Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

London

  • Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake

    Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake

    Apr 07, 2025 03:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameulaumu utawala wa Kizayuni Israel kwa kuwazuia kuingia, kuwakamata na kisha kuwatimua wabunge wawili wa chama tawala cha nchi hiyo cha Leba katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Feb 11, 2025 06:52

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaweza akafikiria kusitisha msaada kwa Jordan na Misri ikiwa zitakataa kuwapokea Wapalestina, baada ya kutekeleza mpango wake wa kuwahamaisha kwa nguvu wananchi hao katika ardhi yao ya Ukanda wa Ghaza ili kulihodhi na kulimiliki eneo hilo lililowekewa mzingiro.

  • Marekani yasimamisha misaada mipya ya fedha nje ya nchi, Israel na Misri hazimo

    Marekani yasimamisha misaada mipya ya fedha nje ya nchi, Israel na Misri hazimo

    Jan 25, 2025 06:12

    Serikali mpya ya Marekani imetangaza kuwa inasitisha takribani ufadhili wote mpya wa msaada wa fedha wa nje ya nchi isipokuwa kwa washirika wake wawili ambao ni utawala wa Kizayuni wa Israel na Misri. Haijafahamika wazi kama uamuzi huo utaihusu pia Ukraine au la.

  • Iran: HAMAS ingali hai, itaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla

    Iran: HAMAS ingali hai, itaendeleza njia yake kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla

    Oct 20, 2024 07:07

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi amesema Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS iko hai na itaendelea kufuata njia yake hiyo hiyo kwa nguvu zaidi kuliko ilivyokuwa hapo kabla licha ya kuuawa shahidi kiongozi wake Yahya Sinwar.

  • Sadiq Khan: Usalama umeimarishwa katika misikiti ya London

    Sadiq Khan: Usalama umeimarishwa katika misikiti ya London

    Aug 15, 2024 14:15

    Meya wa jiji la London ametangaza kuongezwa hatua za usalama katika mji huo ikiwa ni pamoja na mafunzo katika misikiti katika mji mkuu huo wa Uingereza.

  • Upinzani mkubwa dhidi ya uingiliaji wa London katika masuala ya Waislamu

    Upinzani mkubwa dhidi ya uingiliaji wa London katika masuala ya Waislamu

    Jun 03, 2023 01:30

    Idadi kubwa ya Waislamu wamekusanyika mbele ya Kituo cha Kiislamu mjini London wakipinga uingiliaji wa serikali ya Uingereza katika masuala ya Waislamu na kuwekewa mkurugenzi asiye Muislamu kusimamia masuala ya kituo hicho cha ibada.

  • Mtikisiko wa baada ya kifo cha Malkia Elizabeth: Nchi za Caribbean zaidai London fidia ya kipindi cha ukoloni na utumwa

    Mtikisiko wa baada ya kifo cha Malkia Elizabeth: Nchi za Caribbean zaidai London fidia ya kipindi cha ukoloni na utumwa

    Sep 09, 2022 12:17

    Wanasiasa na wanaharakati katika makoloni ya zamani ya Uingereza katika eneo la Caribbean, wamesisitiza tena ombi lao La kuondoka chini ya utawala wa familia ya kifalme ya Uingereza na kupewa fidia ya ukoloni na kipindi cha utumwa.

  • Balozi wa Israel akimbilia usalama wake kutoka Chuo cha Uchumi cha London

    Balozi wa Israel akimbilia usalama wake kutoka Chuo cha Uchumi cha London

    Nov 11, 2021 08:50

    Malalamiko na hasira ya wanachuo na waungaji mkono wa taifa la Palestina katika Chuo cha Masuala ya Uchumi cha London imepelekea balozi wa utawala haramu wa Israel nchini Uingereza kukimbilia usalama wake kutoka kwenye chuo hicho.

  • Maelfu ya watu wasio na makazi wamefariki dunia mjini London

    Maelfu ya watu wasio na makazi wamefariki dunia mjini London

    Dec 16, 2019 12:12

    Vyombo vya habari nchini Uingereza vimetangaza habari ya kufariki dunia maelfu ya watu wasio na makazi mjini London, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    NATO na changamoto zinazoikabili wakati inaadhimisha mwaka wa 70 wa kuasisiwa kwake

    Dec 04, 2019 08:12

    Nchi wanachama wa shirika la kijeshi la NATO zinakutana mjini London, Uingereza katika mkutano unaoadhimisha mwaka wa 70 tangu kuasisiwa shirika hilo la kijeshi, huku tofauti kubwa na changamoto za mivutano zilizopo ambazo hazijawahi kushuhudiwa, zikiuweka mashakani mustakabali wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS