Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Libya

  • Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la leo la kigaidi la nchini Libya + Video

    Umoja wa Mataifa walaani shambulizi la leo la kigaidi la nchini Libya + Video

    May 02, 2018 11:10

    Kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Libya UNSMIL kimelaani shambulizi la kigaidi lililotokea leo katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi mjini Tripoli na kupelekea watu 14 kuuawa.

  • Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    Shambulizi dhidi ya makao makuu ya Tume ya Uchaguzi Libya laua 14 + Video

    May 02, 2018 10:28

    Kwa akali watu 14 wameuawa baada ya kundi la kigaidi kushambulia kwa mabomu na risasi makao makuu ya Tume ya Uchaguzi nchini Libya leo Jumatano.

  • Misri na Imarati zatuhumiwa kuvuruga mchakato wa mapatano ya kitaifa Libya

    Misri na Imarati zatuhumiwa kuvuruga mchakato wa mapatano ya kitaifa Libya

    Apr 24, 2018 11:54

    Jumuiya ya International Action Group for Libya imezituhumu nchi za Imarati na Misri kuwa zinavuruga jitihada zinazofanywa na ujumbe wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya mapatano ya kitaifa nchini Libya.

  • Wahajiri 11 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Libya

    Wahajiri 11 wa Kiafrika wamekufa maji katika pwani ya Libya

    Apr 23, 2018 03:15

    Kwa akali wahajiri 11 wa Kiafrika wameripotiwa kufariki dunia baada ya boti yao kuzama katika maji ya pwani ya magharibi mwa Libya, wakati wakiwa safarini kuelekea Ulaya.

  • Uingiliaji wa kigeni, sababu kuu ya ukosefu wa amani nchini Libya

    Uingiliaji wa kigeni, sababu kuu ya ukosefu wa amani nchini Libya

    Apr 16, 2018 22:48

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Libya amekosoa uingiliaji wa madola ya kigeni na kusema kwamba, sababu kuu ya nchi hiyo kushuhudia ukosefu wa usalama na amani ni uingiliaji wa madola hayo katika masuala ya nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Siyala: Uingiliaji wa nchi ajinabi; chanzo kikuu cha machafuko Libya

    Siyala: Uingiliaji wa nchi ajinabi; chanzo kikuu cha machafuko Libya

    Apr 15, 2018 09:45

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Libya amekosoa uingiliaji wa nchi ajinabii kuwa sababu kuu inayosababisha hali ya machafuko na ukosefu wa amani nchini humo.

  • Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Indhari ya Umoja wa Mataifa kuhusiana na muamala mbaya dhidi ya wafungwa nchini Libya

    Apr 11, 2018 08:16

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • UN: Makundi ya wabeba silaha yanawatesa na kuwaua wafungwa katika jela za Libya

    UN: Makundi ya wabeba silaha yanawatesa na kuwaua wafungwa katika jela za Libya

    Apr 11, 2018 00:06

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa makundi yanayobeba silaha nchini Libya yanawatesa na kuwaua wafungwa wanaoshikiliwa kwenye jela ambazo kidhahiri ziko chini ya udhibiti wa serikali ya nchi hiyo.

  • Libya kuitisha kongamano la kitaifa

    Libya kuitisha kongamano la kitaifa

    Apr 06, 2018 09:41

    Viongozi wa Libya wako mbioni kuandaa utangulizi wa mkutano wa kitaifa wenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Jeshi la Libya laanza kutekeleza operesheni dhidi ya kundi la kigaidi la DAESH

    Jeshi la Libya laanza kutekeleza operesheni dhidi ya kundi la kigaidi la DAESH

    Apr 03, 2018 03:29

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya imetangaza kuwa jeshi lake limeanza kutekeleza operesheni ya mashambulio dhidi ya kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS