Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Sisitizo juu ya ulazima wa kuundwa haraka iwezekanavyo serikali ya umoja wa kitaifa Libya

    Mar 03, 2016 09:42

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Libya amesisitiza juu ya ulazima wa kuundwa haraka serikali ya umoja wa kitaifa huko Libya.

  • UN: Watu 28 wameuawa Libya mwaka huu 2016

    UN: Watu 28 wameuawa Libya mwaka huu 2016

    Mar 02, 2016 10:47

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa katika kipindi cha miezi miwili iliyopita, watu 28 wamepoteza maisha na wengine 38 kujeruhiwa kwenye mapigano na ghasia katika maeneo mbalimbali ya Libya.

  • UN: Kuna ushahidi wa jinai za kivita Libya

    UN: Kuna ushahidi wa jinai za kivita Libya

    Feb 26, 2016 12:46

    Umoja wa Mataifa umesema wahusika wote katika mgogoro wa Libya wametenda jina za kivita pamoja na ukiukaji mwingine wa haki za binadamu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.

  • Ufaransa yajipenyeza zaidi kijeshi nchini Libya

    Ufaransa yajipenyeza zaidi kijeshi nchini Libya

    Feb 25, 2016 04:34

    Waziri Mkuu wa serikali isiyotambuliwa kimataifa nchini Libya amesema kuwa, kumekuweko ongezeko la wanajeshi maalumu wa Ufaransa katika miezi ya hivi karibuni nchini humo.

  • Vikosi maalum vya Ufaransa vyaingia Benghazi, Libya

    Vikosi maalum vya Ufaransa vyaingia Benghazi, Libya

    Feb 24, 2016 04:08

    Vikosi maalumu vya Ufaransa vimewasili Benghazi, Libya kumuunga mkono Brigedia Jenerali Khalifa Haftar.

  • Libya yatahadharishwa kuhusu mashambulizi zaidi ya Daesh

    Libya yatahadharishwa kuhusu mashambulizi zaidi ya Daesh

    Feb 23, 2016 00:08

    Mkuu wa Shirika la Mafuta la Taifa nchini Libya ametahadharisha kwamba, kuna uwezekano kundi la kigaidi la Daesh likafanya mashambulizi zaidi dhidi ya taasisi na vituo vya mafuta nchini humo maadamu hakujaundwa serikali ya umoja wa kitaifa.

  • Algeria: Uingiliaji kijeshi Libya unapasa uwe katika fremu ya sheria za kimataifa

    Algeria: Uingiliaji kijeshi Libya unapasa uwe katika fremu ya sheria za kimataifa

    Feb 21, 2016 22:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria amesema kuwa uingiliaji wowote wa kijeshi na oparesheni dhidi ya magaidi huko Libya unapasa kutekelezwa katika fremu ya sheria za kimataifa.

  • Kuongezeka maafa ya vita nchini Libya

    Kuongezeka maafa ya vita nchini Libya

    Feb 21, 2016 03:23

    Vifo vinavyotokana na mapigano ya wapiganaji wanaojiita Baraza la Kimapinduzi la Benghazi na vikosi maalumu vya Libya vimefikia watu 14.

  • 40 wauawa Libya katika hujuma ya ndege ya Marekani

    40 wauawa Libya katika hujuma ya ndege ya Marekani

    Feb 19, 2016 10:05

    Mashambulizi ya anga yaliyotekelezwa na ndege ya kivita ya Marekani yamesababisha mauaji ya watu zaidi ya 40 katika mji wa Sabratha, kaskazini magharibi mwa Libya.

  • Kuakhirishwa tena zoezi la Bunge la Libya la kulipigia kura ya kuwa na imani baraza jipya la mawaziri

    Kuakhirishwa tena zoezi la Bunge la Libya la kulipigia kura ya kuwa na imani baraza jipya la mawaziri

    Feb 18, 2016 01:55

    Kikao cha Wabunge wa Libya cha kulipigia kura ya kuwa na imani baraza jipya la mawaziri la serikali ya umoja wa kitaifa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika limeakhirishwa tena. Wabunge 118 walihudhuria kikao cha juzi kwa ajili ya zoezi hilo ambalo limeakhirishwa na sasa litafanyika Jumanne ya wiki ijayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS