Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maandamano makubwa ya Wafaransa ya kupinga sera za NATO na Ulaya katika vita vya Ukraine

    Maandamano makubwa ya Wafaransa ya kupinga sera za NATO na Ulaya katika vita vya Ukraine

    Dec 22, 2022 03:08

    Kutokana na kushamiri hali mbaya ya kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wa nchi hizo wanapinga sera za Umoja wa Ulaya katika vita vya Ukraine. Hali mbaya ya uhaba wa nishati na wasiwasi unaotokana na msimu wa baridi kali unaokaribia kuanza,

  • Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan

    Waislamu wa Nigeria waandamana kulaani ukandamizaji wa Mashia Azerbaijan

    Dec 11, 2022 12:40

    Wananchi Waislamu wa Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika kulalamikia mbinyo na ukandamizaji dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Azerbaijan.

  • Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Wasudan wataka UN iache kuingilia masuala ya ndani ya nchi yao

    Dec 04, 2022 07:08

    Maelfu ya wananchi wa Sudan wamefanya maandamano ya kupinga makubaliano ya amani yanayotazamiwa kusainiwa kesho Jumatatu kwa shabaha ya kuhitimisha mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Maandamano yafanyika Afrika Kusini kulaani kuachiwa Mzungu katili

    Maandamano yafanyika Afrika Kusini kulaani kuachiwa Mzungu katili

    Dec 02, 2022 02:43

    Wananchi wa Afrika Kusini wamefanya maandamano kulalamikia hatua ya mahakama ya nchi hiyo kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyemuua mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi (apartheid).

  • Wasudan waandamana kupinga uingiliaji wa wageni katika masuala ya ndani ya nchi yao

    Wasudan waandamana kupinga uingiliaji wa wageni katika masuala ya ndani ya nchi yao

    Nov 20, 2022 09:51

    Wafuasi wa chama tawala cha zamani nchini Sudan na baadhi ya vyama vya kisiasa wameandamana mjini Khartoum, mji mkuu wa nchi hiyo, kupinga uingiliaji wa madola ya kigeni katika masuala ya ndani ya Sudan.

  • Maelfu waandamana Italia kuishinikiza Rome isiunge mkono vita vya Ukraine

    Maelfu waandamana Italia kuishinikiza Rome isiunge mkono vita vya Ukraine

    Nov 06, 2022 07:18

    Maelfu ya wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika mji mkuu Rome, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuunga mkono vita vinavyoendelea Ukraine.

  • Wasudani waendeleza mandamano kupinga utawala wa kijeshi

    Wasudani waendeleza mandamano kupinga utawala wa kijeshi

    Oct 26, 2022 07:37

    Maandamano makubwa dhidi ya serikali ya kijeshi nchini Sudan kwa mara nyingine tena yamesababisha mapigano makali kati ya askari usalama na waandamanaji.

  • Wanaopinga 'Brexit' waandamana wakitaka UK ijiunge tena na EU

    Wanaopinga 'Brexit' waandamana wakitaka UK ijiunge tena na EU

    Oct 24, 2022 04:00

    Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Uingereza, London wakishinikiza nchi hiyo irejee katika Umoja wa Ulaya.

  • Wataliano waandamana dhidi ya serikali; wataka kutatuliwa mgogoro wa nishati

    Wataliano waandamana dhidi ya serikali; wataka kutatuliwa mgogoro wa nishati

    Oct 16, 2022 10:44

    Wananchi wa Italia wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya serikali ya nchi hiyo kushindwa kutafutia ufumbuzi mgogoro wa nishati unaowakabili.

  • Maelfu waandamana Paris wakitaka Ufaransa iondoke NATO

    Maelfu waandamana Paris wakitaka Ufaransa iondoke NATO

    Oct 10, 2022 02:46

    Makumi ya maelfu ya watu wamefanya maandamano katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris, wakishinikiza nchi hiyo ijiondoe katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS