Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maelfu waandamana Tel Aviv kupinga ubaguzi wa Israel

    Maelfu waandamana Tel Aviv kupinga ubaguzi wa Israel

    Jul 15, 2018 02:51

    Watu zaidi ya elfu saba wamefanya maandamano katika barabara za mji wa Tel Aviv kupinga muswada wa kibaguzi wa utawala haramu wa Israel.

  • Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Maandamano makubwa ya wananchi wa Uingereza wakipinga safari ya Trump mjini London

    Jul 13, 2018 10:53

    Wimbi kubwa la wananchi wa Uingereza limefanya maandamano makubwa kupinga ziara ya Rais wa Marekani mjini London. Maandamano hayo yamefanyika kufuatia wito uliotolewa na taasisi za kutetea haki za binadamu na harakati zinazopinga vita za nchini humo.

  • Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe

    Maandamano dhidi ya chama tawala yafanyika Zimbabwe

    Jul 11, 2018 23:41

    Maelfu ya wafuasi wa upinzani jana Jumatano walijitokeza mabarabarani kushiriki maandamano dhidi ya chama tawala nchini Zimbabwe Zanu-pf katika mji mkuu Harare.

  • Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Uganda

    Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Uganda

    Jul 11, 2018 09:07

    Maafisa wa polisi nchini Uganda wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wananchi waliomiminika katika barabara za mji mkuu Kampala, kulalamikia kodi mpya wanazotozwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.

  • Maandamano yaendelea Nigeria kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Maandamano yaendelea Nigeria kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru

    Jul 08, 2018 08:57

    Wananchi wameendelea kuandamana katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja wakitaka serikali ya hiyo imuahcilie huru Sheikh Ibrahim Zakzaky kiongozi wa harakati ya Kiislamu nchini humo.

  • Mashahidi wa maandamano ya

    Mashahidi wa maandamano ya "Haki ya Kurejea" Palestina wamefika 144

    Jul 04, 2018 22:10

    Idadi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika maandamano ya "Haki ya Kurejea" tangu yalipoanza tarehe 30 Machi mwaka huu imefikia 144 huku wengine wasiopungua 15,501 wakiwa wamejeruhiwa.

  • Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa

    Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa

    Jul 04, 2018 02:57

    Askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia kwa risasi hai maandamano ya wanawake wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 134 miongoni mwao.

  • Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Jun 30, 2018 21:13

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani wakipinga sera na siasa za kuwapiga vita wahajiri hususan hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuwatenganisha watoto wahajiri na wazazi wao.

  • Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Jun 08, 2018 03:29

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika leo Ijumaa katika miji 900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 800 kote duniani.

  • Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Jun 07, 2018 03:39

    Sambamba na kufanyika karamu ya futari iliyoiandaliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, wanaharakati wa masuala ya kiraia wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya White House wakipinga siasa za chuki na ubaguzi za rais huyo dhidi ya Waislamu na wahajiri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS