Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Feb 27, 2023 02:31

    Maelfu ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kulalamikia mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan, siku chache baada ya jeshi katili la Israel kufanya mashambulizi ya umwagaji damu huko Jenin.

  • Maelfu waandamana Italia, Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine

    Maelfu waandamana Italia, Ujerumani kupinga vita na kupewa silaha Ukraine

    Feb 26, 2023 11:23

    Maelfu ya wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulalamikia vikwazo vya Magharibi dhidi ya Russia, huku vita vya Ukraine vikiingia mwaka wake wa pili.

  • Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Polisi ya Ufaransa yakandamiza maandamano ya wananchi

    Feb 13, 2023 02:34

    Askari polisi nchini Ufaransa wamewashambulia vibaya mamia ya maelfu ya watu walioshiriki maandamano ya kulalamikia sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo, na hususan mageuzi tata ya pensheni yaliyotazamiwa kuanza kutekelezwa mwaka huu wa 2023.

  • Tathmini ya maandamano ya ‘watu mamilioni moja’ Ufaransa ya kupinga sera za serikali ya Macron

    Tathmini ya maandamano ya ‘watu mamilioni moja’ Ufaransa ya kupinga sera za serikali ya Macron

    Feb 13, 2023 02:33

    Takribani watu milioni moja waliandamana siku ya Jumamosi nchini Ufaransa ikiwa ni mara ya nne wakipinga sera za serikali ya Rais Emmanuel Macron.

  • Maandamano makubwa nchini Uswisi kulalamikia mshahara mdogo na ugumu wa maisha

    Maandamano makubwa nchini Uswisi kulalamikia mshahara mdogo na ugumu wa maisha

    Jan 24, 2023 09:15

    Maandamano makubwa yamefanyika katika mji wa Lausanne nchini Uswisi kulalamikia kiwango cha chini cha mishahara, ugumu wa maisha na kupanda bei za bidhaa ambako hakuendani na mshahara wa wafanyakazi.

  • Maelfu waandamana tena dhidi ya serikali yenye misimamo mikali ya Netanyahu

    Maelfu waandamana tena dhidi ya serikali yenye misimamo mikali ya Netanyahu

    Jan 22, 2023 07:42

    Kwa mara nyingine, makumi ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina na kupachikwa jina la Israel wameandamana dhidi ya serikali yenye misimamo ya kuchupa mipaka ya Benjamin Netanyahu.

  • Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Wananchi wa Burkina Faso waandamana dhidi ya Ufaransa

    Jan 21, 2023 10:18

    Mamia ya wananchi wa Burkina Faso wamejitokeza mabarabarani katika mji mkuu Ouagadougou kushiriki maandamano dhidi ya Ufaransa, hatua inayoonesha jinsi ushawishi wa Paris katika nchi za bara la Afrika unavyoendelea kupungua.

  • Wananchi wa Tunisia waandamana tena dhidi ya Rais Kais Saied

    Wananchi wa Tunisia waandamana tena dhidi ya Rais Kais Saied

    Jan 15, 2023 06:55

    Kwa mara nyingine tena wananchi wa Tunisia wamefanya maandamano makubwa wakimtaka Rais Kais Saied wa nchi hiyo na serikali yake wajiuzulu, kwa kushindwa kuinasua nchi hiyo kutoka kwenye mgogoro wa kisiasa na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii.

  • Polisi Ufaransa yashambulia waandamanaji wa 'Vizibao vya Njano'

    Polisi Ufaransa yashambulia waandamanaji wa 'Vizibao vya Njano'

    Jan 09, 2023 04:08

    Askari polisi nchini Ufaransa wamewashambulia vibaya maelfu ya watu walioshiriki maandamano ya Vizibao vya Njano, kulalamikia sera za Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo na hususan mageuzi tata ya pensheni yanayotazamiwa kuanza kutekelezwa mwaka huu wa 2023.

  • Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Wabahrain waandamana kulalamikia kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Dec 26, 2022 07:36

    Wananchi wa Bahrain wameandamana kulalalamikia na kulaani hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS