•  Wananchi Uingereza waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Gaza

    Wananchi Uingereza waendeleza maandamano ya kuiunga mkono Gaza

    Jan 21, 2024 02:39

    Maelfu ya watu nchini Uingereza kwa siku ya 15 mtawalia wamemiminika katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulaani na kupinga jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza.

  • Walimwengu waandamana kulaani siku 100 za jinai za Israel Gaza

    Walimwengu waandamana kulaani siku 100 za jinai za Israel Gaza

    Jan 14, 2024 03:32

    Mamilioni ya watu jana Jumamosi walifanya maandamano katika pembe mbali mbali za dunia kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, na vile vile kuonyesha mshikamano wao na taifa la Palestina.

  • Maandamano ya wananchi wa Uturuki ya kupinga vita

    Maandamano ya wananchi wa Uturuki ya kupinga vita

    Jan 03, 2024 07:29

    Katika muendelezo wa maandamano ya kupinga mauaji ya kimbari ya Waislamu huko Gaza, makumi ya maelfu ya wananchi wa Uturuki wamefanya maandamano makubwa mjini Istanbul kupinga jinai za utawala wa Kizayuni na mauaji ya vijana wa Kituruki kaskazini mwa Iraq katika siku ya kwanza ya mwaka huu mpya wa 2024.

  • Waandamanaji Uturuki: Marekani ndiye shetani halisi

    Waandamanaji Uturuki: Marekani ndiye shetani halisi

    Jan 01, 2024 11:55

    Kwa mara nyingine tena, wananchi wa Uturuki wamekusanyika nje ya Ubalozi Mdogo wa Marekani mjini Istanbul katika maandamano ya kuonyesha himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina hususan wa Ukanda wa Gaza wanaoendelea kukabiliwa na hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala haramu wa Israel.

  • Maelfu washiriki kwenye maandamano ya Morocco ya kuunga mkono Palestina

    Maelfu washiriki kwenye maandamano ya Morocco ya kuunga mkono Palestina

    Dec 25, 2023 06:30

    Maelfu ya watu nchini Morocco wamefanya mojawapo ya maandamano makubwa zaidi ya kuunga mkono Palestina mjini Rabat, tangu kuzuka kwa vita vya Gaza, wakati wakiitisha kuvunjwa kwa mahusiano kati ya taifa lao na Israel.

  • Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Watunisia wafanya maandamano makubwa mbele ya ubalozi wa Marekani kuiunga mkono Gaza

    Dec 25, 2023 02:41

    Wananchi wa Tunisia jana Jumapili walifanya maandamano mkabala wa ubalozi wa Marekani katika mij mkuu wa nchi hiyo Tunis, kwa ajili ya kuiunga mkono Gaza. Wananchi wa Tunisia wamekuwa wakiandamana kwa ajili ya kuwaunga mkono raia wa Palestina wa Ukanda wa Gaza na kupinga mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni.

  • Watumishi wa umma Uholanzi waandamana wakitaka kusitishwa vita Gaza

    Watumishi wa umma Uholanzi waandamana wakitaka kusitishwa vita Gaza

    Dec 23, 2023 02:27

    Makumi ya wafanyakazi wa umma nchini Uholanzi jana Ijumaa waliwashangaza wengi kwa kuingia mabarabarani kushiriki maandamano ya kutaka kutekelezwa usitishaji vita wa kudumu katika Ukanda wa Gaza.

  • Wayemen wafanya maandamano kulaani jinai za Wazayuni Gaza

    Wayemen wafanya maandamano kulaani jinai za Wazayuni Gaza

    Dec 15, 2023 10:17

    Wananchi wa Yemen kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano makubwa ya kulaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, na vile vile kuonyesha mshikamano wao na taifa la Palestina.

  • Wacanada waandamana wakimtaka Trudeau aache kuiuzia Israel silaha

    Wacanada waandamana wakimtaka Trudeau aache kuiuzia Israel silaha

    Dec 13, 2023 11:15

    Waungaji mkono wa Palestina wanaoishi nchini Canada wamefanya maandamano makubwa kulaani jinai za Wazayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza, ambapo mbali na kuonyesha mshikamano wao na wakazi wa Gaza, lakini pia wamemtaka Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Justin Trudeau kuacha kuuuzia silaha utawala wa Kizayuni.

  • Wanigeria waandamana wakitaka kukatwa uhusiano na Israel

    Wanigeria waandamana wakitaka kukatwa uhusiano na Israel

    Dec 03, 2023 10:42

    Kwa mara nyingine tena, maelfu ya Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.