Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Serikali mpya ya Libya yaendelea na juhudi za kuikwamua nchi hiyo na migogoro

    Serikali mpya ya Libya yaendelea na juhudi za kuikwamua nchi hiyo na migogoro

    Mar 13, 2021 23:07

    Mkuu mpya wa Baraza la Uongozi la Libya amesema kuwa, baraza hilo linafanya juhudi zake zote kwa ajili ya kuikwamua nchi hiyo na migogoro na kuiletea amani ya kudumu, demokrasia, kuheshimishwa haki za binadamu na uhuru wa wananchi wake.

  • UN yataka makubaliano ya usitishaji vita Libya yatekelezwe kikamilifu

    UN yataka makubaliano ya usitishaji vita Libya yatekelezwe kikamilifu

    Mar 13, 2021 04:05

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetaka pande zinazopigana nchini Libya kutekeleza kikamilifu makubaliano ya usitishaji vita.

  • Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Italia: Tunaunga mkono juhudi za kuleta amani na utulivu nchini Libya

    Mar 12, 2021 08:32

    Serikali ya Italia imesema kuwa inaunga mkono kikamilifu juhudi za kurejesha amani na utulivu katika nchi ya kaskazini mwa Afrika ya Libya.

  • Wabunge Libya wakutana kujadili baraza la mawaziri

    Wabunge Libya wakutana kujadili baraza la mawaziri

    Mar 08, 2021 07:56

    Wabunge wa pande hasimu nchini Libya wanakutana katika mji wa kistratijia wa Sirte kwa ajili ya kujadiliana kuhusu serikali ya Umoja iliyopendekezwa na Waziri Mkuu Abdul Hamid Dbeibah.

  • Majina ya mawaziri wa serikali ya mpito ya Libya yawasilishwa bungeni kupigiwa kura ya imani

    Majina ya mawaziri wa serikali ya mpito ya Libya yawasilishwa bungeni kupigiwa kura ya imani

    Feb 27, 2021 03:32

    Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Libya amewasilisha bungeni majina ya mawaziri aliowapendekeza kwa ajili ya kuunda serikali kwa madhumuni ya kuhitimisha hali ya mchafukoge nchini humo.

  • Abdulhamid al-Dabaiba: Libya kudumisha uhusiano imara na Uturuki

    Abdulhamid al-Dabaiba: Libya kudumisha uhusiano imara na Uturuki

    Feb 26, 2021 09:26

    Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Libya amesema kuwa serikali mpya ya mpito ya nchi hiyo itatoa umuhimu makhsusi kwa uhusiano kati ya nchi hiyo na Uturuki.

  • Waziri Mkuu wa Libya atakiwa kuunda haraka serikali ya mpito

    Waziri Mkuu wa Libya atakiwa kuunda haraka serikali ya mpito

    Feb 25, 2021 00:21

    Baraza Kuu la Serikali ya Libya limemtaka Abdulhamid al-Dabaiba Waziri Mkuu wa nchi hiyo kuunda serikali yake haraka iwezekanavyo.

  • Serikali ya mpito ya Libya yafanya kikao chake cha kwanza tangu kuchaguliwa

    Serikali ya mpito ya Libya yafanya kikao chake cha kwanza tangu kuchaguliwa

    Feb 21, 2021 23:26

    Ofisi ya habari ya waziri mkuu wa serikali ya mpito ya Libya imetangaza kuwa kikao cha kwanza cha serikali hiyo kimefanyika baada ya wajumbe wake kuchaguliwa kupitia baraza la mazungumzo lililofanyika mjini Geneva, Uswisi.

  • Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Libya yawanusuru wahajiri 1,500 katika pwani ya nchi hiyo

    Feb 11, 2021 08:57

    Gadi ya Pwani ya Libya imefanikiwa kuwaokoa wahajiri haramu 1,500 waliokuwa hatarini kuzama katika maji ya pwani ya magharibi ya nchi hiyo katika kipindi cha wiki moja iliyopita.

  • Majukumu ya mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya na changamoto zake

    Majukumu ya mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya na changamoto zake

    Feb 10, 2021 20:04

    Hatimaye Ján Kubiš, mjumbe maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ameanza kazi zake rasmi ikiwa ni baada ya kupita miezi kadhaa ya mazungumzo ya amani ya nchi hiyo ya kaskazni mwa Afrika na mwezi mmoja tangu ateuliwe kushika wadhifa huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS