-
UN: Kundi la Haftar limeua na kujeruhi raia zaidi ya 280 wa Libya
Aug 01, 2020 02:53Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia zaidi ya 280 wameuliwa na kujeruhiwa katika kipindi cha miezi mitatu na wapiganaji wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.
-
Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya
Jul 29, 2020 22:48Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kuiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya.
-
Fayez al Sarraj asisitiza umuhimu wa mchakato wa kijeshi katika matukio ya Libya
Jul 28, 2020 05:48Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa, mchakato wa kiuchumi na kisiasa nchini humo unategemea namna mchakato wa kijeshi utakavyoainishwa.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yaonya kukabiliana na meli za adui
Jul 23, 2020 02:09Jeshi la serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, liko tayari kukabiliana na meli yoyote ya adui itakayoingia katika maji ya Libya.
-
Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya
Jul 21, 2020 22:03Wakati mgogoro na mapigano yangali yanaendelea nchini Libya, uingiliaji wa madola ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umezidi kuongezeka. Katika mwendelezo wa uingiliaji huo, siku ya Jumatatu bunge la Misri lilitoa idhini kwa rais Abdel Fattah el Sisi ya kutuma askari na kujiingiza kijeshi nchini Libya itapolazimu kufanya hivyo; na vilevile likaafikiana na mpango wa kutumwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo nje ya nchi kwa ajili ya shughuli za kijeshi.
-
Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya
Jul 19, 2020 02:09Kushadidi hitilafu za Uturuki na Misri kuhusiana na kadhia ya Libya kumezifanya nchi hizo zipigane makumbo katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.
-
Mahakama ya ICC yaanza kufuatilia faili la makaburi ya umati huko Libya
Jul 18, 2020 22:46Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague Uholanzi imeanza kufuatilia uwepo wa makaburi ya umati katika mji wa Tarhuna huko Libya.
-
Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri
Jul 18, 2020 03:29Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.
-
Mamluki 160 wakamatwa Sudan wakielekea Libya kupigana vita
Jul 17, 2020 10:14Sudan imesema, imewatia nguvuni watu 160 wakiwemo raia wa kigeni ambao walikuwa mbioni kuelekea Libya kwa lengo la kupigana kama mamluki katika vita vya ndani vya nchi hiyo.
-
Afisa wa serikali ya Sudan akanusha madai nchi yake inashiriki katika mapigano huko Libya
Jul 16, 2020 22:13Naibu Mkuu wa Kamati ya Kisiasa ya Baraza la Mpito la Uongozi nchini Sudan amekanusha madai kuwa nchi hiyo inahusika katika mapigano yanayojiri nchini Libya au kutuma mamluki nchini humo.