Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Maelfu ya Wamarekani waandamana dhidi ya sera za Trump kuhusu wahajiri

    Jun 30, 2018 21:13

    Maelfu ya watu wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya Marekani wakipinga sera na siasa za kuwapiga vita wahajiri hususan hatua ya Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ya kuwatenganisha watoto wahajiri na wazazi wao.

  • Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Maandamano ya Siku ya Quds yanafanyika katika miji 900 ya Iran na miji 800 kote duniani

    Jun 08, 2018 03:29

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika leo Ijumaa katika miji 900 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na katika miji mikubwa na midogo zaidi ya 800 kote duniani.

  • Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Futari ya kimaonyesho ya Trump yakabiliwa na maandamano

    Jun 07, 2018 03:39

    Sambamba na kufanyika karamu ya futari iliyoiandaliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, wanaharakati wa masuala ya kiraia wamefanya maandamano mbele ya Ikulu ya White House wakipinga siasa za chuki na ubaguzi za rais huyo dhidi ya Waislamu na wahajiri.

  • Maandamano yachachamaa Jordan, Waziri Mkuu alazimika kujiuzulu

    Maandamano yachachamaa Jordan, Waziri Mkuu alazimika kujiuzulu

    Jun 04, 2018 09:57

    Waziri Mkuu wa Jordan amelazimika kujiuzulu kufuatia maandamano ya siku kadhaa ya wananchi, kulalamikia sera za kiuchumi za serikali ya nchi hiyo.

  • Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    Wakenya waandamana kulaani ufisadi wa kifedha serikalini

    May 31, 2018 10:18

    Mamia ya wananchi wa Kenya wamefanya maandamano hii leo katika mji mkuu Nairobi, kulalamikia kiwango kikubwa cha ufisadi wa fedha nchini humo.

  • Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    Wazayuni waendelea kuwaua shahidi na kuwajeruhi Wapalestina

    May 26, 2018 03:18

    Kijana mmoja wa Palestina ameuawa shahidi huku watu wengine 109 wakijeruhiwa katika maandamano ya 'Haki ya Kurejea' yaliyofanyika jana Ijumaa katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    May 21, 2018 03:27

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji wa Dār al-Bayḍā (Casablanca) kulaani hatua ya Marekani ya kuuhamishia Quds ubalozi wake uliokuweko Tel Aviv, mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Wananchi wa Iran wafanya maandamano kulaani jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    May 18, 2018 10:15

    Wananchi wa Iran wamemiminika mabarabarani baada ya Sala ya Ijumaa hii leo kushiriki maandamanao ya kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina, sambamba na uamuzi wa upande mmoja wa Marekani wa kuuhamishia ubalozi katika mji mtukufu wa Quds, kutoka Tel Aviv.

  • HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    HAMAS: Maandamano ya Wapalestina katika mpaka wa Gaza yataendelea

    May 15, 2018 03:32

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa maandamano ya amani ya Wapalestina katika mpaka wa Ukanda wa Gaza ya kupinga ubalozi wa Marekani Tel Aviv kuhamishiwa Baitul Muqaddas yataendelea.

  • Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    Waisraeli wajiunga na Wapalestina katika maandamano dhidi ya US

    May 13, 2018 03:16

    Mamia ya Waisraeli wamejiunga na Wapalestina katika maandamano ya kupinga hatua ya kiuhasama ya Marekani ya kuuhamishia ubalozi wake katika mji wa Quds Tukufu, kutoka Tel Aviv.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS