Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Nchi jirani na Libya zapinga mashambulizi ya kigeni nchini humo

    Nchi jirani na Libya zapinga mashambulizi ya kigeni nchini humo

    Mar 22, 2016 22:53

    Mawaziri wa nje wa nchi jirani na Libya wamepinga aina yoyote ya mashambulizi ya nchi za kigeni nchini humo na kuunga mkono serikali mpya ya nchi hiyo.

  • Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia

    Kikao cha nchi jirani na Libya huko Tunisia

    Mar 21, 2016 11:44

    Kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika huko Tunisia. Kanali ya televisheni ya al Aalam imeripoti kuwa kikao cha nchi jirani na Libya kimefanyika leo katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Tunisia.

  • Mji wa Tripoli wageuka uwanja wa mapigano ya makundi hasimu

    Mji wa Tripoli wageuka uwanja wa mapigano ya makundi hasimu

    Mar 19, 2016 23:45

    Mji mkuu wa Libya, Tripoli jana uligeuka na kuwa uwanja wa mashambulizi makali ya silaha na hivyo kuwaweka katika wakati mgumu wakazi wake.

  • Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lakaribisha mazungumzo ya Libya

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lakaribisha mazungumzo ya Libya

    Mar 16, 2016 03:45

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekaribisha kufanyika mazungumzo ya kisiasa kati ya mirengo ya upinzani huko Libya.

  • Russia: Uingiliaji kijeshi Libya unahitaji idhini ya Umoja wa Mataifa

    Russia: Uingiliaji kijeshi Libya unahitaji idhini ya Umoja wa Mataifa

    Mar 14, 2016 12:50

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema leo Jumatatu kuwa uingiliaji kijeshi huko Libya unawezekana iwapo tu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litaidhinisha suala hilo.

  • Serikali ya umoja wa kitaifa yaanza kazi Libya

    Serikali ya umoja wa kitaifa yaanza kazi Libya

    Mar 13, 2016 09:57

    Serikali ya umoja wa kitaifa imeanza kazi nchini Libya baada ya kupasishwa na idadi kubwa ya wabunge wa nchi hiyo.

  • Libya yakanusha tuhuma za Rais wa Tunisia

    Libya yakanusha tuhuma za Rais wa Tunisia

    Mar 09, 2016 10:54

    Msemaji wa serikali ya Libya amekanusha madai ya Rais wa Tunisia kuwa nchi hiyo inazalisha magaidi wanaofanya mashambulizi nchi nyingine.

  • Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Tunisia yaangamizi Madaesh wengine 5 karibu na mpaka na Libya

    Mar 09, 2016 04:26

    Jeshi la Tunisia limesema kuwa limefanikiwa kuangamiza wanamgambo wengine watano wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Magaidi wa ISISI wanaenea kwa kasi ya kuogofya Libya

    Magaidi wa ISISI wanaenea kwa kasi ya kuogofya Libya

    Mar 05, 2016 23:09

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameonya kuwa magaidi wakufurishaji wa Daesh wanaenea kwa kasi ya kuogofya nchini Libya.

  • Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati Libya

    Waarabu wapinga nchi za Magharibi kuingilia kati Libya

    Mar 05, 2016 13:44

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa raia wa nchi za Kiarabu wanapinga uingiliaji kijeshi wa nchi za Magharibi huko Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS