Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Wasichana wahajiri wa Kiafrika wananajisiwa na hata kupewa ujauzito katika kambi ya EU, Libya

    Jun 21, 2021 08:12

    Kundi la wasichana wahamiaji waliowekwa katika kituo kinachosimamiwa na serikali ya Libya wamewashutumu walinzi wa kituo hicho, kinachofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, kwamba wanawabaka na kuwanyanyasa kingono.

  • Mangoush: Libya haitaruhusu ardhi yake itumiwe dhidi ya nchi nyingine

    Mangoush: Libya haitaruhusu ardhi yake itumiwe dhidi ya nchi nyingine

    Jun 11, 2021 22:21

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa nchini Libya amesema kuwa nchi yake haitakubali kutumiwa kama kituo cha kuvuruga amani na utulivu katika kanda hiyo ya Afrika au kutumiwa ardhi na anga yake dhidi ya upande wowote mwingine.

  • Sisitizo la Macron kuhusu kusitishwa uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Sisitizo la Macron kuhusu kusitishwa uingiliaji wa kigeni nchini Libya

    Jun 03, 2021 08:57

    Katika hali ambayo kunafanyika jitihada za kuhitimisha mgogoro wa Libya ili uchaguzi utakaoyashirikisha makundi yote ya kisiasa ufanyike, uwepo wa wanajeshi wa kigeni na uingiliaji wa madola ajinabi katika mchakato wa amani nchini humo vinatambuliwa kuwa ni kizuizi katika kufikia amani ya kudumu.

  • Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya akutana na Rais wa Tunisia

    May 31, 2021 02:53

    Mkuu wa Baraza la Uongozi la Libya amehimiza kurahishishwa mawailiano na sekta ya uchukuzi baina ya nchi yake na Tunisia.

  • Mjumbe wa UN: Mamluki walioko Libya ni tishio kwa Afrika ya Kaskazini

    Mjumbe wa UN: Mamluki walioko Libya ni tishio kwa Afrika ya Kaskazini

    May 22, 2021 22:19

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya ametahadharisha katika kikao cha Baraza la Usalama kwamba mchakato muhimu wa kuwaondoa mamluki na wapiganaji wa kigeni kutoka Libya umekwama na kwamba kuendelea kuwapo kwao nchini humo ni tishio sio tu kwa Libya bali kwa eneo zima la Kaskazini mwa Afrika.

  • EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya

    May 20, 2021 23:07

    Kamishna wa Mambo ya Ndani katika Umoja wa Ulaya (EU) Ylva Johansson, amesema umoja huo unashauriana na Tunisia na Libya ili kufikia mapatano yatakayowezesha kuzuia wahajiri wasielekee barani ya Ulaya.

  • Katibu Mkuu wa UN: Wapiganaji wa kigeni wangaliko Libya, ni ukiukaji wa usitishaji vita

    Katibu Mkuu wa UN: Wapiganaji wa kigeni wangaliko Libya, ni ukiukaji wa usitishaji vita

    May 15, 2021 09:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema, wapiganaji wa kigeni na mamluki wangali wako nchini Libya, ukiwa ni ukiukaji wa mapatano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa mwaka jana; na akatoa mwito waondolewe nchini humo na kukomeshwa pia ukiukaji wa vikwazo vya silaha vilivyowekwa na Umoja wa Mataifa.

  • Baraza Kuu la utawala Libya lalaani uingiliaji wa nchi za Magharibi katika mchakato wa uchaguzi

    Baraza Kuu la utawala Libya lalaani uingiliaji wa nchi za Magharibi katika mchakato wa uchaguzi

    May 08, 2021 21:43

    Baraza Kuu la Serikali ya Libya limelaani uingiliaji kati wa nchi za Magharibi katika mchakato wa uchaguzi mkuu nchini humo.

  • Takwa na sisitizo la kuondoka vikosi vya kigeni nchini Libya

    Takwa na sisitizo la kuondoka vikosi vya kigeni nchini Libya

    May 04, 2021 21:41

    Baada ya kupita miezi kadhaa tangu kuanza mwenendo wa amani nchini Libya na kuweko juhudi kubwa za kuitisha uchaguzi wa nchi hiyo baadaye mwaka huu, uwepo wa vikosi vya kigeni na vituo vyao vya kijeshi kumeendelea kuwa kikwazo katika njia hiyo.

  • Al-Mushiri: Haftar ni tishio kwa uchaguzi mkuu wa Libya

    Al-Mushiri: Haftar ni tishio kwa uchaguzi mkuu wa Libya

    May 01, 2021 22:35

    Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Libya amesema kutosalimu amri kwa kamanda wa linalojiita jeshi la taifa mbele ya mamlaka au sheria yoyote ni tishio kwa chaguzi zijao za Bunge na Rais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS