Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mawaziri sita wa serikali ya Israel washiriki katika maandamano ya kupinga serikali

    Mawaziri sita wa serikali ya Israel washiriki katika maandamano ya kupinga serikali

    Dec 17, 2018 11:50

    Baada ya kupata kipigo kutoka kwa wanamapambano wa Palestina na kulazimika Israel kukomesha uvamizi wake wa Ghaza baada ya siku mbili tu, sasa hivi utawala wa Kizayuni umekumbwa na maandamano ya kuipinga serikali huku mawaziri sita wa serikali hiyo nayo wakishiriki kwenye maandamano ya jana usiku ya kumpinga waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • Maandamano makubwa ya kupinga mfumuko wa bei yafanyika Sudan

    Maandamano makubwa ya kupinga mfumuko wa bei yafanyika Sudan

    Dec 17, 2018 10:01

    Maandamano makubwa ya kulalamikia mfumuko wa bei yamefanyika katika miji kadhaa ya Sudan ambapo waandamaji wakiwa wabeba mabango na maberamu wamepiga nara dhidi ya serikali ya Khartoum.

  • Serikali ya Misri yaogopa kivuli chake, yapiga marufuku uuzaji wa 'vizibao vya njano'

    Serikali ya Misri yaogopa kivuli chake, yapiga marufuku uuzaji wa 'vizibao vya njano'

    Dec 11, 2018 03:51

    Serikali ya Misri imepiga marufuku uuzaji wa vizibao vya njano, ikihofia kuwa huenda wapinzani wakavitumia katika maandamano kama yale yanayoshuhudiwa nchini Ufaransa kwa zaidi ya wiki nne sasa.

  • Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Wanawake wa Israel waandamana kulalamikia ukatili wa kingono

    Dec 04, 2018 21:38

    Maelfu ya wanawake wa Israel walifanya maandamano jana Jumanne katika kila kona ya utawala huo haramu, wakilalamikia unyanyasaji wa kingono, mateso dhidi yao na udhalilishaji wa kijinsia.

  • Maandamano yafanyika Buenos Aires, Argentina kupinga mkutano wa G20 na Bin Salman

    Maandamano yafanyika Buenos Aires, Argentina kupinga mkutano wa G20 na Bin Salman

    Nov 29, 2018 09:53

    Raia wa Argentina wamefanya maandamano mjini Buenos Aires, mji mkuu wa nchi hiyo wakipinga kufanyika mkutano wa kundi la G20 utakaohudhuriwa na Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia.

  • Waislamu Nigeria waendelea kuandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Waislamu Nigeria waendelea kuandamana kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Nov 28, 2018 23:40

    Wananchi Waislamu wa Nigeria wamefanya maandamano ya kutaka kiongozi wa harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky aachiliwe huru.

  • Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe

    Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe

    Nov 27, 2018 04:31

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimetangaza Alkhamisi ya kesho kutwa kuwa siku ya kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali.

  • Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Wafanyakazi wa umma waandamana wakitaka nyongeza ya mishahara Tunisia

    Nov 23, 2018 04:16

    Maelfu ya watumishi wa umma nchini Tunisia jana Alkhamisi walimiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kushinikiza nyongeza ya mishahara.

  • Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad

    Maelfu ya wakazi wa Daraa, Syria waandamana kumuunga mkono Rais Bashar al Assad

    Nov 16, 2018 04:18

    Maelafu ya wakazi wa jimbo la Daraa, kusini magharibi mwa Syria wamefanya maandamano makubwa wakimuunga mkono Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.

  • Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Maelfu waandamana Kongo DR kupinga mashine za kielektroniki za kura

    Oct 26, 2018 11:03

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Kinshasa na miji mingine mikuu ya nchi hiyo wakitaka kutotumika mashine za kupiga kura kwa njia ya kielektroniki, huku wakisisitiza kuwa mashine hizo huenda zikapelekea kuibiwa kura.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS