya kigaidi na kitakfiri kuweka chini silaha na yatambue kuwa harakati zao hazina maslahi kwa yeyote isipokuwa adui Marekani.
-
Pendekezo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanon la kumaliza mgogoro wa kubaki wazi kiti cha Urais
Aug 12, 2016 22:19Baada jitihada zote zilizofanywa hadi sasa kumaliza hitilafu baina ya mirengo ya kisiasa ya Lebanon kwa ajili ya kumchagua rais mpya, Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Gebran Bassil amesema njia pekee ya kutatua mgogoro ni kumchagua rais kwa maafikiano.
-
Nabil Qaouk: Saudia hawauwezi muqawama wa Lebanon
Jun 13, 2016 22:01Naibu wa Mkuu wa Baraza la Utendaji la Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Saudi Arabia haiwezi kuushinda nguvu muqawama wa Lebanon.
-
Marekani yashinikiza kufungwa akaunti 3,000 zaidi za 'Hizbullah'
Jun 11, 2016 03:26Zaidi ya akaunti 3,000 za benki za watu wanaoaminika kuwa na mafungamano na harakati ya Hizbullah ya Lebanon zinatazamiwa kufungwa karibuni hivi, kufuatia mashinikizo ya Marekani.
-
Radiamali mbalimbali kuhusu kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Israel
Jun 08, 2016 01:40Harakati ya Hizbullahi ya Lebanon imelaani kimya cha nchi za Kiarabu mbele ya jinai za Wazayuni na kusema kukwa, kimya hicho ni mkamilishaji wa siasa za kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya nchi hizo na Israel.