Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • UN: Kundi la Haftar limeua na kujeruhi raia zaidi ya 280 wa Libya

    UN: Kundi la Haftar limeua na kujeruhi raia zaidi ya 280 wa Libya

    Aug 01, 2020 02:53

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, raia zaidi ya 280 wameuliwa na kujeruhiwa katika kipindi cha miezi mitatu na wapiganaji wa kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na jenerali muasi Khalifa Haftar.

  • Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya

    Tunisia yaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa nchini Libya

    Jul 29, 2020 22:48

    Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Tunisia imetangaza kuwa, nchi hiyo itaendelea kuiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya.

  • Fayez al Sarraj asisitiza umuhimu wa mchakato wa kijeshi katika matukio ya Libya

    Fayez al Sarraj asisitiza umuhimu wa mchakato wa kijeshi katika matukio ya Libya

    Jul 28, 2020 05:48

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa, mchakato wa kiuchumi na kisiasa nchini humo unategemea namna mchakato wa kijeshi utakavyoainishwa.

  • Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yaonya kukabiliana na meli za adui

    Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yaonya kukabiliana na meli za adui

    Jul 23, 2020 02:09

    Jeshi la serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya limetangaza kuwa, liko tayari kukabiliana na meli yoyote ya adui itakayoingia katika maji ya Libya.

  • Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya

    Kuafiki bunge la Misri jeshi la nchi hiyo lipelekwe Libya

    Jul 21, 2020 22:03

    Wakati mgogoro na mapigano yangali yanaendelea nchini Libya, uingiliaji wa madola ajinabi katika masuala ya ndani ya nchi hiyo umezidi kuongezeka. Katika mwendelezo wa uingiliaji huo, siku ya Jumatatu bunge la Misri lilitoa idhini kwa rais Abdel Fattah el Sisi ya kutuma askari na kujiingiza kijeshi nchini Libya itapolazimu kufanya hivyo; na vilevile likaafikiana na mpango wa kutumwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo nje ya nchi kwa ajili ya shughuli za kijeshi.

  • Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya

    Uturuki na Misri katika ncha ya kutumbukia kwenye vita nchini Libya

    Jul 19, 2020 02:09

    Kushadidi hitilafu za Uturuki na Misri kuhusiana na kadhia ya Libya kumezifanya nchi hizo zipigane makumbo katika Umoja wa Mataifa na taasisi nyingine za kimataifa.

  • Mahakama ya ICC yaanza kufuatilia faili la makaburi ya umati huko Libya

    Mahakama ya ICC yaanza kufuatilia faili la makaburi ya umati huko Libya

    Jul 18, 2020 22:46

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake huko Hague Uholanzi imeanza kufuatilia uwepo wa makaburi ya umati katika mji wa Tarhuna huko Libya.

  • Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Erdoğan: Tutaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri

    Jul 18, 2020 03:29

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa nchi yake itaiunga mkono Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya kukabiliana na Misri na kamwe haitowaacha mkono wananchi wa Libya.

  • Mamluki 160 wakamatwa Sudan wakielekea Libya kupigana vita

    Mamluki 160 wakamatwa Sudan wakielekea Libya kupigana vita

    Jul 17, 2020 10:14

    Sudan imesema, imewatia nguvuni watu 160 wakiwemo raia wa kigeni ambao walikuwa mbioni kuelekea Libya kwa lengo la kupigana kama mamluki katika vita vya ndani vya nchi hiyo.

  • Afisa wa serikali ya Sudan akanusha madai nchi yake inashiriki katika mapigano huko Libya

    Afisa wa serikali ya Sudan akanusha madai nchi yake inashiriki katika mapigano huko Libya

    Jul 16, 2020 22:13

    Naibu Mkuu wa Kamati ya Kisiasa ya Baraza la Mpito la Uongozi nchini Sudan amekanusha madai kuwa nchi hiyo inahusika katika mapigano yanayojiri nchini Libya au kutuma mamluki nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS