-
Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina
Apr 01, 2018 12:51Wananchi na makundi ya kiraia katika mji wa London nchini Uingereza wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kulaani jinai wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi
Mar 30, 2018 11:24Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Waguinea waandamana kupinga ukatili wa polisi
Mar 30, 2018 03:22Wananchi wa Guinea wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Conakry wakipinga ukatili wa polisi dhidi ya wafuasi wa kambi ya upinzani na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua dhidi ya polisi waliohusika na mauaji ya raia.
-
Wananchi Ghana wapinga mkataba wa kijeshi na Marekani
Mar 29, 2018 01:56Maelfu ya watu waliandamana katika mji mkuu wa Ghana, Accra siku ya Jumatano kupinga mkataba tata wa kijeshi baina ya nchi yao na Marekani.
-
Bin Salman akaribishwa Marekani kwa maandamano ya kulaani mauaji ya watoto Yemen
Mar 20, 2018 12:20Maelfu ya wanaharakati wamefanya maandamano nje ya jengo la Capitol Hill lenye mabunge ya Marekani katika jiji la Washington, kulaani mauaji ya watoto wadogo wasio na hatia nchini Yemen yanayofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia.
-
Wanachuo wanaosomea utabibu wafanya maandamano nchini Tunisia
Mar 13, 2018 04:31Wanafunzi wanaosomea taaluma ya udakitari nchini Tunisia wamefanya maandamano nje ya ofisi ya Wizara ya Afya wakishinikiza kutekelezewa matakwa yao.
-
Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo
Mar 11, 2018 03:47Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.
-
Waislamu waandamana Nigeria wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Mar 09, 2018 12:28Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani huko Abuja mji mkuu wa nchi hiyo wakishinikiza kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika
Mar 07, 2018 01:27Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.
-
Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani
Feb 25, 2018 23:11Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kufanyika maandamano ya kupinga nia ya Marekani ya kutaka kuuhamishia Quds ubalozi wake ulioko Tel Aviv, karibuni hivi.