-
Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao
Feb 23, 2018 11:42Kufuatia hatua ya utawala haramu wa Kizayuni ya kuwatimua kwa nguvu wahajiri wa Kiafrika katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel, mamia ya wahajiri hao wamekuwa wakifanya maandamano mtawalia mjini Tel Aviv kulalamikia hatua ya utawala huo ya kuwaweka jela wahajiri wenzao.
-
Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia
Feb 19, 2018 12:12Mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano wakilitaka bunge la nchi hiyo lifanye haraka kupitisha sheria ambayo itatamka wazi kuwa ni uhalifu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel
-
Wamarekani waitisha maandamano ya kupinga uhuru wa kubeba bunduki
Feb 19, 2018 12:01Familia za waliouawa katika tukio la kigaidi la ufyatuaji risasi katika shule moja ya jimbo la Florida nchini Marekani wanapanga kufanya maandamano makubwa ya kitaifa kupinga sheria ya uhuru wa raia kubeba bunduki.
-
Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia
Feb 18, 2018 04:03Wananchi wa Tunisia wameandamana kuunga mkono rasimu ya sheria ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waisrael washadidisha maandamano ya kumtaka Netanyahu ajiuzulu
Feb 16, 2018 23:11Maelfu ya Waisraeli wamefanya maandamano katika mji mkuu Tel Aviv kushinikiza kujiuzulu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, siku chache baada ya polisi ya Israel kupendekeza Benjami Netanyahu afunguliwe mashitaka kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha anazokabiliwa nazo.
-
Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14
Feb 14, 2018 13:19Wimbi la pili la maandamano na harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Bahrain kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa mapinduzi ya tarehe 14 Februari, limeanza jioni ya leo Jumatano katika maeneo tofauti ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Watu kadhaa wauawa katika maandamano nchini Guinea
Feb 13, 2018 04:01Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kupoteza maisha katika ghasia zilizotokana na maandamano yaliyofanyika jana Jumatatu nchini Guinea Conakry.
-
Warundi waandamana Bujumbura kupinga ripoti ya Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi yao
Feb 11, 2018 01:14Maelfu ya raia wa Burundi Jumamosi ya jana waliandama mjini Bujumbura, katika kulalamikia ripoti ya hivi karibuni ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inayopinga suala la kufanyiwa marekebisho katiba ya nchi hiyo ili kumruhusu Rais Pierre Nkurunziza kugombea katika uchaguzi ujao.
-
Malalamiko dhidi ya Trump Sudan Kusini
Feb 07, 2018 08:55Watu wa Sudan Kusini wamefanya maandamano nchini humo wakilalamikia amri mpya ya Rais Doland Trump wa Marekani ya kupiga marufuku jeshi la nchi hiyo ya Kiafrika kuuziwa silaha.
-
Maandamano London ya kupinga kuuziwa silaha Riyadh
Feb 05, 2018 04:23Makumi ya watu juzi waliandamana na kukusanyika mbele ya ubalozi wa Saudi Arabia mjini London Uingereza wakipinga na kulalamikia hatua ya Uingereza ya kuiuzia silaha Saudia.