Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maandamano yachachamaa Jordan, Waziri Mkuu alazimika kujiuzulu

    Maandamano yachachamaa Jordan, Waziri Mkuu alazimika kujiuzulu

    Jun 04, 2018 09:57

    Waziri Mkuu wa Jordan amelazimika kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku kadhaa ya wananchi, kulalamikia sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.

  • Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    May 31, 2018 10:18

    Mamia ya wananchi wa Kenya wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Nairobi, kulalamikia kiwango kikubwa cha ufisadi wa fedha nchini humo.

  • Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    May 26, 2018 03:18

    Kijana mmoja wa Palestina ameuawa shahidi huku watu wengine 109 wakijeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika jana Ijumaa katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    May 21, 2018 03:27

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji wa Dār al-Bayḍā (Casablanca) kulaani hatua ya Marekani ya kuuhamishia Quds ubalozi wake uliokuweko Tel Aviv, mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 18, 2018 10:15

    Wananchi wa Iran wamemiminika mabarabarani baada ya Sala ya Ijumaa hii leo kushiriki maandamanao ya kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na uamuzi wa upande mmoja wa Marekani wa kuuhamishia ubalozi katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.

  • HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    May 15, 2018 03:32

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa maandamano ya amani ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Gaza ya kupinga ubalozi wa Marekani Tel Aviv kuhamishiwa Baitul Muqaddas yataendelea.

  • Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    May 13, 2018 03:16

    Mamia ya Waisraeli wamejiunga na Wapalestina katika maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    Mataifa ya Kiislamu yaandamana kupinga US kuuhamishia ubalozi wake Quds

    May 12, 2018 02:54

    Maelfu ya watu wameshiriki maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

  • Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    Upinzani nchini Madagascar wakataa upatanishi wa UN

    May 08, 2018 12:25

    Upinzani nchini Madagascar umepinga upatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro unaoendelea kutokota katika kisiwa hicho cha kusini mashariki mwa Afrika.

  • Maandamano dhidi ya rais wa Madagascar yanaendelea

    Maandamano dhidi ya rais wa Madagascar yanaendelea

    Apr 28, 2018 11:46

    Zaidi ya wanaharakati 1,000 wanaoipinga serikali ya Madagascar wameendelea na maandamano yao kwa siku ya nane mfululizo wakimtaka rais wa nchi hiyo ajiuzulu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS