-
Roma wajiunga na walimwengu kulaani jinai za Saudia nchini Yemen
Sep 19, 2018 23:16Kundi moja la wananchi wa Italia limekusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini Rome kulaani jinai za Aal Saud huko Yemen.
-
Wabahrain waandamana kumuunga mkono Sheikh Issa Qassim
Sep 14, 2018 10:47Idadi kubwa ya Waislamu wa Bahrain leo Ijumaa wamefanya maandamano baada ya Swala ya Ijumaa kandokando ya Msikiti wa Imam Jaafar Sadiq (a.s) wakionyesha uungaji mkono na mshikamano wao kwa Sheikh Issa Qassim, mwanazuoni mtajika wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo.
-
Wapinzani waendelea na maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi nchini Mali
Sep 01, 2018 23:54Wapinzani wa serikali ya Mali kwa mara nyingine tena wamefanya maandamano ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais.
-
Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW
Aug 30, 2018 03:26"Harakati ya Tumeitika Ewe Mjumbe wa Allah" ya nchini Pakistan inayoongozwa na Allamah Khadim Hussein Razavi jana ilianza maandamano yake kutoka mji wa Lahore kuelekea Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo ambayo yanafanyika kwa lengo la kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW nchini Uholanzi.
-
Wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina 180 katika maandamano
Aug 25, 2018 02:34Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa tokea yaanze 'Maandamano ya Haki ya Kurejea' Machi 30 mwaka huu wa 2018, Wapalestina 180 wameuawa shahidi kwa kupigwa risasi na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Jumuiya za kutetea haki za binadamu: Serikali ya al Sisi inakandamiza wapinzani
Aug 16, 2018 23:19Jumuiya saba za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimeikosoa serikali ya nchi hiyo zikisisitiza kuwa mienendo yake dhidi ya wapinzani inakiuka sheria.
-
Watunisia waandamana kulalamikia ubaguzi wa Saudia katika kutoa viza kwa ajili ya Hijja
Aug 14, 2018 10:33Raia wa Tunisia wamefanya maandamano kulalamikia siasa za kibaguzi zinazotekelezwa na Saudi Arabia katika kutoa viza kwa ajili ya kushiriki ibada ya Hijja ya mwaka huu.
-
Watunisia waandamana kupinga mageuzi ya kijamii yaliyopendekezwa na kamati ya Rais
Aug 12, 2018 03:24Maelfu ya wananchi wa Tunisia wameandamana kupinga mageuzi ya kijamii yaliyopendekezwa na kamati iliyoundwa na rais wa nchi hiyo Beji Caid Essebsi.
-
Hamas yataka kuendeleza maandamano ya Kurejea
Aug 10, 2018 11:49Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas amesisitiza kuwa wananchi wa Palestina wataendelea kufanya maandamano makubwa ya "Haki ya Kurejea" hadi pale malengo yao yatakapofanikishwa na kuvunjwa mzingiro wa Ghaza.
-
Wananchi wa Libya waandamana kulalamikia maisha magumu
Aug 05, 2018 10:48Miji mingi ya Libya imekumbwa na maandamano ya wananchi wanaolalamikia maisha magumu.