-
Msimamo wa Macron dhidi ya uingiliaji wa Uturuki Libya
Jun 23, 2020 03:04Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa uingiliaji kijeshi wa Ufaransa nchini Libya ni mchezo hatari.
-
Umoja wa Ulaya: Mgogoro wa Libya hauna utatuzi wa kijeshi
Jun 23, 2020 02:37Msemaji wa mkuu wa siasa za nje wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kwamba mgogoro wa Libya hauwezi kutatuliwa kwa njia ya kijeshi.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya yajibu matamshi ya al Sisi
Jun 22, 2020 22:03Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amejibu matamshi ya karibuni ya Rais wa Misri kuhusu uingiliaji wa moja kwa moja wa nchi hiyo katika masuala ya ndani ya Libya akisema kuwa yanakinzana na azimio la Umoja wa Mataifa.
-
Sharti la Uturuki kukubali usitishaji vita nchini Libya
Jun 22, 2020 04:52Ibrahim Kalin, Msemaji wa Ikulu ya Rais wa Uturuki amesema kuwa usitishaji vita utatekelezwa nchini Libya kwa sharti kuwa wapiganaji wanaojiita Jeshi la Taifa la Libya wanaoongozwa na jenerali muasi Khalifa Hafta waondoke katika mji wa Sirte.
-
Raia 18 wa Misri watiwa mbaroni nchini Libya
Jun 22, 2020 03:12Timu ya opereseheni za "Volkano ya Hasira" ya Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya imetangaza habari ya kutiwa mbaroni raia 18 wa Misri ambao ni wananchi wa kundi moja linaloendesha shughuli zake kinyume cha sheria nchini Libya.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yamjibu Rais al Sisi wa Misri, yamtaka afunge mipaka ya nchi yake
Jun 21, 2020 06:08Msemaji wa jeshi la Serikali ya Mwafaka wa Kitaita ya Libya (GNA) amejibu matamshi ya vitisho yaliyotolewa na Rais Abdel Fattah al Sisi dhidi ya Libya.
-
Rais wa Misri aliamuru jeshi kuandaa oparesheni nje ya nchi
Jun 21, 2020 03:45Rais Abdel Fattah el-Sisi ameliamuru jeshi la Misri kujitayarisha kutekeleza oparesheni ndani na nje ya nchi kwa lengo la kulinda usalama wa taifa huku hali ya taharuki ikiongezeka baina ya nchi hiyo na Uturuki kuhusu kadhia ya Libya.
-
Waziri Mkuu wa Libya aonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria
Jun 20, 2020 23:14Waziri Mkuu wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya Fayez al Sarraj ameonana na Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria na pande mbili zimejadiliana njia za upatanishi na jinsi ya kutatua mgogoro wa Libya.
-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yapinga kikao cha Arab League
Jun 20, 2020 07:25Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya amesema kuwa, Tripoli inapinga kufanyika kikao cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) kuhusu masuala ya nchi hiyo.
-
HRW yataka uchunguzi kuhusu jinai za Jenerali Haftar nchini Libya
Jun 16, 2020 22:22Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetaka kufanyike uchunguzi wa kina kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na wanamgambo wa jenerali muasi Khalifa Haftar nchini Libya.