-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza: Vita vya Ukraine vinaweza vikavuka mwaka 2026
Sep 24, 2024 11:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, David Lammy ametabiri kuwa mapigano kati ya Russia na Ukraine huenda yakaendelea kwa angalau miaka miwili zaidi na kuvuka mwaka 2026.
-
Nabih Berri atahadharisha kuhusu hulka ya kupenda vita ya utawala wa Kizayuni katika eneo
Sep 23, 2024 12:02Spika wa bunge la Lebanon ameashiria kuendelea mashambulizi ya utawala wa Kizayuni nchini humo na kusema, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala huo anafanya kila awezalo ili kuitumbukiza Lebanon na eneo hili katika vita vikubwa.
-
UN yapitisha Mkataba wa Zama Zijazo (Pact for the Future), Guterres: Sasa ni wakati wa vitendo
Sep 23, 2024 07:09Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha Mkataba wa Zama Zijazo (Pact for the Future) baada ya vuta nikuvute zilizokuwepo ambapo Katibu Mkuu wa umoja huo Antonio Guterres ameshukuru wawezeshaji wote waliojitolea kufanikisha kupitishwa kwa mkataba huo adhimu.
-
Kan'ani: Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima ya jinai za Israel huko Palestina, Lebanon na Syria
Sep 22, 2024 02:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya ya Iran amesema kuwa, Marekani ndiyo inayopaswa kubeba dhima na kujibu malalamiko makubwa ya kimataifa kwa kushiriki kwake katika jinai za utawala wa Kizayuni huko Palestina, Lebanon na Syria.
-
Data za Waindonesia milioni sita akiwemo Rais na wanawe zavujishwa na kuuzwa tovutini
Sep 20, 2024 06:51Data za walipakodi milioni sita katika taifa la nne kwa idadi kubwa zaidi ya watu duniani, Indonesia, zikiwemo za Rais anayemaliza muda wake Joko Widodo, zimedaiwa kuvujishwa na kuuzwa. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na vyombo vya habari jana Alkhamisi.
-
Onyo la UN kuhusu matumizi mabaya ya zana za kiraia kwa madhumuni ya kigaidi
Sep 20, 2024 02:30Kufuatia wimbi kubwa la milipuko ya kigaidi nchini Lebanon ambayo imelenga vifaa vya mawasiliano kama vile pager, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema vifaa vya kiraia havipaswi kugeuzwa kuwa silaha.
-
Rais wa Iran atoa mkono wa pole kwa wananchi wa Lebanon kufuatia jinai ya juzi ya Wazayuni
Sep 19, 2024 06:52Rais wa Iran ametoa mkono wa pole kwa wananchi wa Lebanon kufuatia jinai ya juzi ya Wazayuni nchini humo ambapo raia kadhaa wa nchi hiyo wameuawa shahidi na wengine wengi kujeruhiwa.
-
Qalibaf: Ugaidi ni sehemu ya hulka ya kutenda maovu ya utawala wa Kizayuni wa Israel
Sep 18, 2024 11:47Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amekutaja kuuwa watu wasio na hatia kuwa ni sehemu isiyotenganishika ya tabia na hulka ya kutenda maovu ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Tehran, Beirut zajadili jinai mpya ya kigaidi ya Israel huko Lebanon
Sep 18, 2024 02:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amelaani vikali hujuma mpya ya kigaidi ya utawala wa Kizayuni iliyowalenga raia wasio na hatia nchini Lebanon.
-
Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon
Jul 30, 2024 02:27Nasser Kan'ani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha dhidi ya chokochoko mpya za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon kwa kisingizio cha tukio la Majdal Shams katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo la Golan nchini Syria.