Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?

    Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?

    Sep 15, 2025 11:00

    Maelfu ya watu wamemiminika barabarani mjini Berlin kupinga sera za Ujerumani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza

    Watu wa Afrika walaani jinai za utawala wa Israel dhidi ya Yemen na Gaza

    Sep 05, 2025 10:24

    Wananchi wa nchi kadhaa za Afrika wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Yemen na Gaza, wakionesha mshikamano wa wazi na harakati za ukombozi wa Wapalestina.

  • Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?

    Hatua za Israel dhidi ya Yemen na Gaza zimeakisiwa vipi miongoni mwa watu wa Afrika?

    Sep 03, 2025 02:32

    Wananchi wa baadhi ya nchi za Kiafrika wamefanya maandamano makubwa kujibu jinai za Israel za kuishambulia Yemen na kuendelea jinai za utawala huo ghasibu dhidi ya Ukanda wa Gaza.

  • Imefichuka kupitia taarifa za siri za jeshi la Israel: 83% ya waliouawa Ghaza ni raia wa kawaida

    Imefichuka kupitia taarifa za siri za jeshi la Israel: 83% ya waliouawa Ghaza ni raia wa kawaida

    Aug 22, 2025 10:04

    Taarifa za siri za jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel zilizovuja zinaonyesha kuwa watu watano kati ya sita waliouliwa na jeshi hilo katika Ukanda wa Ghaza ni raia wa kawaida.

  • Jibu la Tunisia kwa kauli ya Netanyahu ni ishara ya wasiwasi wa nchi za Kiarabu kuhusu mipango ya upanuzi ya Israel

    Jibu la Tunisia kwa kauli ya Netanyahu ni ishara ya wasiwasi wa nchi za Kiarabu kuhusu mipango ya upanuzi ya Israel

    Aug 22, 2025 02:13

    Wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano ya kupinga uzayuni wakilaani matamshi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu, kuhusu kile kinachoitwa “Israeli Kubwa.”

  • Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Aug 19, 2025 10:26

    Mgogoro wa hivi sasa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kushadidi maandamano yanaashiria kudhoofika muundo wa kisiasa na kiusalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Maandamano ya kutaka kulindwa wanahabari wa Gaza yafanyika Afrika Kusini

    Maandamano ya kutaka kulindwa wanahabari wa Gaza yafanyika Afrika Kusini

    Aug 18, 2025 06:48

    Waandishi wa habari wa Afrika Kusini na wafanyakazi wa vyombo vya habari wameongoza maandamano huko Sea Point jijini Cape Town, wakishinikiza kupewa ulinzi zaidi waandishi wa habari wa Palestina huko Gaza, sanjari na kutangaza mshikamano na wenzao waliouawa katika ukanda huo wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Familia za mateka Waisrael zaanzisha mgomo wa nchi nzima kupinga upanuzi wa vita dhidi ya Ghaza

    Familia za mateka Waisrael zaanzisha mgomo wa nchi nzima kupinga upanuzi wa vita dhidi ya Ghaza

    Aug 18, 2025 02:54

    Gazeti la Times of Israel limeripoti kuwa familia na waungaji mkono wa mateka Waisrael wameanza mgomo wao wa nchi nzima ili "kupinga upanuzi wa vita katika Ukanda wa Ghaza badala ya kusaini makubaliano ya kufanikisha kuachiliwa huru mateka hao wanaoshikiliwa na Hamas".

  • Maelfu waandamana mjini New York kupinga sera ya njaa huko Gaza

    Maelfu waandamana mjini New York kupinga sera ya njaa huko Gaza

    Aug 17, 2025 11:24

    Maelfu ya wananchi wa Marekani wameshiriki maandamano huko mjini New York kutaka kukomeshwa utumiaji wa njaa kwa makusudi dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, sambamba na kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa za kukomesha mauaji ya halaiki katika eneo hilo.

  • Maandamano makubwa nchini Tunisia na Morocco kupinga vita na kuzingirwa Gaza

    Maandamano makubwa nchini Tunisia na Morocco kupinga vita na kuzingirwa Gaza

    Aug 12, 2025 12:57

    Mamia ya Waafrika kaskazini mwa Afrika kwa mara nyingine tena wamejitokeza mitaani kuelezea upinzani wao dhidi ya vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza na siasa za kuwalazimishia njaa wakazi wa ukanda huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS