-
Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono
Dec 04, 2018 21:38Maelfu ya wanawake wa Israel walifanya maandamano jana Jumanne katika kila kona ya utawala huo haramu, wakilalamikia unyanyasaji wa kingono, mateso dhidi yao na udhalilishaji wa kijinsia.
-
Maandamano yafanyika Buenos Aires, Argentina kupinga mkutano wa G20 na Bin Salman
Nov 29, 2018 09:53Raia wa Argentina wamefanya maandamano mjini Buenos Aires, mji mkuu wa nchi hiyo wakipinga kufanyika mkutano wa kundi la G20 utakaohudhuriwa na Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia.
-
Waislamu Nigeria waendelea kuandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Nov 28, 2018 23:40Wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.
-
Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe
Nov 27, 2018 04:31Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimetangaza Alkhamisi ya kesho kutwa kuwa siku ya kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali.
-
Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia
Nov 23, 2018 04:16Maelfu ya watumishi wa umma nchini Tunisia jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kushinikiza nyongeza ya mishahara.
-
Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad
Nov 16, 2018 04:18Maelafu ya wakazi wa jimbo la Daraa, kusini magharibi mwa Syria wamefanya maandamano makubwa wakimuunga mkono Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.
-
Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura
Oct 26, 2018 11:03Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.
-
Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen
Sep 19, 2018 23:16Kundi moja la wananchi wa Italia limekusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Rome kulaani jinai za Aal Saud huko Yemen.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim
Sep 14, 2018 10:47Idadi kubwa ya Waislamu wa Bahrain leo Ijumaa wamefanya maandamano baada ya Swala ya Ijumaa kandokando ya Msikiti wa Imam Jaafar Sadiq (a.s) wakionyesha uungaji mkono na mshikamano wao kwa Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mtajika wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo.
-
Wapinzani waendelea na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi nchini Mali
Sep 01, 2018 23:54Wapinzani wa serikali ya Mali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais.