Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

maandamano

  • Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Mayahudi waandamana Quds kulaani ukaliaji wa mabavu wa Palestina

    Apr 02, 2017 03:36

    Maelfu ya Mayahudi wamefanya maandamano katika eneo la Quds tukufu kulaani upanuzi wa vitongoji vya walowezi za Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Maelfu ya Wapakistan waandamana kulaani mashambulizi ya kigaidi katika maeneo ya Waislamu wa Shia

    Apr 01, 2017 11:40

    Maelfu ya raia wa Pakistan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani mashambulizi ya kigaidi ya hivi karibuni yaliyotokea katika eneo la Parachinar la Waislamu wa Shia nchini humo.

  • Waingereza waandamana London kulaani jinai za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen

    Waingereza waandamana London kulaani jinai za utawala wa Aal-Saud nchini Yemen

    Mar 27, 2017 08:17

    Mamia ya wakazi wa jiji la London nchini Uingereza, wamefanya maandamano kupinga mashambulizi ya kivamizi ya Saudia nchini Yemen.

  • Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni

    Wamarekani waandamana Washington dhidi ya lobi ya Kizayuni

    Mar 27, 2017 03:16

    Wanaharakati wanaounga mkono Palestina wamefanya maandamano nje ya ukumbi kunakofanyika kongamano la lobi ya Kizayuni ya Kamati ya Marekani na Israel ya Masuala ya Umma (AIPAC) mjini Washington.

  • Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah

    Wimbi la maandamano ya wananchi latanda nchini Bahrain dhidi ya utawala wa Aal-Khalifah

    Mar 25, 2017 22:10

    Maeneo tofauti ya Bahrain yamekumbwa na wimbi la maandamano makubwa ya wananchi wanaopinga hukumu za adhabu ya kifo zilizotolewa na mahakama za kimaonyesho za nchi hiyo na kadhalika kutangaza uungaji mkono wao kwa Mustafa Hamdan, kijana aliyeuawa shahidi na askari wa utawala wa Aal-Khalifah.

  • Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Wapinzani waandamana Zimbabwe, wadai kuna njama za kuiba kura

    Mar 22, 2017 11:12

    Maelfu ya wafuasi wa vyama vya upinzani nchini Zimbabwe wameshiriki maandamano katika mji mkuu Harare, kulalamikia kile wanachodai kuwa ni njama ya kuiba kura katika uchaguzi ujao wa rais.

  • Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Wanawake Yemen waandamana nje ya ofisi za UN kulaani jinai za Saudia

    Mar 15, 2017 03:29

    Wanawake wa Yemen wamefanya maandamano na kukita kambi nje ya ofisi za Umoja wa Mataifa katika mji mkuu Sana’a, kuutaka umoja huo usitishe jinai na uvamizi wa Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo.

  • Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Wapalestina waandamana kupinga marufuku ya adhana Quds tukufu

    Mar 12, 2017 03:52

    Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wamefanya maandamano kulaani sheria iliyopasishwa hivi karibuni na Bunge la Israel ya kupiga marufuku adhana katika mji mtakatifu wa Quds.

  • Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate

    Wamisri waandamana nchi nzima dhidi ya serikali kulalamikia kuwekwa mgao wa mikate

    Mar 09, 2017 04:22

    Raia wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya serikali katika mikoa tofauti ya nchi hiyo, kulalamikia hatua ya kuwekwa mgao katika upatikanaji wa mikate nchini humo.

  • Wafuasi na wapinzani wa Trump watwangana makonde nchini Marekani

    Wafuasi na wapinzani wa Trump watwangana makonde nchini Marekani

    Mar 05, 2017 04:09

    Habari kutoka nchini Marekani zinasema kuwa kumezuka mapigano baina ya wafuasi na wapinzani wa Donald Trump katika mji wa Berkeley wa jimbo la California, magharibi mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS