Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Maelfu ya wanawake waandamana DRC kulaani wimbi la mauaji

    Maelfu ya wanawake waandamana DRC kulaani wimbi la mauaji

    Apr 28, 2018 03:10

    Maelfu ya wanawake wamefanya maandamano katika mji wa Beni, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kulishinikiza jeshi la nchi hiyo pamoja na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kukabiliana na wimbi la mauaji yanayofanywa na magenge ya waasi katika eneo hilo.

  • Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Baraza la Usalama latakiwa kuichukulia hatua Israel kwa kuwaua Wapalestina

    Apr 28, 2018 03:07

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo liuchukulie hatua mara moja utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuendelea kuwaua shahidi Wapalestina wanaofanya maandamano ya amani katika mpaka wa Ghaza.

  • Je, Israel inatumia 'risasi za sumu' dhidi ya Wapalestina Gaza?

    Je, Israel inatumia 'risasi za sumu' dhidi ya Wapalestina Gaza?

    Apr 23, 2018 03:24

    Madaktari wa Palestina na wa kimataifa wameonyesha wasi wasi mkubwa walionao kuhusiana na majeraha mabaya yaliyosababishwa na risasi za wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina katika mpaka wa Gaza.

  • Maelfu ya Waisraeli waandamana kupinga udikteta wa Netanyahu

    Maelfu ya Waisraeli waandamana kupinga udikteta wa Netanyahu

    Apr 22, 2018 09:13

    Maelfu ya Waisraeli wamemiminika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kile waliochokitaja kama udikteta wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu sambamba na kushinikiza afungwe jela kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha zinazomuandama.

  • Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Balozi wa Palestina UN ataka kuchunguzwa jinai za Israel huko Gaza

    Apr 20, 2018 23:40

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa umoja huo kuunda kamisheni huru ya kuchunguza jinai za kutisha zinazofanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Maandamano yafanyika Marekani chini ya nara

    Maandamano yafanyika Marekani chini ya nara " Hatutaki vita Syria"

    Apr 15, 2018 09:32

    Makumi ya wananchi wa Marekani wanaopinga vita wamefanya maandamano katika miji mbalimbli ya nchi hiyo kulalamikia kushambuliwa kijeshi Syria. Wanaharakati hao wanaopinga vita wameandamana baada ya kutekelezwa mashambulizi ya makombora dhidi ya Syria chini ya uongozi wa Marekani.

  • Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Hamas yajibu vitisho vya Israel, yasema maandamano yataendelea

    Apr 10, 2018 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema maandamano makubwa ya amani yataendelea hadi pale mzingiro wa kibaguzi katika Ukanda wa Gaza utakapoondolewa.

  • Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru Nigeria

    Maandamano ya kutaka Sheikh Zakzaky aachiliwe huru Nigeria

    Apr 08, 2018 09:19

    Watu wa Nigeria wameendeleza maandamano yao ya kulaani hatua ya serikali kuendelea kumshikilia kinyume cha sheria kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky huku wakitaka aachiliwe huru mara moja.

  • Vikosi vya usalama Bahrain vyawashambulia waandamanaji

    Vikosi vya usalama Bahrain vyawashambulia waandamanaji

    Apr 07, 2018 03:24

    Maafisa usalama wa Bahrain wamewashambulia wananchi waliokuwa wamemininika mabarabarani kushiriki maandamano ya kupinga kufanyika nchini humo mashindano ya magari ya Langalanga maarufu kama Formula 1.

  • Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya

    Wapalestina waandamana katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea"

    Apr 06, 2018 09:34

    Maelfu ya Wapalestina wamejitokeza leo na kuandamana huko Gaza Palestina katika Ijumaa ya pili ya maandamano ya "Haki ya Kurejea".

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS