Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Waingereza waandamana kuonyesha mshikamano wao na Wapalestina

    Apr 01, 2018 12:51

    Wananchi na makundi ya kiraia katika mji wa London nchini Uingereza wamefanya maandamano wakitangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina na kulaani jinai wanazofanyiwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Wapalestina 8 wauawa shahidi na jeshi la Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi

    Mar 30, 2018 11:24

    Kwa akali Wapalestina wanane wameuawa shahidi na wanajeshi katili wa Israel katika maandamano ya Siku ya Ardhi, ya kulaani hatua ya utawala huo ghasibu ya kupora ardhi zao, yaliyofanyika leo karibu na uzio wa kibaguzi wa Israel katika Ukanda wa Gaza.

  • Waguinea waandamana kupinga ukatili wa polisi

    Waguinea waandamana kupinga ukatili wa polisi

    Mar 30, 2018 03:22

    Wananchi wa Guinea wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Conakry wakipinga ukatili wa polisi dhidi ya wafuasi wa kambi ya upinzani na kutoa wito wa kuchukuliwa hatua dhidi ya polisi waliohusika na mauaji ya raia.

  • Wananchi Ghana wapinga mkataba wa kijeshi na Marekani

    Wananchi Ghana wapinga mkataba wa kijeshi na Marekani

    Mar 29, 2018 01:56

    Maelfu ya watu waliandamana katika mji mkuu wa Ghana, Accra siku ya Jumatano kupinga mkataba tata wa kijeshi baina ya nchi yao na Marekani.

  • Bin Salman akaribishwa Marekani kwa maandamano ya kulaani mauaji ya watoto Yemen

    Bin Salman akaribishwa Marekani kwa maandamano ya kulaani mauaji ya watoto Yemen

    Mar 20, 2018 12:20

    Maelfu ya wanaharakati wamefanya maandamano nje ya jengo la Capitol Hill lenye mabunge ya Marekani katika jiji la Washington, kulaani mauaji ya watoto wadogo wasio na hatia nchini Yemen yanayofanywa na ndege za kivita za Saudi Arabia.

  • Wanachuo wanaosomea utabibu wafanya maandamano nchini Tunisia

    Wanachuo wanaosomea utabibu wafanya maandamano nchini Tunisia

    Mar 13, 2018 04:31

    Wanafunzi wanaosomea taaluma ya udakitari nchini Tunisia wamefanya maandamano nje ya ofisi ya Wizara ya Afya wakishinikiza kutekelezewa matakwa yao.

  • Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo

    Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga ubaguzi wa rangi nchini humo

    Mar 11, 2018 03:47

    Maelfu ya wahajiri wa Kiafrika pamoja na raia wengi wa Italia wameandamana katika mji wa Florence kaskazini mwa Italia kupinga vitendo vya ubaguzi wa rangi nchini humo.

  • Waislamu waandamana Nigeria wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu waandamana Nigeria wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Mar 09, 2018 12:28

    Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani huko Abuja mji mkuu wa nchi hiyo wakishinikiza kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Mar 07, 2018 01:27

    Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.

  • Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Feb 25, 2018 23:11

    Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kufanyika maandamano ya kupinga nia ya Marekani ya kutaka kuuhamishia Quds ubalozi wake ulioko Tel Aviv, karibuni hivi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS