Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Indhari na hatua mpya kuhusu vita vya ushuru vya Trump

    Apr 27, 2025 02:26

    Indhari na radiamali mpya zimetolewa ndani ya Marekani na kimataifa kutokana na kuendelea vita vya ushuru vya Rais Donald Trump na madai yake katika uwanja huo.

  • National Interest: Mji wa makombora wa Iran unaonyesha nguvu ya nchi hiyo

    National Interest: Mji wa makombora wa Iran unaonyesha nguvu ya nchi hiyo

    Apr 01, 2025 02:46

    Gazeti la Marekani la National Interest limeuchambua mji mpya wa makombora wa Iran na kusisitiza kwamba, kufichuliwa mji huo huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika Bahari Nyekundu na Asia Magharibi, ni ujumbe kwa Marekani na maadui wa Iran.National Interest imekiri katika ripoti yake kwamba hifadhi ya makombora ya Iran imeongezeka kwa kiasi kikubwa katika muongo mmoja uliopita.

  • Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Mwanamke anayechukia Waislamu apatikana na hatia ubadhirifu Ufaransa

    Apr 01, 2025 02:40

    Mahakama moja nchini Ufaransa jana Jumatatu ilimpata na hatia ya ubadhirifu, Marine Le Pen, aliyekuwa mgombea urais wa Ufaransa kwa mihula miwili na kiongozi wa chama cha National Rally (RN) chenye chuki dhidi ya Waislamu. Hukumu hiyo itaathiri mustakabali wake wa kisiasa, hasa kugombea katika uchaguzi wa rais wa Ufaransa wa 2027.

  • Netanyahu anasa kwenye dema la Mahakama ya Uhalifu

    Netanyahu anasa kwenye dema la Mahakama ya Uhalifu

    Jan 28, 2025 02:56

    Baada ya kusita kwa muda wa mwezi mmoja, hatimaye mahakama ya kesi za uhalifu ya Israel imeanza tena kusikiliza kesi za uhalifu za waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • Mahakama ya New York yamhukumu Trump katika kesi ya ufisadi

    Mahakama ya New York yamhukumu Trump katika kesi ya ufisadi

    Jan 11, 2025 06:38

    Mahakama ya New York jana ilitoa hukumu yake dhidi ya rais mteule wa Marekani, Donald Trump katika kesi ya faili la ufisadi wa kingono.

  • Jaji: Hukumu dhidi ya Trump kutolewa kabla ya kuapishwa kwake

    Jaji: Hukumu dhidi ya Trump kutolewa kabla ya kuapishwa kwake

    Jan 05, 2025 03:35

    Jaji wa New York ametangaza kuwa, hukumu dhidi ya Donald Trump Rais mteule wa Marekani itatolewa tarehe 10 ya mwezi huu wa Januari katika kesi yake ya fedha mjini New York siku chache kabla ya kuapishwa kuwa rais.

  • ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    Dec 15, 2024 05:35

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imetangaza kuwa, mawasiliano na ufuatiliaji mkubwa unaendelea kufanywa ili kuweza kuwatia mbaroni waziri mkuu pamoja na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Dec 10, 2024 11:26

    Shirikisho la Kimataifa la Wanahabari (IFJ) limetangaza leo kuwa 2024 umekuwa mwaka wa "mauti zaidi" kwa waandishi wa habari kutokana na waandishi 104 wa habari kuuawa duniani kote, huku zaidi ya nusu kati yao wakiuawa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Watu 26 wahukumiwa kifo Kongo DR kwa 'jinai za kivita'

    Aug 09, 2024 03:27

    Watu wasiopungua 26 wamehukumiwa kifo na mahakama ya kijeshi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, baada ya kupatikana na hatia katika mashitaka matatu yaliyokuwa yakiwakabili.

  • Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Mahakama Iran: Sharti US iwape fidia wagonjwa wa kipepeo kutokana na vikwazo

    Jul 12, 2024 03:04

    Mahakama moja nchini Iran imeiagiza Marekani kulipa takriban dola bilioni 7 kama fidia kwa waathiriwa wa ugonjwa wa ngozi wa Epidermolysis Bullosa (EB) nchini Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS