-
Marekani yazidi kufanya hali ya mambo Korea kuwa mbaya
Oct 24, 2017 14:57Marekani imeendelea kufanya hali ya mambo katika eneo la Peninsula ya Korea kuwa mbaya na hivyo kuhatarisha usalama wa eneo hilo.
-
Waziri wa Vita wa Israel aota ndoto za alinacha kuhusu Hizbullah
Sep 13, 2017 14:58Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amedai kuwa Israel itashinda katika vita vinavyoweza kutokea siku za usoni kati yake na harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kwamba katika vita hivyo wataisambaratisha moja kwa moja harakati hiyo ya muqawama.
-
Misri na Marekani kuanza tena maneva baada ya kusimamishwa kwa miaka 8
Sep 06, 2017 07:07Misri imetangaza kuwa itaanza tena kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Marekani baada ya kusimamishwa kwa takriban miaka minane.
-
Maneva ya siku mbili ya kijeshi kati ya Russia na China katika maji ya bahari ya Baltic
Jul 27, 2017 07:31Maneva ya kijeshi ya baharini kati ya Russia na China yalianza siku ya Jumanne ya tarehe 25 mwezi huu katika maji ya bahari ya Baltic.
-
Utegemezi usio na mwamana wa serikali ya Doha kwa Marekani, kosa kubwa la Qatar
Jun 18, 2017 10:18Katika hali ambayo kwenye mgogoro wa Saudia na Qatar, serikali ya Marekani imesimama upande wa watawala wa Aal Saud, Ijumaa ya juzi ya tarehe 16 Juni, jeshi la majini la Qatar lilifanya maneva ya pamoja ya kijeshi na kikosi cha baharini cha Marekani katika maji ya Ghuba ya Uajemi.
-
Maneva ya 'Shoka Imara' ya jeshi la Yemen na Answarullah magharibi mwa Yemen
Apr 24, 2017 02:56Katika hali ambayo vita vya Saudia dhidi ya Yemen vimo ndani ya mwaka wake wa tatu, jeshi la Yemen kwa kushirikiana na harakati ya wananchi ya Answarullah, limefanya luteka na maneva ya kijeshi yaliyopewa jina la 'Shoka Imara' kwa lengo la kujiimarisha katika kukabiliana na vibaraka wa Saudia huko magharibi mwa nchi hiyo.
-
Kuanza maneva ya "Simba wa Afrika" nchini Morocco
Apr 22, 2017 11:53Maneva ya kijeshi yaliyopewa jina la "Simba wa Afrika" yameanza katika nchi ya Kiafrika ya Morocco yakishirikisha askari wa Jeshi la Majini la Marekani na wanajeshi 1300 kutoka nchi nyinginen 11.
-
Saudia yazidi kujipenyeza kijeshi Afrika, yaandaa luteka na Sudan
Mar 27, 2017 07:54Katika hatua inayoonekana ni ya kujaribu kujienyeza zaidi kijeshi barani Afrika, majeshi ya Saudi Arabia na Sudan yanatazamiwa kufanya luteka ya pamoja wiki hii.
-
Jeshi la Majini la Iran lafanyia majaribio kombora la topedo
Feb 28, 2017 16:13Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran leo limefanyia majaribio yaliyofana kombora aina ya topedo katika siku ya mwisho ya mazoezi makubwa ya kijeshi katika maji ya kitaifa na kimataifa.
-
Iran yarusha kwa mafanikio kombora jipya zaidi la baharini la Cruz
Feb 27, 2017 14:15Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kuwa kombora jipya zaidi la baharini la Iran kwa jina la "Nassir" limefanyiwa majaribio kwa mafanikio katika maneva ya jeshi la wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.