-
Wamarekani 3 kizimbani wakihusishwa na jaribio la mapinduzi DRC
Jun 07, 2024 02:46Raia watatu wa Marekani na mmoja wa Uingereza ni miongoni mwa makumi ya watu wanaotazamiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo leo Ijumaa, wakituhumiwa kuhusika na jaribio la mapinduzi katika nchi hiyo ya katikati mwa Afrika.
-
Zuma: Nitapigania haki yangu ya kuwania ubunge Afrika Kusini
May 24, 2024 07:23Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ameapa kupigania kile alichokiita 'haki yake' ya kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo.
-
Mahakama ya Nigeria yatoa hukumu dhidi ya Polisi kwa kushambulia matembezi ya Ashura
May 01, 2024 10:53Mahakama Kuu ya Shirikisho ya Nigeria katika Jimbo la Kaduna imetoa hukumu dhidi ya Polisi ya nchi hiyo kwa kushambulia waumini katika matembezi ya amani ya Siku ya Ashura yaliyofanyika katika mji wa Zaria.
-
Mahakama ya Juu Comoro 'yabariki' ushindi wa Rais Azali Assoumani
Jan 25, 2024 11:13Mahakama ya Juu ya Comoro imesema Rais Azali Assoumani alichaguliwa kihalali katika uchaguzi wa rais uliofanyika wiki iliyopita.
-
Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi
Jan 14, 2024 02:43Mahakama ya Rufaa ya Denmark inayojulikana kwa jina la "The Eastern High Court" Ijumaa tarehe 12 Januari ilipasisha hukumu ya kifungo jela kwa watu watatu ambao ni wanachama wa kundi linalotaka kujitenga la "Al Ahwaziya" ambao walituhumiwa kueneza ugaidi nchini na kukusanya taarifa za kijasusi kwa ajii ya Shirika la ujasusi la Saudi Arabia.
-
Mahakama Senegal 'yaridhia' kiongozi wa upinzani agombee urais
Dec 15, 2023 10:32Mahakama Kuu mjini Dakar imeamuru kusajiliwa upya kwa Ousmane Sonko, kiongozi wa upinzani nchini Senegal katika daftari la wapigakura, na hivyo kumruhusu kuwa mgombea urais.
-
Mahakama ya Iran kuwashtaki magaidi 100 wa MKO
Jul 29, 2023 10:15Mahakama kuu ya jinai ya Iran inatazamiwa kuwapandisha kizimbani wanachama zaidi ya 100 wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) ambalo limefanya mauaji ya makumi ya maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Ghana yapinga juhudi za kuzima sheria ya kukabiliana na ushoga
Jul 20, 2023 07:13Mahakama ya Kilele ya Ghana imetupilia mbali pingamizi la kisheria lililotaka kuzuiwa Bunge la nchi hiyo kupasisha muswada wa sheria kali ya kukabiliana na vitendo vichafu vya ubaradhuli nchini humo.
-
Rais wa Chad awasamehe waasi 380 'waliomuua' babake
Mar 27, 2023 02:11Rais wa mpito wa Chad, Mahamat Idriss Deby ametangaza msahama kwa mamia ya waasi waliohukumiwa kifungo cha maisha jela hivi karibuni, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya rais wa zamani wa Mali Idriss Deby Itno, ambaye ni baba ya rais huyo wa muda.
-
Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili
Nov 22, 2022 08:03Uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyekuwa akitumia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Chris Hani, mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini (apartheid).