Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    Hujuma ya Daesh nchini Libya yaua watu watano

    May 06, 2016 09:33

    Watu watano wameuawa katika shambulizi la bomu la kutegwa garini la kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Misrata, magharibi mwa Libya.

  • IOM: Zaidi ya 80 hawajapatikana baada ya boti ya wakimbizi kuzama pwani ya Libya

    IOM: Zaidi ya 80 hawajapatikana baada ya boti ya wakimbizi kuzama pwani ya Libya

    May 01, 2016 09:48

    Shirika la Kimataifa la Wahajiri IOM limesema hatima ya wahajiri zaidi ya 80 haijajulikana hadi sasa baada ya boti iliyokuwa imewabeba kuzama katika pwani ya Libya kwenye bahari ya Mediterranean Ijumaa iliyopita.

  • Libya kuongeza kiwango cha uzalishaji mafuta

    Libya kuongeza kiwango cha uzalishaji mafuta

    Apr 29, 2016 23:41

    Viongozi wa Libya wamekubaliana na mpango wa awamu tatu wa shirika la taifa la mafuta la nchi hiyo wa kuongeza uzalishaji wa bidhaa hiyo muhimu na kuufikisha katika kiwango cha kabla ya mwaka 2011.

  • Zaidi ya watu 20 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Libya

    Zaidi ya watu 20 wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu nchini Libya

    Apr 22, 2016 03:17

    Zaidi ya watu 20 wameripotiwa kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea katika mji wa Darnah, nchini Libya.

  • UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    UN yathibitisha, mamia ya wahajiri wameghariki pwani ya Libya

    Apr 21, 2016 02:44

    Umoja wa Mataifa umethibitisha kuwa, mamia ya wahamiaji haramu wamezama katika maji ya ya Libya baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama baharini.

  • Hali tete ya Libya

    Hali tete ya Libya

    Apr 18, 2016 03:39

    Hali ya mambo nchini Libya inatajwa kuwa ni tete licha ya kuanza kazi serikali ya umoja wa kitaifa iliyoungwa mkono na kukaribishwa na jamii ya kimataifa.

  • Ziara ya mabalozi wa Ulaya nchini Libya

    Ziara ya mabalozi wa Ulaya nchini Libya

    Apr 15, 2016 09:34

    Mabalozi wa nchi za Ufaransa, Uhispania na Uingereza wameelekea nchini Libya kama njia ya kutangaza uungaji mkono wao kwa serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.

  • Libya yamkosoa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa

    Libya yamkosoa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa

    Apr 14, 2016 10:05

    Spika wa bunge la Libya amemkosoa Mjumbe wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya nchi hiyo kutokana na kuanza kazi serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo bila ya bunge kuipigia kura ya kuwa na imani nayo.

  • Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Uvamizi wa Marekani Libya ni hatua iliyoyumbisha nchi hiyo ya Kiafrika

    Apr 11, 2016 23:27

    Serikali ya Russia imesema kuwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani huko Libya ni hatua iliyovuruga uthabiti wa nchi hiyo.

  • Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Obama: Kosa baya zaidi nililowahi kufanya ni kuhusu Libya

    Apr 11, 2016 08:09

    Rais Barack Obama wa Marekani amesema: "Kosa baya zaidi katika urais wangu ni kukosa mpango wowote kwa ajili ya zama za baada ya kumuangusha Muammar Gaddafi nchini Libya."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS