-
Wamarekani waandamana kupinga mashambulizi ya nchi hiyo dhidi ya Syria
Apr 08, 2017 11:21Wananchi wa Marekani wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakipinga sera za kupenda vita na ubabe za serikali ya Rais mpya wa nchi hiyo, Donald Trump.
-
Maelfu waandamana kumpinga rais wa Senegal
Apr 08, 2017 03:22Maelfu ya watu wameandamana mjini Dakar, Senegal kupinga siasa za Rais Macky Sall wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Waislamu Nigeria wafufua maandamano ya kushinikiza kuachiwa huru Sheikh Zakzaky
Apr 07, 2017 03:06Kwa mara nyingine tena Waislamu nchini Nigeria wamefanya maandamano ya amani katika mji mkuu wa nchi hiyo, kushinikiza kuachiwa huru mwanazuoni wa Kiislamu nchini humo, Sheikh Ibrahim Zakzaky.
-
Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina
Apr 02, 2017 03:36Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano katika eneo la Quds tukufu kulaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia
Apr 01, 2017 11:40Maelfu ya raia wa Pakistan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyotokea katika eneo la Parachinar la Waislamu wa Shia nchini humo.
-
Waingereza waandamana London kulaani jinai za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen
Mar 27, 2017 08:17Mamia ya wakazi wa jiji la London nchini Uingereza, wamefanya maandamano kupinga mashambulizi ya kivamizi ya Saudia nchini Yemen.
-
Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni
Mar 27, 2017 03:16Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wamefanya maandamano nje ya ukumbi kunakofanyika kongamano la lobi ya Kizayuni ya Kamati ya Marekani na Israel ya Masuala ya Umma (AIPAC) mjini Washington.
-
Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah
Mar 25, 2017 22:10Maeneo tofauti ya Bahrain yamekumbwa na wimbi la maandamano makubwa ya wananchi wanaopinga hukumu za adhabu ya kifo zilizotolewa na mahakama za kimaonyesho za nchi hiyo na kadhalika kutangaza uungaji mkono wao kwa Mustafa Hamdan, kijana aliyeuawa shahidi na askari wa utawala wa Aal-Khalifah.
-
Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura
Mar 22, 2017 11:12Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.
-
Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia
Mar 15, 2017 03:29Wanawake wa Yemen wamefanya maandamano na kukita kambi nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Sana’a, kuutaka umoja huo usitishe jinai na uvamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.