-
Maelfu waandamana Tel Aviv kupinga ubaguzi wa Israel
Jul 15, 2018 02:51Watu zaidi ya elfu saba wamefanya maandamano katika barabara za mji wa Tel Aviv kupinga muswada wa kibaguzi wa utawala haramu wa Israel.
-
Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London
Jul 13, 2018 10:53Wimbi kubwa la wananchi wa Uingereza limefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya Rais wa Marekani mjini London. Maandamano hayo yamefanyika kufuatia wito uliotolewa na taasisi za kutetea haki za binadamu na harakati zinazopinga vita za nchini humo.
-
Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe
Jul 11, 2018 23:41Maelfu ya wafuasi wa upinzani jana Jumatano walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano dhidi ya chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-pf katika mji mkuu Harare.
-
Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Uganda
Jul 11, 2018 09:07Maafisa wa polisi nchini Uganda wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wananchi waliomiminika katika barabara za mji mkuu Kampala, kulalamikia kodi mpya wanazotozwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
-
Maandamano yaendelea Nigeria kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru
Jul 08, 2018 08:57Wananchi wameendelea kuandamana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wakitaka serikali ya hiyo imuahcilie huru Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo.
-
Mashahidi wa maandamano ya "Haki ya Kurejea" Palestina wamefika 144
Jul 04, 2018 22:10Idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea" tangu yalipoanza tarehe 30 Machi mwaka huu imefikia 144 huku wengine wasiopungua 15,501 wakiwa wamejeruhiwa.
-
Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa
Jul 04, 2018 02:57Askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia kwa risasi hai maandamano ya wanawake wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 134 miongoni mwao.
-
Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri
Jun 30, 2018 21:13Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani wakipinga sera na siasa za kuwapiga vita wahajiri hususan hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuwatenganisha watoto wahajiri na wazazi wao.
-
Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani
Jun 08, 2018 03:29Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika leo Ijumaa katika miji 900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 800 kote duniani.
-
Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano
Jun 07, 2018 03:39Sambamba na kufanyika karamu ya futari iliyoiandaliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, wanaharakati wa masuala ya kiraia wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya White House wakipinga siasa za chuki na ubaguzi za rais huyo dhidi ya Waislamu na wahajiri.