Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Waziri wa zamani wa vita wa Israel: Tunakabiliwa na 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia yetu'

    Mar 21, 2025 03:22

    Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel Moshe Ya'alon ametoa mwito kwa waandamanaji kuendeleza maandamano yao ili kuiangusha serikali ya Benjamin Netanyahu na kuhitimisha alichokiita 'mgogoro mkubwa zaidi katika historia ya Israel'.

  • Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil

    Mar 14, 2025 02:30

    Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya mahakama ya Manhattan jijini New York nchini Marekani, wakitaka mwanaharakati wa Kipalestina, Mahmoud Khalil aachiliwe huru.

  • Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha

    Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha

    Mar 12, 2025 02:40

    Duru moja ya Palestina yenye taarifa za mazungumzo yaliyofanyika kati ya HAMAS na serikali ya Marekani imekanusha ripoti zinazodai kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina imekubali kupokonywa silaha mkabala wa kutekelezwa usitishaji vita baina yake na utawala wa Kizayuni wa muda mrefu huko Gaza.

  • Wanachuo US walaani ukatili dhidi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina

    Wanachuo US walaani ukatili dhidi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina

    Mar 07, 2025 02:32

    Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia cha Marekani wamekosoa vikali jinsi uongozi wa chuo hicho unavyoshughulikia maandamano ya waungaji mkono wa Palestina, wakiushutumu uongozi huo kwa kusaliti jukumu lale na kuwadhaminia usalama wanafunzi na uhuru wao wa kujieleza.

  • Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Trump atishia kuzikatia misaada Misri na Jordan na kutaka makubaliano ya kusitisha vita Ghaza yafutwe

    Feb 11, 2025 06:52

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema anaweza akafikiria kusitisha msaada kwa Jordan na Misri ikiwa zitakataa kuwapokea Wapalestina, baada ya kutekeleza mpango wake wa kuwahamaisha kwa nguvu wananchi hao katika ardhi yao ya Ukanda wa Ghaza ili kulihodhi na kulimiliki eneo hilo lililowekewa mzingiro.

  • Maelfu waandamana Washington kupinga sera za uhamiaji za Trump

    Maelfu waandamana Washington kupinga sera za uhamiaji za Trump

    Jan 29, 2025 10:50

    Maelfu ya watu huko Marekani wamefanya maandamano nje ya Ikulu ya White House mjini Washington DC, kupinga mpango wa Rais wa nchi hiyo, Donald Trump wa kusimamisha ufadhili wa serikali, pamoja na sera zake tata za uhamiaji.

  • Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Maandamano ya Kwanza Dhidi ya Sera za Trump huko Washington

    Jan 21, 2025 14:28

    Wakati ambapo Donald Trump, rais mteule wa Marekani, ameapishwa rasmi Jumatatu, tarehe 20 Januari, maandamano dhidi ya sera zake tayari yameanza. Katika muktadha huu, maelfu ya Wamarekani, wengi wao wakiwa wanawake, wamekusanyika katika mitaa ya Washington kuandamana dhidi ya sera za Trump.

  • Droni za Yemen zahepa mifumo ya utunguaji ya utawala wa Kizayuni, zapiga Tel Aviv na Ashkelon

    Droni za Yemen zahepa mifumo ya utunguaji ya utawala wa Kizayuni, zapiga Tel Aviv na Ashkelon

    Dec 14, 2024 06:27

    Vikosi vya Jeshi la Yemen vimetangaza kuwa vimefanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kulenga mji wa Jaffa karibu na Tel Aviv pamoja na mji wa Ashkelon katika eneo la kati la ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika operesheni mpya dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Baada ya kuzisuluhisha Ethiopia na Somalia, Erdogan asema yuko tayari kuzipatanisha Sudan na UAE

    Baada ya kuzisuluhisha Ethiopia na Somalia, Erdogan asema yuko tayari kuzipatanisha Sudan na UAE

    Dec 14, 2024 06:25

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesisitizia utayari wa nchi yake wa kuimarisha amani na utulivu wa Sudan, ikilinda utawala wake dhidi ya kuingiliwa na nchi za nje.

  • Netanyahu asema, Miinuko ya Golan ya Syria itakaliwa kinyume cha sheria na Israel hadi 'milele'

    Netanyahu asema, Miinuko ya Golan ya Syria itakaliwa kinyume cha sheria na Israel hadi 'milele'

    Dec 10, 2024 11:31

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amesema, Miinuko ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu itabaki "milele kuwa sehemu isiyoweza kutenganishwa" na Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS