Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi  haraka iwezekanavyo

    UN: serikali ya umoja wa kitaifa Libya inapasa kuchukua uongozi wa nchi haraka iwezekanavyo

    Apr 06, 2016 23:10

    Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametaka kukabidhiwa haraka na kikamilifu uongozi wa nchi kwa serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Serikali isiyotambuliwa kimataifa Libya yakabidhi madaraka

    Serikali isiyotambuliwa kimataifa Libya yakabidhi madaraka

    Apr 06, 2016 03:37

    Serikali isiyotambuliwa kimataifa ya Tripoli nchini Libya imetangaza kuwa imekabidhi madaraka kwa serikali ya umoja wa kitaifa inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yachagua kiongozi

    Serikali ya umoja wa kitaifa Libya yachagua kiongozi

    Apr 05, 2016 22:28

    Baraza Kuu la Uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya limemchagua Abdulrahman Al-Shater kuwa mkuu wa baraza hilo.

  • Tishio la magaidi dhidi ya serikali ya Umoja wa kitaifa nchini Libya

    Tishio la magaidi dhidi ya serikali ya Umoja wa kitaifa nchini Libya

    Apr 04, 2016 07:16

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh la mjini Sirte, kaskazini mwa Libya, limetishia kuishambulia serikali ya umoja wa kitaifa nchini humo. Abu Abdullah al-Misri, kiongozi wa genge hilo la kigaidi mwenye makao yake mjini Sirte, ametishia kufanya shambulio dhidi ya serikali hiyo mpya.

  • Magaidi waitishia serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Magaidi waitishia serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya

    Apr 04, 2016 02:51

    Kiongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika mji wa Sirte huko kaskazini mwa Libya ametishia kuishambulia serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.

  • EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

    EU yawawekea vikwazo viongozi wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa Libya

    Apr 02, 2016 01:46

    Umoja wa Ulaya EU umeanza kutekeleza mpango wa kuwawekea vikwazo viongozi wa kisiasa wanaopinga Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya.

  • Ban apongeza kuingia Tripoli Baraza la Urais la Libya

    Ban apongeza kuingia Tripoli Baraza la Urais la Libya

    Apr 01, 2016 02:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amekaribisha kuwasili kwa Baraza la Urais la Libya mjini Tripoli mnamo Machi 30, 2016, akitaja kuwasili huko kama hatua muhimu katika kutekeleza makubaliano ya kisiasa ya Libya.

  • Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa onyo kwa wapinzani

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya yatoa onyo kwa wapinzani

    Mar 31, 2016 23:55

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imeonya kuwa itakabidhi majina ya wapinzani wa serikali hiyo kwa Polisi ya Kimataifa Interpol na kuwahusisha na "ugaidi" endapo hawatotoa ushirikiano kwa serikali hiyo.

  • Wajumbe wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya wawasili Tripoli

    Wajumbe wa serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya wawasili Tripoli

    Mar 30, 2016 11:11

    Wajumbe wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa leo wamewasili katika mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli na kupuuza maonyo yaliyotolewa na mirengo hasimu iliyowataka kutoukaribia mji huo.

  • Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Libya

    Kuendelea mvutano wa kisiasa nchini Libya

    Mar 26, 2016 03:49

    Licha ya kuripotiwa habari za kuhamishiwa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya katika mji mkuu wa Libya Tripoli katika kipindi cha chini ya wiki moja, Waziri Mkuu wa serikali iliyojitangazia yenyewe mamlaka huko Tripoli, ametangaza hali ya hatari ya usalama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS