Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Waislamu waandamana Nigeria wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Waislamu waandamana Nigeria wakitaka kuachiwa huru Sheikh Zakzaky

    Mar 09, 2018 12:28

    Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani huko Abuja mji mkuu wa nchi hiyo wakishinikiza kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Wahajiri wa Kiafrika waandamana Italia kupinga mauaji ya Mwafrika

    Mar 07, 2018 01:27

    Wahajiri wa Kiafrika wamefanya maandamano katika mji wa Florence nchini Italia wakipiga nara za kulaani ubaguzi wa rangi na kupinga mauaji ya mhajiri wa Kiafrika yaliyofanywa na raia wa Italia.

  • Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Hamas yatoa wito wa maandamano ya kupinga kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Feb 25, 2018 23:11

    Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetoa mwito wa kufanyika maandamano ya kupinga nia ya Marekani ya kutaka kuuhamishia Quds ubalozi wake ulioko Tel Aviv, karibuni hivi.

  • Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Wahajiri Waafrika huko Israel wafanya maandamano wakitaka kuachiliwa huru wenzao

    Feb 23, 2018 11:42

    Kufuatia hatua ya utawala haramu wa Kizayuni ya kuwatimua kwa nguvu wahajiri wa Kiafrika katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel, mamia ya wahajiri hao wamekuwa wakifanya maandamano mtawalia mjini Tel Aviv kulalamikia hatua ya utawala huo ya kuwaweka jela wahajiri wenzao.

  • Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia

    Maandamano dhidi ya Israel yaendelea nchini Tunisia

    Feb 19, 2018 12:12

    Mamia ya wanaharakati wa kisiasa na kijamii wa nchini Tunisia kwa mara nyingine wamefanya maandamano wakilitaka bunge la nchi hiyo lifanye haraka kupitisha sheria ambayo itatamka wazi kuwa ni uhalifu kuwa na uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

  • Wamarekani waitisha maandamano ya kupinga uhuru wa kubeba bunduki

    Wamarekani waitisha maandamano ya kupinga uhuru wa kubeba bunduki

    Feb 19, 2018 12:01

    Familia za waliouawa katika tukio la kigaidi la ufyatuaji risasi katika shule moja ya jimbo la Florida nchini Marekani wanapanga kufanya maandamano makubwa ya kitaifa kupinga sheria ya uhuru wa raia kubeba bunduki.

  • Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia

    Maandamano dhidi ya Israel nchini Tunisia

    Feb 18, 2018 04:03

    Wananchi wa Tunisia wameandamana kuunga mkono rasimu ya sheria ya kupiga marufuku uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Waisrael washadidisha maandamano ya kumtaka Netanyahu ajiuzulu

    Waisrael washadidisha maandamano ya kumtaka Netanyahu ajiuzulu

    Feb 16, 2018 23:11

    Maelfu ya Waisraeli wamefanya maandamano katika mji mkuu Tel Aviv kushinikiza kujiuzulu Waziri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel, siku chache baada ya polisi ya Israel kupendekeza Benjami Netanyahu afunguliwe mashitaka kutokana na kashfa za ufisadi wa kifedha anazokabiliwa nazo.

  • Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14

    Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14

    Feb 14, 2018 13:19

    Wimbi la pili la maandamano na harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Bahrain kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa mapinduzi ya tarehe 14 Februari, limeanza jioni ya leo Jumatano katika maeneo tofauti ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Watu kadhaa wauawa katika maandamano nchini Guinea

    Watu kadhaa wauawa katika maandamano nchini Guinea

    Feb 13, 2018 04:01

    Kwa akali watu wawili wamethibitishwa kupoteza maisha katika ghasia zilizotokana na maandamano yaliyofanyika jana Jumatatu nchini Guinea Conakry.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS