-
Jeshi la Libya lawapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku 9 wawe wameshatoka nchini humo
Mar 09, 2018 00:15Jeshi la taifa la Libya jana (Alkhamisi) liliwapa wahajiri wa Kiafrika muda wa siku tisa wahakikishe wameshaondoka katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Watu watatu wauawa katika mapigano ya kusini mwa Libya
Mar 07, 2018 04:03Ofisi ya habari ya kituo cha afya mjini Sabha, kusini mwa Libya imetangaza habari ya kuuawa watu watatu katika mapigano mapya yaliyotokea mjini humo.
-
Hali mbaya ya wakimbizi wa Libya; kushindwa asasi za ndani na za kimataifa
Mar 05, 2018 09:19Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusiana na hali mbaya ya kibinadamu inayowakabili wakimbizi wa Libya katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.
-
Mazungumzo ya mjumbe wa Umoja wa Mataifa na Khalifa Haftar nchini Libya
Mar 04, 2018 08:10Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, Ghassan Salamé amekutana na kufanya mazungumzo na Jenerali Khalifa Haftar kuhusiana na masuala ya kijeshi na kisiasa ndani ya taifa hilo la kaskazini mwa Afrika.
-
Maelfu ya wahajiri walioko Libya kurejea kwao Gambia
Mar 01, 2018 12:01Shirika la Kimataifa la Uhamiaji limetangaza kuwa shirika hilo lina mpango wa kuwarejesha kwao Gambia maelfu ya wahajiri waliokwama nchini Libya.
-
UN yatahadharisha kuhusu hali ya wakimbizi Libya
Feb 28, 2018 12:56Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu hali ya kusikitisha ya wakimbizi walioko Libya.
-
Kuna zaidi ya wahamiaji laki saba haramu huko Libya
Feb 25, 2018 23:14Shirika la Kimataifa ya Wahajiri limesema kuwa, hivi sasa kuna zaidi ya wahamiaji haramu laki saba kutoka nchi 40 tofauti nchini Libya.
-
Sisitizo la Fayez al-Sarraj kuhusu nafasi ya kura ya maoni katika kuhitimisha mgogoro wa kisiasa nchini Libya
Feb 19, 2018 03:40Waziri Mkuu wa serikali ya maridhiano ya kitaifa ya Libya amesisitiza kuwa: kufanyika kura ya maoni ya rasimu ya katiba kutakuwa na taathira kubwa katika kuhitimisha mkwamo wa kisiasa ulioitanza nchi hiyo.
-
Wakimbizi 33 wengine wapoteza maisha nchini Libya
Feb 14, 2018 13:20Duru za kuaminika nchini Libya zimetangaza habari ya kuuawa wakimbizi zaidi ya 30 katika ajali ya barabarani nchini humo.
-
Hujuma ya kigaidi msikitini Benghazi, Libya, watu kadhaa wauawa au kujeruhiwa
Feb 09, 2018 11:48Watu kadhaa wanaripotiwa kupoteza maisha au kujeruhiwa katika mji wa Benghazi nchini Libya kufuatia hujuma ya kigadi wakati wa Sala ya Ijumaa hii leo.